Sabitlenmiş Tweet
Mafioso
17.3K posts

Mafioso retweetledi

Unapata mtoto ukiwa na miaka 30, mtoto baada ya miaka 6 anaanza darasa la 1, wewe una miaka 37, anamaiza la 7 wewe una miaka 44. Anamaliza form 4 wewe una miaka 48. Anamaliza form 6 wewe una miaka 50. Anajiunga na JKT wewe una miaka 51. Anamaliza chuo kikuu (maximum miaka 4) wewe una miaka 55. Anatafuta kazi na kuanza kujitegemea mwaka 1/zaidi, wewe una miaka 56. Hapo tufanye hajafeli wala kurudia vidato. Huyo ndio first born wako. Usisahau Life expectancy ya Tanzania ni miaka 52.
Enhee! 🤔
888@444holywitch
Ni mitandao na pressure za jamii ila sio kitu cha ajabu kutokuwa umeoa au kuolewa ama kutokuwa na mtoto katika miaka 30's. Umri ni namba, kuzeeka ni hisia.
Indonesia

@rajuQuire unaweza zaa ukiwa na 25 , ukafariki na 30. Mwingine akazaa akiwa 30 na akabeba hadi wajukuu.
Kingine hakuna maana ya kuwapa watu presha. Mfano mtu kashafika 35, unamshaurije?..
Asipate mtoto ama!!
Na aliye 26 hajapata mtu sahihi, azae tu na baadae aanze kudili na drama
Indonesia

@rajuQuire Hizo ni akili za masikini
Mtoto miak 18 ni vzr akasimamia mirad kama ufugaj biashara n.k.

@lai_babu @rajuQuire @Adv_innocent Hapo ndio inabidi utafute hela ukiwa na nguvu ili ukifika umri flani zinakua zinakuja zenyewe tu sio lazima utumie nguvu kuzitafuta zilee hao madogo

@capitanpapilon @rajuQuire @Adv_innocent Ishu sio mtoto kujipata au kutojipata ishu ni nguvu ya wewe mzazi kuendelea kupambana kumbuka kadri umri wako unavoenda mwili unapoteza nguvu na ukichelewa kuzaa wewe majukumu yako ya uzeeni yanakua makubwa kuliko nguvu zako

@capitanpapilon @rajuQuire @Adv_innocent Nionenesha kijana under twenty mwenye utajiri wa Bilioni Moja hapa bongo nikuone she farasi anayepaa
Indonesia
Mafioso retweetledi

@MangiwaKwanza1 @Adv_innocent Dangote amewahi mtabiria makubwa sana huyu Jamaa , kuna source nilisoma inasema io EAZI BANK anataka ioperate Nigeria , Ghana & South Africa , mtaji wa USD 900M 😃, pia huyu Jamaa kama sio mmiliki mwenza basi ni mmiliki wa BETPAWA 😃
Indonesia

Huyu jamaa alioa mtoto wa bilionea mmoja uko Nigeria, wahuni tukajiuliza kinoma imewezekana vipi au jamaa kakubaliwa kuingia kwenye familia ya wakubwa kisa ni msanii, kumbe muhuni na yeye ni business man mkubwa kinoma.
Dada zetu haya mambo huwa yanaenda na cycle ukimtaka mwanaume mwenye hela na wewe kuwa na hela, ukitaka umpate mwenye gari kali na wewe kuwa na gari 😆 kama wewe ni mwenzetu wa daladala na mwendokasi lazima ukutane na wakina sisi utake usitake 😎

Indonesia
Mafioso retweetledi

Nyuzi za huyu nilikuwaga naogopa kusoma usiku😂
yOuNg_tHuG@bOy___ThUg
Huyu alipotelea wapi na nyuzi zake za kiturist?
Indonesia

@DoneSome18 Bila kuchoka,long shot na tunaondoka ila tumepigwa sana mpk wabaya wetu wanafurahia
Filipino














