Tweet fijado
Xprophet♊️
6.4K posts


Usitie huruma kaka vumilia mavuno ya mbegu ulizopanda
Madenge@rollymsouth
Nimeambiwa natafutwa pia but fresh nishamwambia wife wakifanikiwa kunipata na kunipoteza atumie urithi mdogo wa mzee Malaba kuwalea watoto

Kama hukufanikiwa kuingia space
Pitia humu uone madudu alokua ana bwabwaja huyu choko @rollymsouth
Indonesia

@Mwinshehe07 Bro hata usiulize kwanini ile haikua coincidence, huyu kuma alikua anajua anachokifanya 100%
Aliyemtumia aliona mbali sana
Indonesia

Madenge kwanini muda wote ulikuwa haujawahi kuongelea Ford Foundation halafu baada tu ya matukio ya Oct 29 ukaamua kutweet? Yaani kwenye kipindi ambacho taifa lilikuwa kwenye maumivu makubwa ya watu kuwawa, kupotea, kujeruhiwa kwa risasi na familia nyingi kulilia na kutafuta ndugu zao?
Ulikuwa unasaidia kutoa taarifa au ulikuwa unatafuta ku-create narrative kwamba kila aliyekuwa analalamikia haki analipwa?
Timing ya hiyo tweet yako inaonekana wazi kabisa ulikuwa unatumika kisenge kupotosha mjadala wa maumivu ya Watanzania. Na hiyo itakaa hivyo kwa huo upumbavu ulifanya🚮
Madenge@rollymsouth
Nieleze nimeshiriki vipi?kwa kifupi,maana mimi sio msomaji
Indonesia

Huna chochote chakunifanya mzee..hunaaaa
Think Different@lifeofmshaba
Wewe utashughulikiwa vizuri kisheria maana uliongwa kutusingizia kumbe ulikuwa mpango mkubwa na sasa tumeona Huna busara zote
Filipino

@rollymsouth @PASB96 Tukiikomboa hii nchi na wewe jina lako linatakiwa liwe kwenye list ya wahusika wa Mo29
You are enemy of the progress
Filipino





















