Panorama Authentik retuiteado

kuna siku Mwandishi Mmoja alimuuliza @dizastavina kuhusu ile vita yake na bwana Mdogo.
Humbly, Jamaa akajibu " Only cowards husheherekea vita, Waungwana hunawa damu na ku-move on.."
The other day, Akaulizwa kuhusu sababu ya beef yeye na Rapcha.
👇👇👇
Filipino

























