Mr. 𝙇𝙚𝙖𝙙 🦏

10.9K posts

Mr. 𝙇𝙚𝙖𝙙 🦏 banner
Mr. 𝙇𝙚𝙖𝙙 🦏

Mr. 𝙇𝙚𝙖𝙙 🦏

@PASB96

Economist. Business consultant. no negative externalities. No any political party. @YoungAfricaSc

Nairobi, Kenya Katılım Ekim 2021
1.9K Takip Edilen2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mr. 𝙇𝙚𝙖𝙙 🦏
Dunia imejazwa na vitu vitatu vikubwa vya asili 1. Maji 2. Anga 3. Ardhi Katika hivyo vyote kipi umekitumia kuwekeza? Maji na Anga ni Ngumu. Vipi juu ya ardhi umefanya nini?? Umetafuta kipande cha ardhi kilichojengewa tofali na paa ukapanga? #ItumieArdhiKiuchumi
Indonesia
0
0
0
84
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Naona DM zimekuwa nyingi kuhusu ratiba ya kesho – PILAU LA WAPWA SIKU YA IDDI. RATIBA itakuwa kama ifuatavyo: 🕌 Saa 1:00 – 3:00 Asubuhi Tutaanza kwa swala katika Msikiti Mkuu, Kinondoni. 🍽️ Saa 3:00 – 5:00 Asubuhi Dua na pilau vitafanyika kwenye apartments zangu mpya zilizopo Kinyerezi. (Bado zipo hatua za awali kabisa – tupo ground floor, jengo la ghorofa tatu.) Kutakuwa na dua maalum ya kuomba Allah tumalize ujenzi salama pamoja na pilau ya kutosha. 🍛 Saa 5:00 – 7:00 Mchana Pilau kwenye apartments zangu za Tabata. (Hakutakuwa na dua – ni kula tu.) 🍲 Saa 8:00 – 10:00 Jioni Pilau la kutosha kwenye apartments zangu za Mbweni. 🏠 Saa 10:00 hadi Majogoo Tutamalizia Whitehouse (nyumbani kwangu), Goba – mapumziko, burudani na kuendelea kula. Jumapili tutahamia Zanzibar kwenye Apartments zangu- ratiba kamili itatoka Kila mtu anakaribishwa 🙌 Sema karibu kwako itakua wapi- nkupe location kwenye comments… Karibuni sana tusherehekee pamoja siku ya Iddi!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya Tumefungua Leo… ila Iddi Tutaswali Kesho,IN SHA ALLAH🙏🏽🙏🏽 Karibuni saana kesho Nyumbani kwangu GOBA,Dar Es Salaam- tupige Pilau🤝

Indonesia
152
55
364
39.1K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 𝗦𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀
Ni Hila zao na roho mbaya Huwa zinapelekea Wachezaji kupotea kwenye ramani soka, Mchezaji amepata sehemu iliyotuliza nafsi yake na kufanya kazi yake kwa utulivu akifurahia kile anachokifanya Kiongozi wa idara ya habari anaandaa Press Conference kumsimanga akionyesha chuki waziwazi juu ya maendeleo yake Swali Israel Mwenda hakuwahi kucheza Simba SC? Tena Hakuwa mchezaji muhimu ila Kule panga pangua ulishawahi kuona anasimangwa Captain Tshabalala alipita Unyamani na aliishi kwa miaka mingi ila hatuwajahi kuitisha mkutano na waandishi wa habari kumsimanga Yote kwa sababu tunaelewa na kuheshimu maamuzi na ajira zao mpya pia tunalinda akili Yao,Saikolojia Yao ili wafanye Kazi kwa Amani Hizi klabu ni utani wa jadi ulioasisiwa na wazee wetu ila chuki zetu Tunataka kuufanya utani kuonekana uadui BE STONG NICKSON KIBABAGE WANASIMBA TUNASIMAMA NA WEWE 🦁🦁🦁
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 𝗦𝗽𝗼𝗿𝘁𝘀 tweet media
Indonesia
59
24
416
26.7K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Huu ni upotoshaji. Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kwamba rangi hizi zinawakilisha LGBTQ+. Hizi ni rangi za kawaida zinazotumika kila siku katika elimu, sanaa na ubunifu. Kuzihusisha moja kwa moja na ajenda fulani bila msingi ni uoga usio na sababu na tafsiri ya haraka isiyo na uthibitisho. Rangi za LGBTQ+ zina utambulisho wake maalum kupitia rainbow flag yenye mpangilio unaojulikana: red, orange, yellow, green, blue na purple. Kama nilivyoonyesha ktk picha hapa. Hizi unazoona ni ubunifu wa kawaida kabisa kama rangi za watoto au michoro ya kijamii. Kinachokera zaidi ni kuona imani ya Kikristo ikidhalilishwa kwa maamuzi ya haraka yasiyo na mantiki. Kuzuia mkutano wa injili kwa sababu ya rangi ni kuonesha udhaifu wa kufikiri na kuipa hofu nafasi ya kuongoza badala ya ukweli. Tuache kudhoofisha na kudhalilisha imani yetu kwa maamuzi ya papara. Imani ya Kikristo haihitaji kulindwa kwa hofu wala kwa kuchanganya mambo yasiyo na uhusiano. Inahitaji kusimamiwa kwa ukweli, ujasiri na hekima. Serikali imefanya udhalilishaji mkubwa dhidi ya imani ya KIKRISTO , na kwa viongozi wa dini maamuzi ya kuomba radhi bila kuchambua kwa kina yanaweza kuleta picha ya kukosa msimamo na kuendelea zaidi kudhalilisha Kanisa. Kanisa lina wajibu wa kusimama imara katika ukweli, si kuyumbishwa na tafsiri zisizo na msingi. Kazi ya Kanisa si kuogopa vivuli, bali kusimama katika nuru ya kweli. Kupambana na uovu hakumaanishi kupoteza mantiki.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
40
25
134
10.2K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
APP Gani unaitumia zaidi kusikiliza Music..? 1️⃣ Apple music 2️⃣ Spotify 3️⃣ YouTube music 4️⃣ Boomplay 5️⃣ Audiomack 6️⃣ Pandora 7️⃣ Mdundo 8️⃣ Deezer 9️⃣ SoundCloud 🔟 Vibrer 1️⃣1️⃣ TIDAL
Eesti
33
21
99
3.6K
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Alafu bado utasikia Yanga haichezi vizuri,sawa haichezi vizuri ila swali haichezi vizuri ukilinganisha na timu gani hapa Tz? Yanga ndio SI unit kwa soka la Bongo.
Dominicksalamba tweet media
Indonesia
56
8
186
7.9K
MRENO⛑️
MRENO⛑️@mreno255·
Mchungaji analindwa na kikundi cha mabaunsa 13 halafu wewe anakupatia mafuta na maji yakulinde .Si upuuzi huo 😂💔🚮
Filipino
14
19
61
1.3K
NICE (🎹🎸)MCHINA WINGA
Guys , I'm happy because people trust me, Toka nianze biashara Leo ndio mara kwanza napewa order ya mzigo wa 2.3M Najua kwa wengine wataona ndogo ila kwangu ni kubwa sanaa, Endeleenii kuniamini 🤌🏾
NICE (🎹🎸)MCHINA WINGA tweet media
Filipino
70
75
418
26K
August 8
August 8@JovithModest88·
@Dominicksalamb1 Hivi kipimo Cha Ubora wa Yanga Ni SIMBA au nyie ndo hamna Akili za kupima Ubora wa team yenu?
Filipino
1
0
8
320
Bamanyisa Ckriss
Bamanyisa Ckriss@CkrissBamanyisa·
@DrCyrilo @PASB96 Hawa wanaojiita Upinzani wengi ni Project za Mataifa ya Ulaya wakiongozwa na US wanafanya hivyo sababu wanajua kipi wanahitaji kwenye Mataifa ya Africa, Ingekuwa vyama vya Upinzani vina faida tungejifunza kwa Nchi kama Zambia na Malawi..
Indonesia
1
0
1
14
Dr. Chris Cyrilo
Dr. Chris Cyrilo@DrCyrilo·
📌Shambulio la kutaka kumuua TL 📌Kuteka, kupoteza, kuua na kubambikia kesi wakosoaji wake 📌Kupora uchaguzi 2019, 2020 📌Mauaji ya mtoto Aquilina halafu kesi wakapewa viongozi wa CHADEMA Wanaomuita shujaa wao ni wau watu katili, wenye roho mbaya sana au ni wajinga sana.
Dr. Chris Cyrilo tweet media
Indonesia
52
66
336
11.2K
kazen mmary
kazen mmary@KazenMmary62031·
@PASB96 @IAMGeorgesw @DrCyrilo Beni saa nane alipotezwa nanani mpaka leo hajulikani alipo kauli aliitoa ikulu Lisu akachapwa risasi kwahiyo kama Kuna mazuri na mabaya yatasemwa kwahiyo tuvumiliane
Filipino
1
0
0
9
BAU
BAU@amjustbau·
Bakuli la followers ili maalim weka handle watu tunaugwadu wa kuku follow mda huu ✅✅✅
BAU tweet media
Filipino
31
15
44
793
JamesMzalendoTZ
JamesMzalendoTZ@e50232511·
@PASB96 @godbless_lema tusitumie wakati hio rangi ipo tangu Mvua ya kwanza, Hata kwenye biblia ipo? Wambie Mashoga wasi itumie mana wao ndo wame i haribu hio rangi. Hizo rangi zilikuwa zina tumika vizuri kabla ya LGBTQ+ kuanza kuzitumia. Long story short wao ndo wache kuitumia sio sisi.
Indonesia
1
0
0
7
britishboe
britishboe@british77boe·
Naona tujiite viwavi jeshi sasa,kama unataka kukua weka handle yako lakin follow kila mtu,NB fb haiombwi ni lazima kurudisha 💪🏾💪🏾
britishboe tweet mediabritishboe tweet mediabritishboe tweet media
Indonesia
8
3
16
512