Biashara ya vifaa vya ujenzi? Ni biashara nzuri sana kama👇🏼
1. Utaweka duka sehemu mji ndio unaanza kukua yaani sio city center
2. Mtaji mkubwa; jitahidi mtaji uwe mkubwa mtu akija anapata vitu zaidi ya 4
3. Ukiweza weka huduma ya usafirishaji mpaka site
#DijitiNaBiashara
Kama wewe ni kijana wa miaka 20 hadi 40 na unataka kuona mabadiliko na mafanikio ya kweli mwaka huu wa 2026, huu ni ujumbe wangu kwako.
Nimejifunza mambo haya kwa vitendo, na nataka nikupe ukweli ambao ukishika, hutabaki pale ulipo.
Usijishauri mara mbili kufanya haya mambo 12 kuanzia sasa hivi:🧵
Kuna mgahawa mmoja pale Posta , nadhani wale wahudumu kama walifundishwa Customer management and Care , wale somo walielewa tofauti. Picha linaanza, mkifika tu entrance, kama mpo watatu bhasi wanakuja wahudumu nane, huyu kasema hiki, huyu kasema kile,. yani ni vurugu, . mnafika mnakaa, bhasi anisikilize mmoja, wapiiii watatu wote wanakuuliza unachokula, sijui wale wahudumu wana KPI's zipi ila ni moja ya vitu vinafukuza sana wateja ni hicho,. badala iwe proper customer care inakuwa kero, . chakula kizuri ila ukishawaza ukifika pale , unabadilisha chaka🙌...