Matics🦁
267.1K posts

Matics🦁
@BwasheeMatics
Sometimes, Ask Why & Not How? Nemo Judex in sua causa debt esse ~ do not be a judge in your own cause. Renaissance Man 😎

Mark Zuckerberg, an outspoken critic of "man-made climate change", shows off his new $300 million, 287-foot mega yacht, powered by four gigantic diesel engines. Yet another stark reminder that Net Zero is only for the peasants






A poor man thinks money comes from hard work. A rich man knows money comes from systems.




RIP Mhe Lukuvi. Mama Germina na familia, Mungu awape nguvu. Kwa miaka 10 pamoja Bungeni na kwenye NEC tulifundishana mengi: ukinieleza hali halisi ya MFUMO na mimi nikihimiza kuwa "WE ARE FIGHTING POVERTY NOT THE POOR" sentensi iliyokufurahishaga sana ukinitania kuwa ni mwanaharakati wa kudumu. Zaidi tulibishana sana kuhusu ujenzi wa depot ya mabasi ya mwendo kasi hapo Jangwani. Wewe ukiwa Ofisi ya mhe Waziri Mkuu Pinda ulitaka kuendelea na ujenzi hapo Jangwani tusichelewe. Mimi nilionya kwamba ni environmental hazard na itakuwa hasara kubwa kwani patafurika tu. EIA ilitolewa kimakosa na Waziri wa Ardhi ana mamlaka kamili juu ya maeneo oevu. Nikasimamisha ujenzi na kwa kuwa Rais Kikwete alishanipa assurance kuwa pasijengwe tukawatafutia sehemu nyingine huko Ubungo Maziwa kuhamisha kituo. Ukaniangalia, nikiri kwa amusement na kunikumbusha "PROFESA, SUBIRI, PATAJENGWA TU na MFUMO". And sure enough baada ya wiki 2 hivi nikaona ujenzi unaendelea bila kibari cha Wizara ya Ardhi. Hali halisi. Baadaye ulipoteuliwa kunirithi kuwa Waziri wa Ardhi tarehe 26.01.2015 nilikukabidhi ofisi kwa andiko maalum na matumaini makubwa ya kuendeleza flagship projects zilizokuwa katika hatua mbali mbali za utekelezaji: Kigamboni New City; DSM Masterplan; Makongo Juu Redevelopment Scheme; Wazo Hill/Bunju Resettlement program; Bagamoyo Eco Energy; Land Tenure programs mawilayani ikiwemo Loliondo Village Survey Project kukomesha migogoro na hata NHC Special Programs Audit ya miradi kama wa Kawe kujua ufanisi wake. nkd. Hivo tulifanya kazi pamoja, kadri ilivyowezekana, ni masikitiko kuagana ghafla hivi. Muumba wetu Akujalie raha ya milele.

Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

Africa's Most Valuable Brands (2025) by Brand Finance 1. MTN - $2.93 billion 2. Vodacom - $2.535B 3. Standard Bank - $2.184B 4. First National Bank - $1.686B 5. ABSA — $1.579B 6. Checkers — $1.358B 7. Woolworths SA - $1.281B 8. Nedbank - $1.174B 9. Investec - $1.163B 10. Shoprite - $1.162B All South African-owned.
















