Jamii Forums

74.3K posts

Jamii Forums banner
Jamii Forums

Jamii Forums

@JamiiForums

Inform | Engage | Empower | Digital Democracy

United States Katılım Haziran 2009
215 Takip Edilen1.8M Takipçiler
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Zauda Mohamed, amewaomba wamiliki na madereva wa vyombo vya moto vinavyotoa huduma za usafirishaji "daladala", ambao Mei 25, 2026 walifanya mgomo wakidai kutokupewa taarifa za faini wanazotozwa na LATRA, kukaa pamoja na mamlaka husika ili kutafuta suluhisho. Kwa upande wake, kiongozi wa LATRA amewaomba viongozi wa madereva hao kukaa pamoja na mamlaka hiyo kujadili changamoto zao ili kwa pamoja kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto hizo. Zaidi tembelea jamii.app/MgomoMadarevaA… #JamiiForums #Uwajibikaji
Indonesia
0
5
18
1.7K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DODOMA: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, Mei 25, 2026, amewasilisha Bungeni Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027, akiomba kuidhinishiwa Tsh. trilioni 2.44 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara. Yapi maoni yako? Zaidi jamii.app/KatambiBajetiM… #JamiiForums #Utawala #Governance
Indonesia
6
1
17
2.1K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
KUMBUKIZI: Sehemu ya mjadala katika Bunge la 10, Mkutano wa 18, Kikao cha 3, uliofanyika Januari 29, 2015, ulihusisha Mbunge Tundu Lissu akichangia hoja huku Spika wa Bunge, Anne Makinda, naye akitoa muongozo. Hoja iliyokuwa mezani ilikuwa ni tukio la Mwenyekiti wa CUF wa wakati huo, Prof. Ibrahim Lipumba, kupigwa wakati wa maandamano yaliyoongozwa na chama hicho. Kushiriki mjadala huu jamii.app/BungeLa2015 #JamiiForums #Siasa #JFKumbukizi
Indonesia
2
42
158
5.4K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Baadhi ya kero za Watumishi zilizoripotiwa ndani ya JamiiForums.com kupitia jukwaa la “KERO” 🧵👇 Inaendelea...
Jamii Forums tweet mediaJamii Forums tweet mediaJamii Forums tweet mediaJamii Forums tweet media
Filipino
0
0
1
308