Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Iringa, Elizabeth Swai akifikisha ujumbe kwa Wanawake wakati alipokuwa akizungumzia kupambana na unyanyasaji na ukatili wa Kijinsia.
Mdau, una neno gani kwa Wanaume wa Iringa?🌚
Shiriki Mjadala jamii.app/WanawakeUlevi#JamiiForums#JFMaisha#Uwajibikaji#Maisha#HumanRights
COLOMBIA: Waziri wa Ulinzi, Pedro Sanchez amesema ni mapema kubaini chanzo cha ajali hiyo huku akisisitiza kuwa hilo ni tukio la uchungu kwa nchi hiyo.
Soma jamii.app/MilitaryPlaneC…#JamiiForums#JFMatukio
UGANDA: Kesi hiyo ya Kikanda imefunguliwa baada Mahakama Kuu kuruhusu Mgombea Mkuu wa upinzani, Robert Kasibante 'Bobi Wine' kuondoa kesi yake ya kupinga matokeo ya Urais kutokana na ukosefu wa rasilimali. Rais Yoweri Museveni anatarajiwa kuapishwa Mei, 2026 kwa muhula mwingine wa uongozi ambapo alishinda kwa 71.65%.
Zaidi jamii.app/WanasheriaUcha…#JamiiForums#Sheria#HumarRights#Democracy#AfricanPolitics
Machi 24, 2026: Baadhi ya mijadala fikirishi inayoendelea ndani ya JamiiForums.com inayofaa kuifuatilia kama wewe ni mjasiriamali au ungependa kuwekeza kwenye masoko ya hisa
-
Maoni ya wadau kwenye mijadala hii ni fikirishi na yana mchango mkubwa sana kupanua uelewa wako wa mambo
-
Ni slide gani unaona inakugusa zaidi?
DAR ES SALAAM: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa Uongozi wa Jiji kuboresha maeneo yaliyotengwa kuwa bustani, kwani hali ilivyo mengi ni kama yametelekezwa au kutumika kwa miradi mingine.
Anatoa mfano eneo la Mnazi Mmoja kwamba lipo karibu na Hospitali ya Mnazi Mmoja, inakuwaje mamlaka zinashindwa kuboresha hadi linageuka mazalia ya mbu? Maafisa wa Mazingira wanafanya kazi gani?
Zaidi tembelea jamii.app/MnaziMmojaUcha…#JamiiForums#JFMdau2026#Uwajibikaji#PublicHealtth
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (MUWSA), Flora Nguma ametoa ufafanuzi kuhusu matukio ya wizi wa Mita za Maji Kilimanjaro.
Ikumbukwe, Machi 11 2026, Mdau wa JamiiForums.com alitoa ushauri kuwa bora Mita hizo ziwe ndani ya uzio kwa kuwa matukio ya wizi yameripotiwa mara kadhaa na bado yanaendelea kujitokeza.
Zaidi jamii.app/MUWSAWiziMita#JamiiForums#Uwajibikaji#JFHuduma#JFMdau2026
Zimetimia Siku 24 tangu kuanza kwa mashambulizi yanayohusisha Israel na Marekani dhidi ya Iran yaliyoanza Februari 28, 2026, wakati huohuo bei ya nishati ya mafuta nayo inazidi kupanda.
Zaidi jamii.app/IranTrump#JamiiForums#JFDiplomacy
DODOMA: Mdau wa JamiiForums.com anatoa wito kwa mamlaka husika kufuatilia uhalali wa fedha taslimu wanazotozwa Madereva Pikipiki na Bajaj wanaopita eneo la geti la Chuo Kikuu cha Dodoma (#UDOM) kama ni halali au kuna mazingira ya 'upigaji'.
Zaidi jamii.app/UDOMSUMA#JamiiForums#JFMdau2026#Uwajibikaji