Anuar
75 posts

Anuar
@anuar_chih
My game plan is mystery
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2022
234 Takip Edilen13 Takipçiler


@ze_mandevu That's logic question na inatakiwa kumjibu bila kutumia hisia
Filipino

@ze_mandevu Sio kila anachokisema ni sahihi anaposema ukweli tutaungana nae na anaposema uongo na kuonesha chuki tutampinga
Filipino

WANAUME NA SANAA YA KUJIKATA MIGUU
dizastavina.com/2025/10/20/wan…
Tanzania 🇹🇿 Indonesia

@EagleTip_ @Sharb84 @BarakaMaviatu Kwa mungu amna democracy,hakuna free will,hamuwezi kujadili kuhusu jema au baya ni yeye ndo anayeamua kila kitu na amekuwekea sheria zake uzifate na usipozifata una dhambi japo haukumwomba akulete duniani
Indonesia

Ila kama tunaongea ule uhalisia suala la shetani ni kama Mungu anatuchezea pata potea.
If tunaamini sifa za Mungu ambazo hua tunampa basi shetani asingekuwepo. Labda tuseme Mungu alikua hajui kua anaumba kiumbe hatari au alifanya makusudi.
Kinyume na hapo haingii akilini.
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿@k_mjege
Ukute Shetani alikuwa mtu mwema tu. Kisha akaanza kudai rifomuz. Wenye madaraka yao wakamuwahi mapema kabla hajapushi reli; wakamshusha Mwanza huko akatulie na akina Lubasha.
Indonesia

@AthanasBenson @Be_FrankSr Nilijua tu nitakukuta huku mdogo wangu 😅 na mimi naenda na Fact
Indonesia

@AthanasBenson @dizastavina DIZASTA WILL ALWAYS BE CROWNED. LABDA KIZAZI HIKI CHOTE TUFE KWA PAMOJA KWA TSUNAMI. Halafu kizazi kijacho kisijue tu kuwa aliwahi kuwepo mtu anaitwa dizasta vina. Napo wakiyaona mabaki ya fuvu tu nakiamsha tena
Filipino

Dizasta hatumpendi tu kwa sababu ana rap sana. Dude is genuine, one of a kind.
Waliyo na wanayoendelea kuyafanya Legends wa Hip Hop kwenye sanaa zao, Dizasta anayafanya kwa ubora zaidi, and he still keeps it 100.@anuar_chih @dizastavina

Filipino

@mswahili___ Uzuri wako tu na muonekano wako unaonekana ni mtulivu na mwenye kujiamini sana na hivyo ndio vitu hua napenda sana kwa Mwanamke
Indonesia



















