Sabitlenmiş Tweet
Ayie Tag
116.9K posts

Ayie Tag retweetledi

Jaji Kende anasema nchi nzima waliopigwa risasi za kichwa ni watu 12 tu.
Sasa nimewasogezea hii
Hawa ni Vijana 17 wa Mji mwema- Mwanza
Walikuwa wanaangalia mpira kwenye kibanda umiza.
Polisi waliwavamia, wakawatoa njee na kuwambia walale chini kifudifudi kisha wakawapiga risasi za vichwa na kuwauwa wote.
Hapo bado hatujazungumza kuhusu miili ya watu wote waliouwawa Mkoa wa Mwanza, Mbeya, Songwe, Arusha, Geita Mara, Kahama, Rukwa etc.
Indonesia
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi

MaCCM yasichojua ni kwamba lazima yatatakiwa jibu nani alitoa order ya SHOT TO KILL
maana watu wangeweza pigwa risasi miguu
Lakini nani alitoa order ya kuua na risasi za kichwa zikaanza pigwa
Jana media zote zimetoa habari kwamba watu 500 waliuwawa kwenye uchaguzi
Thamani ya maisha ya mtu ni kubwa sana machoni mwa watu wastaarabu hakuna namna watasikiliza upuuzi mwingine watataka kujua kwanza nani alikuwa anaua watu
Hata kama kungekuwa na ushahidi wa silaha lazima jibu la nani alitoa order ya kuua ijulikane
Hoi video ya Nyalandu imetusaidia sana
Sky News@SkyNews
@BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?" Ambassador Lazaro Nyalandu, senior advisor to Tanzanian president Samia Suluhu Hassa, responds to claims security forces killed hundreds of people following Tanzania's widely disputed election in 2025. 🌍 trib.al/zff6Z7W
Indonesia
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi

UKIWA MUONGO UWE NA KUMBUKUMBU
Lazaro Nyalandu anasema tume ilitembelea familia zaidi ya 1323 za watu waliouliwa ndugu zao na kuwahoji!
Kama waliokufa mnasema ni 500
Kwanini tena mnasema familia mlizotembelea za waliokufa ni zaidi ya 1300+, how…?
Damu za Watanganyika zinawalilia mpaka wanachanganyikiwa wanatoa siri na bado mpaka mtasema yote tu ni swala la muda.
Indonesia
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi

Kwa sheria za nchi hii, kazi ya kufanya UCHUNGUZI/UPELELEZI wa jinai ni ya Jeshi la Polisi. Ila, kwa kuwa jeshi hili ndilo MTUHUMIWA wa #MO29, na kwa kutambua MGONGANO WA KIMASLAHI (conflict of interest), sheria ikaelekeza iundwe TUME ya pembeni kufanya uchunguzi wa tukio hili.
Cha kushangaza, mkuu wa Tume ambaye si tu ni mwanasheria, bali ni Jaji mstaafu, anachunguza halafu anasema, anaiachia Serikali ichunguze kupitia vyombo vyake vya uchunguzi (ambalo ni jeshi la Polisi), ambaye ndiye anatuhumiwa kuua raia!
Indonesia
Ayie Tag retweetledi

Kwa mujibu wa JAJI KYANDE ni kwamba Waandamanaji walipata mafunzo na walilipwa.
Nimemkumbuka ndugu MASTA TINDWA (R.I.P) aliefuatwa nyumbani na Kupigwa risasi hadi kufariki.
Usiku wa jana NYALANDU kahojiwa na Sky news ya uingereza anaulizwa "nani alitoa amri ya kuuwa?" Anasema Askari walienda kutuliza wananchi ambao walikuwa wanauwana wao kwa wao.
Ikumbukwe kabla ya mauwaji yote kuendelea "IGP WAMBURA" Alitoka na press iliyoruka live akiwataka wananchi waingie kulala saa 12 jioni, na kwamba wana "KAZI MAALUMU YA KUFANYA".
Baada ya hapo watu walianza kupigwa risasi za vichwa sio tuu waandamanaji mpaka watu waliokuwa majumbani walifuatwa na kupigwa risasi za vichwa.
Mtandao ukazimwa na baadhi ya maeneo umeme pia ukazimwa nchi ikaingia GIZANI kwa siku 6.
Haya yote ushahidi upo na dunia inajua. Sasa endeleeni kuleta NGONJERA kwenye maisha ya watu, hakuna kitu kigumu kama kutetea UONGO.
Leo mnasema watu walipanga haya maandamano nawalipata mafunzo na walilipwa, nafikiri mnatakiwa kutuambia ni wapi mafunzo yalifanyika? Pesa hizo ziliwafikiaje waandamanaji?
Tume ilikuwa na MAJAJI wawili na IGP mstaafu ambae pia ni mwanasheria wote hawa ni wataalamu wa Sheria ila ukisikiliza Ripoti ni kama imeandikwa na Watoto wadogo wanaoanza kuota VUZI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Indonesia
Ayie Tag retweetledi

“Jaji KYANDE na kamati yake ilitembelea familia 1327 za watu waliokua wameuliwa au kupotea” @LazaroNyalandu asikika Sky News ya UINGEREZA jana usiku.
wakati huohuo ripoti ya KYANDE inasema wameuliwa watu 518 au 818.
REPOST 500
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Indonesia
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi

Tukutane field Kyela_Mbeya.
1.Mikutano ya hadhara
2.Ujenzi na ufunguzi wa vijiwe / vizimba kila eneo.
3.pandisha bendera
#FreeTunduLissu
#Strongertogether
Indonesia
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi
Ayie Tag retweetledi













