Sabitlenmiş Tweet
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿
51.3K posts

TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿
@BusesDaily
WE ARE THE BRIDGE BETWEEN YOU AND BUSES. YouTube Link; https://t.co/TnDkBKCp8q https://t.co/PF9t3siVul
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2020
100 Takip Edilen16.3K Takipçiler
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi

#OnThisDay in 2⃣0⃣1⃣9⃣ we visited Tanzania to face Simba SC in a friendly 🇹🇿
An unforgettable experience sharing football and friendship with our Tanzanian friends ❤️🤍

English
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi

Kwanza kabisa ukisikia mtu KATEKWA na kapona utekaji mpe pole na kuwa mfariji. Habari za kuanza kukosoa anayosema kuhusu utekwaji wake inaumiza sana.
Mimi nilipotekwa na nikaanza kusimulia utekwaji wangu ilikuwa ni kama MOVIE na wapo wengi walijua natunga story. Mimi nilitaja mpaka SAA kila tukio nililokumbuka na kusimulia.
Chawa wakalipwa kuaminisha watu kuwa mimi SIKUTEKWA ni ishu zangu na “Washkaji”, “mambo ya mapenzi”.
Siku zilivyoenda UKWELI ukajitenga na MAFWELE niliemtaja tangu siku ya kwanza akajulikana kuwa ndie MTEKAJI MKUU wa taifa.
Na leo ukiambiwa wanaoteka watanzania ni POLISI hakuna anaekataa maana USHAHIDI wote unaonyesha ni wao.
Maswali kadhaa ambayo huji kupata majibu ni haya na ndio ishara kwamba wao ndio watekaji.
Maswali hayo ni yafuatayo;
1. Kwanini hakunaga ripoti za majibu ya uchunguzi ya kuhusu UTEKAJI?
Achana na ishu yangu SATIVA watakuambia sijatoa ushirikiano, vipi kuhusu UTEKAJI wa mzee KIBAO? MDUDE? SOKA? Kuvamiwa kwa Father KITIMA?
2. Pingu zinazotumika kwenye utekaji kiuhalisia nani anayo mamlaka ya kumiliki PINGU nchini kisheria?
3. Matumizi ya SIRAHA za moto kwenye matukio ya UTEKAJI kisheria nani anayo mamlaka ya kumiliki silaha kisheria?
4. Kuhusu magari wanayotumia kuteka watu kwanini mengi hayana Plate number na mengine yana plate number ZA nchi jirani?
Haya magari kwanini hayazuiliwi kwenye vizuizi vya vyombo vya usalama (Check points) zilizopo barabara nyingi nchini?
5. Mtu kama MAFWELE alietajwa kwenye utekaji wangu mimi SATIVA kwanini mpaka leo hajahojiwa kwa UTEKAJI wangu na badala yake kapandishwa cheo huko kwenye upolisi?
Haya ni maswali machache ambayo kila mwenye akili timamu anajua WATEKAJI ni polisi na hawa WATU HAWAWEZI KUJICHUNGUZA KUMALIZA UTEKAJI NCHINI.
Sir TIVA
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi

TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi
TANZANIA BUSES DAILY 🇹🇿 retweetledi


















