Fred Muju
30 posts

Fred Muju
@FredMuju
Software Engineer | Web & Mobile Apps | Cyber Security Analyst
Dar es salaam, Tanzania Beigetreten Ağustos 2013
224 Folgt22 Follower
Fred Muju retweetet
Fred Muju retweetet

🚀 Kujiunga na Daywaka ni rahisi sana!
Kwa kutumia Google au Apple, unaweza kufungua akaunti yako haraka na kukamilisha wasifu wako — tayari kupata kazi au kuajiri mfanyakazi.
📲 Pakua Daywaka leo na uanze safari yako ya ajira.
hashtag#Daywaka hashtag#JobsForEveryone hashtag#
Indonesia
Fred Muju retweetet

@millardayo 🚀 Unatafuta kazi au unahitaji mtu wa kufanya kazi haraka?
Daywaka ni app inayokuunganisha na aina zote za kazi — kuanzia kazi za kitaalamu hadi kazi ndogo za kila siku.
✅ Weka kazi na upate mtu mara moja
✅ Pata kazi za muda mfupi, muda mrefu
linktr.ee/getdaywaka

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche amesema Chama hicho hakitokubali kuona Mwenyekiti wao Tundu Lissu anahukumiwa kwa kesi za kutengenezwa.
Heche ameyasema hayo leo Septemba 8 baada ya kuahirishwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu ambaye tayari leo amewasilisha mapingamizi mawili katika kesi hiyo inayotarajiwa kuendelea tena kesho Septemba 9, 2025.
"Kwa upande wa Chama ni kwamba hakuna ubishani kwa wale tuliokuwa Mahakamani kwamba nyaraka aliyopewa Tundu Lissu na ile iliyokuwa kwenye rekodi ya Mahakama ni nyaraka mbili tofauti na amesema yeye mwenyewe, nani aliyempelekea Tundu Lissu hizo nyaraka ambazo zipo katika mfumo wa Mahakama na alipeleka kwa sababu zipi?" amehoji John Heche.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@TheChanzo 🚀 Unatafuta kazi au unahitaji mtu wa kufanya kazi haraka?
Daywaka ni app inayokuunganisha na aina zote za kazi — kuanzia kazi za kitaalamu hadi kazi ndogo za kila siku.
✅ Weka kazi na upate mtu mara moja
✅ Pata kazi za muda mfupi, muda mrefu, freelance au za siku moja

Polisi: Taarifa ya 'Abdul na Kundi Lake Wamteka Mwandishi' ni Upotoshaji
Jeshi la Polisi limekanusha taarifa iliyokuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii inayosomeka: Abdul na kundi Lake Wamteka Mwandishi wa Habari, Wamnyonga na Kumtupa Mto Jangwani.
Katika taarifa yao iliyotolewa leo Septemba 09, 2025, Polisi wameeleza kuwa habari hizo zilizohusishwa na mwili uliokotwa eneo la Jangwani mnamo Agosti 27, 2025, sio za kweli. Polisi walifafanua zaidi ya juu kilichojiri baada ya mwili huo kuokotwa.
Polisi wanaeleza baada ya mwili huo uliokuwa ukielea kwenye maji kutolewa, maafisa wataalamu wa uchunguzi wa matukio makubwa waliendelea na uchunguzi.
"Wakati uchunguzi ukiendelea ndugu wa mtu huyo walipatikana na wakaweza kuutambua mwili huo kuwa ni wa Salehe Shukrani, mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza mikate, mkazi wa Magomeni Mikumi," taarifa ya Polisi ilieleza.
"Pia walieleza kuwa, ndugu yao huyo alikuwa na tatizo la kuanguka kutokana na kifafa kilichokuwa kinamsumbua," taarifa hiyo iliongeza.
Jeshi la Polisi limetoa wito kwa jamii kuipuuza taarifa hiyo.

Indonesia

Sio hela zake ni kodi zetu, hakuna rais anajenga kitu kwa hela zake…relax
Baba Mwita@BabaMwita
Hayati rais JPM ndiye amejenga SGR, Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) & Daraja Kigongo-Busisi. Tangu Serikali hii ishike madaraka imekuwa IKIDOGOSHA juhudi za huyu mzee! Hata baadhi ya Mawaziri hawamtaji kabisa JPM kuhusika na hii miradi! Hii si sawa hata kidogo.









