TEAM Samia 🇹🇿

654 posts

TEAM Samia 🇹🇿 banner
TEAM Samia 🇹🇿

TEAM Samia 🇹🇿

@PresidentSamia

🇹🇿🌿☀️President Samia Fans☀️🌿🇹🇿 🟩🟨🟩🟨🚧Building a Better Tanzania.🚧 🟨🟩

Makunduchi, Zanzibar Beigetreten Ağustos 2023
109 Folgt85 Follower
Angehefteter Tweet
TEAM Samia 🇹🇿
TEAM Samia 🇹🇿@PresidentSamia·
🇹🇿FALSAFA YA AWAMU YA SITA🇹🇿 Samia’s 4Rs •Reconciliation •Resilience •Reforms •Rebuilding @SuluhuSamia @ccm_tanzania
Indonesia
5
0
3
2.7K
TEAM Samia 🇹🇿
TEAM Samia 🇹🇿@PresidentSamia·
Dear President @SuluhuSamia , Your steadfast leadership and unwavering commitment to Tanzania are truly inspiring. In the face of challenges, you've guided with grace, strength, and unity. Your efforts bring hope to many. Keep leading with courage. Tanzania stands with you.
English
0
1
2
2.2K
Christina shusho
Christina shusho@ShushoChristina·
My Goal is to have atleast 10,000 people that I will follow and be interacting with. One big twitter Family. So as we approach the 31st let's build this together. Good things are coming your way. #TukutaneGardenCity
Christina shusho tweet media
English
521
612
7.8K
407.4K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
. @officialzuchu uliimba “wapinzani watetereke sana.. Tanzania ya CCM inawakawaka”.. eeh! Ulifikiri umeme utakatika kwa wapinzani wa CCM tu? Au ulijua nyumbani kwa SADALA ni Ikulu umeme haukatiki? Mbezi Beach anaishi hadi Lipumba.. kula chuma hicho Zuhura.. pandisha bendera.
Martin Maranja Masese tweet media
Indonesia
170
153
1.1K
79.2K
millardayo
millardayo@millardayo·
Kama wewe ni Simba onesha furaha yako kwa RT moja nzito
millardayo tweet media
Indonesia
56
157
2K
63.9K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Akizungumzia kero ya foleni ya Dar katika mkutano na Wamiliki wa Bar, Night Clubs na Grocery, Mkuu wa Mkoa, Albert Chalamila amesema, "Mtu anaweza kusimama akisema 'Dar foleni sana Serikali haijafanya kazi kupunguza foleni', kuna vijiji vingi havina foleni hamia kwenye Kijiji ambacho hakina foleni" Ameongeza, "Aliyesababisha foleni Dar ni Mimi na wewe tulionunua gari. Serikali imewezesha Watu kununua magari na Rais anajenga Mabarabara, fly over kila kukicha lakini kila akijenga fly over kinakuwa kivutio cha wengine kutoka Kijijini kuja Mjini" Katika Miezi ya hivi karibuni wadau mbalimbali wa JamiiForums.com ambao ni wakazi wa Dar wamekuwa walikalalamikia kero ya foleni katika maeneo mengi na kutoa wito kwa Serikali kushughulikia kero hiyo Soma jamii.app/FoleniDarChala… #JamiiForums #ServiceDelivery #JFHuduma #Accountability #Uwajibikaji #Governance
Jamii Forums tweet media
Indonesia
69
19
430
61.9K
Mdude Nyagali
Mdude Nyagali@mdudenyagali·
Huu ni ujenzi wa Maasai Ngorongoro halafu anaibuka mwizi mmoja wa rasilimali na pesa za Umma kutoka Kizimkazi ndanindani huko anakuambia Wamaasai wanaharibu ikolojia, halafu muda huohuo analeta waaarabu na kujenga mahotel. Sasa Mwarabu na Maasai nani anaharibu ikolojia?
Mdude Nyagali tweet media
Indonesia
47
107
648
37.1K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
WHITE anawalalamikia TANESCO? WHITE utakula ulipo-peleka mboga….
Martin Maranja Masese tweet media
Filipino
155
169
1.5K
117.3K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Wameanza wameanza wameanza kulia huyu si mwanachama wa CCM ? Analia Lia sana
Indonesia
146
127
797
108.6K
TEAM Samia 🇹🇿
TEAM Samia 🇹🇿@PresidentSamia·
President Samia Tanzania is a visionary leader who has captured the hearts and minds of her people and the world. She is a woman of dignity and strength,who has overcome many challenges and tribulations. She is the pride and joy of Tanzania, a nation of wonders and opportunities.
TEAM Samia 🇹🇿 tweet mediaTEAM Samia 🇹🇿 tweet mediaTEAM Samia 🇹🇿 tweet mediaTEAM Samia 🇹🇿 tweet media
English
2
0
0
139
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Wizara ya afya inatumia Sh35.29 bilioni kununua magari hewa (pesa zimeliwa), wanawake wajawazito kituo cha Afya Buzuruga (Ilemela), Mwanza wanajifungua katika sakafu kwa foleni. Hakuna vitanda katika chumba cha kujifungua @ummymwalimu anaweza kuwa mwanamke katili zaidi Tanzania.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
20
112
631
31.1K
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
“Katiba mpya kuiunda kuifumua yote ni zaidi ya miaka mitatu hata saba ni kwasababu ukitaka kupita kukusanya maoni kwa wananchi wote sio jambo la miaka miwili labda sasa itumike busara sasa kwakuwa tumeridhiana sasa na hayo maridhiano yameleta amani itumike busara ya kuona tunaendaje kwenye uchaguzi” - David Daudi Mwaijojele, Mwenyekiti Chama cha CCK #SupaBreakfast #EastAfricaRadio
EastAfricaRadio tweet media
Filipino
27
2
119
16.6K
TBC DIGITAL
TBC DIGITAL@TBConlineTZ·
Ni changamoto zipi wanapitia mama wajawazito katika eneo lako? Maoni yako yatasomwa katika kipindi cha Jambo Tanzania #JAMBOTANZANIA
TBC DIGITAL tweet media
Filipino
1
1
7
1K
EastAfricaRadio
EastAfricaRadio@earadiofm·
"Utawala wa awamu ya tano siasa ilikuwa ngumu sana hii kuliminywa, watu walikuwa hawawezi kuongea tulikuwa kiukweli hatusikiki lakini sasa ili siasa irudi kwenye mrengo wake mahala pake lazima ipatikane amani, amani inazaa kila kitu maendeleo mafanikio na kila kitu kinakuwepo” “Kwahiyo ili tuweze kufanikiwa sote Rais akagundua ni kukaa pamoja ndo maana akaita machifu, wazee wakimila, viongozi wa kisiasa ,viongozi wa dini makundi mbalimbali ,asasi za kiraia kuhoji wanaonaje mambo yanavyo kwenda kila mtu akatoa maoni yake ndio maana tukafikia maridhiano na ndio maan vikao vyote unavyoona vinafanyika kwa sasa hakuna kundi linalosahaulika” - David Daudi Mwaijojele,Mwenyekiti Chama cha CCK #SupaBreakfast #EastAfricaRadio
EastAfricaRadio tweet media
Indonesia
19
2
134
17.1K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Taarifa ya CAG 2021/22 inaeleza; Wizara ya Afya chini ya @ummymwalimu iliagiza bidhaa zenye thamani ya Sh30.18 bilioni ikiwemo (dawa na vifaa tiba) vilivyopo katika maghala ya Bohari ya Dawa ya Taifa (MSD), vilikuwa vimekwisha muda wa matumizi. Wizara ya Afya, ikaidhinisha bajeti kwenda kununua vifaa tiba vilivyo’ expire, na kununua dawa kwa ajili ya matumizi ya binadamu ambazo muda wa matumizi umekwisha (expire). Wakachukua na kuhifadhi katika maghala ya MSD. Hawa watu ni WAUAJI. Kwa kuwa Ummy Mwalimu na familia yake hawatumii dawa na vifaa tiba katika hospitali, vituo vya afya, zahanati za serikali (akiugua anatibiwa nje ya nchi), akaona ni sahihi kuwaletea watanzania dawa za binadamu ambazo vimekwisha muda wa matumizi. Je, Ummy Mwalimu anastahili kuwa Waziri wa Afya za watanzania? Waziri wa Afya asiyejali ustawi wa maisha ya watanzania? Watanzania wangapi wamepata madhara kutokana na kutumia dawa hizo? Ummy Mwalimu anastahili kuwepo gerezani. Brigedia Mtikila, MMM.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
150
158
1.2K
122.9K