Priscilla

10.8K posts

Priscilla banner
Priscilla

Priscilla

@Magandula

Producer, Preacher, Manager

Himeville, South Africa Beigetreten Nisan 2018
693 Folgt1.3K Follower
Priscilla
Priscilla@Magandula·
Hatutakusahau !!! Mwehu wewe .
Priscilla tweet media
Indonesia
35
112
711
13.2K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Chuma iko Bonyokwa now kwa Mama Chambuso. Kaanza na foundation ya Mo-Energy kwanza
Fortunatus Buyobe tweet media
Filipino
141
83
1K
48.6K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Nimaridhiano gani unayotaka LISSU ashiriki? Waliiba uchaguzi akiwa mahabusu. Wakauwa Watanzania akiwa ndani. Amekaa ktk mateso zaidi ya mwaka mmoja huku wakiipiga danadana kesi yake baadala ya kuifuta. LISSU unayemzungumzia ni wa KUCHONGA sio tunaemfahamu. Msimamo wake sio huo.
Odero Odero@HakiBalozi255

Kwa nini viongozi wanasiasa na wanaharkati wameamua kwa makusudi kuvuruga na kuipa kisogo ajenda ya Msimamo wa LISSU kuhusu utayari wake wa kufanya Mazungumzo baada ya kufutiwa mashitaka dhidi yake ? @godbless_lema @HecheJohn @HildaNewton21 @IAMartin_

Indonesia
9
30
163
8.1K
Odero Odero
Odero Odero@HakiBalozi255·
Kwa nini viongozi wanasiasa na wanaharkati wameamua kwa makusudi kuvuruga na kuipa kisogo ajenda ya Msimamo wa LISSU kuhusu utayari wake wa kufanya Mazungumzo baada ya kufutiwa mashitaka dhidi yake ? @godbless_lema @HecheJohn @HildaNewton21 @IAMartin_
Indonesia
87
2
23
15K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Nahisi tarehe 23.4. 2026 Chande atakapotoa ripoti yake haya yatatokea. - Vilio vya waliokufa, kupotea na kuumia vitaanza upya. - Picha za matukio ya siku ile zitapostiwa kwa wingi. - Kuna uwezekano mitandao ikazimwa ili kuzuia taharuki. - Wananchi watapaaza sauti za kutoridhika.
joseph_selasini tweet mediajoseph_selasini tweet media
Indonesia
20
96
526
15.6K
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
Tukisema CHADEMA haina jipya, haya subirini ndani ya miezi 3 mtashangaa hakuna agenda jipya nje ya kurukia ukosoaji agenda za CCM.
Indonesia
42
0
13
3.6K
Priscilla retweetet
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
58
476
1.5K
155.8K
Priscilla
Priscilla@Magandula·
Meli ya kigiriki imebuka tena ikiwa na nguvu zile zile!! Aluta continua Chadema
Priscilla tweet media
5
35
197
2.2K
Priscilla retweetet
Boniface Jacob
Boniface Jacob@ExMayorUbungo·
Tarehe 07 May 2025 niliandika ujumbe huu. "CHADEMA ni kama Meli ya Kigiriki,pamoja na mawimbi mengi,makubwa na makali lakini CHOMBO kitavuka salama." Sababu kwa miaka yangu 21 ndani ya CHADEMA nimejifunza kuwa 1.kadri utavyoibana CHADEMA ndiyo utakavyokuwa unaitanua bila wewe kujua. 2.kadri ya utavyokuwa unaipa misukosuko CHADEMA ndiyo utakuwa unaiimarisha. 3.Kadri utakavyokuwa unawahamisha Wanachama na Viongozi wa CHADEMA ndiyo utakuwa unatengeneza Wanachama na Viongozi Imara watakao bakia ndani. Tukio la leo ni ishara kwamba Meli hii ya Kigiriki imeyashinda mawimbi na dhoruba sasa inaendelea na safari yake ya kuelekea Tanzania mpya.
Boniface Jacob tweet media
Boniface Jacob@ExMayorUbungo

Sijua baada ya kile kama kingekuja hiki,na sijui baada ya hiki kitakuja kipi..! Ninachojua ni kitu kimoja tu. CHADEMA ni kama Meli ya Kigiriki,pamoja na Mawimbi mengi,makubwa na makali lakini CHOMBO kitavuka salama.!

Indonesia
47
301
1.5K
40.3K
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
Sasa CHADEMA muache “mawenge” muwe na Shukrani kwa Rais wetu Dkt @SuluhuSamia kwa wema wake lukuki kwenu na muwe watiifu kwa dola inayoongoza nchi, otherwise mkiendekeza “kilomolomo” mtarudi kifungoni si punde hadi 2030.
Suphian Juma Nkuwi tweet media
Indonesia
194
9
71
12K
Priscilla
Priscilla@Magandula·
Kuna mtu hapo anajifanya kukemea mapepo
Hilda Newton@HildaNewton21

‼️SERIKALI HARAM YA IDD AMIN MAMA IMEPANGA KUMUUA MHE. LISSU KWA RISASI‼️ Nimejulishwa kwamba baada ya Serikali haram ya Idd Amin Mama kuona mbinu zao zote za kutaka kummaliza Mhe. Lissu huko Gerezani zinavuja sasa wamekuja na mpango mwingine. Mpango huu unaratibiwa na Paul Makonda na Faustine Mafwele. Wamepanga kwamba kesi ya Mhe. Lissu itakapoanza kusikilizwa Mahakama ya rufani, atabadilishiwa Askari Magereza wale ambao huwa wanapanda nae gari moja kwa ajili ya kumlinda kila wanapompeleka na kumtoa Mahakamani badala yake wanaletwa Askari wa KMKM kutoka Zanzibar hao ndo watakuwa wanapanda nae gari moja na watavalishwa nguo za Askari Magereza ili wasishtukiwe. Wamepanga kwamba mara baada ya kesi kuhairishwa Mhe. Lissu atakapokuwa anatolewa Mahakamani kurudishwa Magereza wakiwa njiani convoy ya Magereza itavamiwa na watu wenye silaha kisha watawafyatulia risasi kutakuwa kama kuna majibizano ya risasi then wale KMKM ambao watakuwa nae ndani ya Gari, watamuua kwa risasi humo humo ndani ya gari. Then Serikali haram itakimbilia kwenye media kusema kwamba kauwawa na watu wasiojulikana so wanawasaka watu wote waliohusika kwenye shambulio hilo ili wasionekane kwamba ni wao. Wamepanga mpaka watu wakuja kuwatetea kwenye mitandao ambao watakuwa wanasema Serikali haram haihusiki na kwamba kama ingetaka kumuua basi ingemuulia Magereza. Yani Nduli Idd Amin Mama ameuwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu, ameiba maelfu ya miili na kwenda kuizika kwenye makaburi ya Halaiki ili kupoteza ushahidi. Tangu aingie madarakani hadi leo kateka na kupoteza watu zaidi ya 300 lakin bado hajatosheka na sasa anataka na damu ya Mhe. Lissu. Wapendwa kama tusipompambania Mhe. Lissu hawa watu watammaliza huku tunaona maana mpaka sasa wameshagundua kwamba hawana ushahidi wa kutosha kumtia hatiani ili wamnyonge ndo maana wanapanga njama za kutaka kumuua kwa risasi akiwa bado mikononi mwao. Idd Amin Mama anamchukia Mhe. Lissu kiasi kwamba anatamani kuona akiuwawa ili asionekane tena kwenye uso wa Dunia, yote ni kwasababu Mhe. Lissu kakataa biashara ya UDALALI WA SIASA ni mtu mwenye msimamo thabiti ambao Idd Amin Mama na washirika wake wanautafsiri msimamo huo kwamba ni kiburi. Jambo moja ambalo wanatakiwa kulitia akilini ni kwamba kama wakithubutu kutekeleza huo mpango wao wa kumuua Mhe. Lissu hii nchi haitatawalika yani ya Maandamano ya Oktoba 29 itakuwa cha mtoto.

Filipino
1
0
3
62
Priscilla
Priscilla@Magandula·
@joeselasini Mbabu kama huyo anashindwa kutunza utu wake .... Anakua chawa ...
Indonesia
1
0
1
39
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Nimetoka kuangalia point alizokuwa anatoa huyu jamaa kwenye kikao kile, itoshe kusema , Ni kweli sina akili ila SINA CHA KUJIFUNZA hapa💔🚮.
The champ👑 tweet media
Filipino
114
67
689
36.5K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Donald Trump alitoa kafara ndege za kivita na vifaa vingine vyenye thamani ya zaidi ya dola milioni 600 (takriban shilingi trilioni 1.5 za Kitanzania) ili kumuokoa mwanajeshi mmoja wa anga. Hili ni jambo la KIPUMBAVU sana kueleweka kwa viongozi wa Afrika.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
116
167
2K
56K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Kama uliimba: - Mitano tena. - Kazi iendelee. - CCM ni ile ile. - Siasa hainihusu. - Wspinzani ni waroho wa madaraka. Ukiwa na gari, bodaboda au bajaji NENDA NA KADI YAKO YA CCM KITUO CHA MAFUTA UTAHUDUMIWA KWA PUNGUZO au ionyeshe kwenye bus au sokoni kuna punguzo maalum. 😂😂😂
Indonesia
8
42
300
4.2K
Priscilla
Priscilla@Magandula·
@MariaSTsehai @TagAyie Mzee km huyo 70yrs anashindwa kusimama kwa ajili ya vizazi vijavyo , anabaki anapiga fix tu ...
Filipino
0
1
2
170
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Prof Kabudi kwanza Happy Easter Ila we ni mtu mzima na pamoja na tofauti zetu nimekuheshimu ila unachofanya sasa ni usanii ambao haupendezi kabisaa 😁 Yaani unasema hakuna kesi ICC wakati uliambiwa ukweli mgumu na huyo mzungu lawyer kuwa hii kesi ni ngumu kwa sababu zifuatazo 👉🏽 huwezi kulinganisha na kesi ya Kenya ya 2007 kwa sababu watuhumiwa Uhuru na Ruto walikuwa raia na hawakuwa na wadhifa yoyote 👉🏽 Mauaji yalifanywa wenyewe kwa wenyewe na si kama kesi hii ya Tanzania ambapo maaskari walionekana na uniform na IGP alitoa amri hadharani na mashahidi wapo wako wa kumwaga! 👉🏽 Kauli za Bi Msumi alikubali kuwa mauaji yalifanywa na vikosi vya usalama na alisema ilikuwa nguvu sahihi na akahoji wanaokosoa walitakaje - amekiri kuhusika 👉🏽 alikwambia kwa sasa ICC inapitia ushahidi ila official indictment inakuja wakishajiridhisha na utaratibu hawajamaliza bado Sasa we umeenda kumwambia Bi Msumi eti kesi hakuna 😅 dah! Ndo Bi Msumi analeta mazingaombwe na Abdul wakati hajui wote wanachunguzwa muda huu Huu uongo umewapa confidence hadi mmeona ripoti ya Tume ya Chande haina uzito mtaichakachua wakati inasubiriwa Brussels! Na ujue kwa sasa hakuna pesa za mchezo hata Ulaya hawatasita kufunga kabisa mrija maana wana shida za kutosha za Urusi na sasa Iran Narudia mtu mzima jitahidi kutunza heshima yako! Mengine nimekaa nayo! Eniwei mwambie Bi Msumi best sccenario akapumzike Kizimkazi mapema na amwachie Tundu Lissu haraka #SamiaMustGo #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
68
162
920
82.3K
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
Mwamba wakati anaachia ngazi alisema Kama ikitokea akaona chombo inazama atarudi mzigoni kuokoa jahazi,Kwa hali ilivyo Sasa ni dhahili shahili kuwa chombo imeelemewa kwanini bado yuko kimya ...??
Shasila Nabipa tweet media
Filipino
57
4
50
9.9K
Priscilla
Priscilla@Magandula·
@AbroadTanzania Mamaa gesi Mtwara ya kazi gani ?? Acheni kutulisha kutofikiri kwenu na kuonesha kuwa ni kawaida ..
Indonesia
0
0
0
7
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Tatizo la Kumfanya Mke wa Mtu Kiongozi wa nchi ! Tunajuta sana haya yote aliyaleta Fisadi Kikwete kumlazimisha Kato au Meko kwamba huyu mama awe makamu !! 😭😭😭
Indonesia
35
40
356
31.6K