Sabitlenmiş Tweet

Dunia imejazwa na vitu vitatu vikubwa vya asili
1. Maji
2. Anga
3. Ardhi
Katika hivyo vyote kipi umekitumia kuwekeza?
Maji na Anga ni Ngumu. Vipi juu ya ardhi umefanya nini??
Umetafuta kipande cha ardhi kilichojengewa tofali na paa ukapanga?
#ItumieArdhiKiuchumi
Indonesia




























