Britanicca
6.7K posts

Britanicca
@Britanicca0
whistle-blower living in Vladivostok Russia , CCM Member Since 2002, Defending People.



@kigogo2014 @_zack255 Acha nibaki peke yangu katika kusimamia ukweli bila undue influence! Polisi wanahusika sana kuumiza watu ndo sentensi naishia hapa najua mengi sana sana Tena na wengine ni Maofisa marafikia zangu kwa kunipa story kuwa tumemshughilikia fulan na fulan! Kuna siku mtu ataaibika









Dakika moja mnatumbia Tundu Lissu anakufa jela tuandamane alafu dakika inayofuata mnabonge la VIBE. Stop sending mixed messages to us, either tuleteeni mambo ya VIBE kama CCM au tuongozeni kwenye maandamano mengine ya kitaifa…. Chadema achaneni na vibe na mambo ya nyoni. Mkiendelea na hii mood mtajaza mikutano na kuposti ila mkiitisha maandamano ya kumpambania Lissu hakuna mtu atatoa mguu. Lazma muhakikishe dark mood, sadness, pain and tears ndio ibaki kuwa mood ya chini.


TUTACHAGUA KUSUKA AU KUNYOA

Leo sio Jogging ni Matembezi Maalum ya kumpokea Mwenyekiti. 2027 UVCCM mjirudi kwa kuchagua viongozi watakaowarudisha kwenye ramani, tuwaone mkiibua na kushiriki mijadala mbalimbali yenye tija kwa Chama na Taifa nk, vikao vya umbea acheni ambianeni ukweli hizi mambo za Jogging ziachieni Jogging Clubs. Anyways msisahau kupiga picha za kutosha tupate idadi ya sare zilizoandaliwa kutumika kusini











