ICON🤠
2K posts

ICON🤠
@ChileIcon
Die Trying🙏//Street SOUL💔// Bless Us..👊


HipHopFamily naziona comments chini ya uvungu Zina sema mkongwa kapuyanga! Sijajuwa kapuyanga kivipi🤔 Kwaupande wangu nielimu sana kwa vijana na wazee, Ujana una mambo yake nauzee una mambo yake nimuhimu kutofautisha Mashabiki na hisi walitaka line za diss TunaPostHipHopTu








HipHopFamily naziona comments chini ya uvungu Zina sema mkongwa kapuyanga! Sijajuwa kapuyanga kivipi🤔 Kwaupande wangu nielimu sana kwa vijana na wazee, Ujana una mambo yake nauzee una mambo yake nimuhimu kutofautisha Mashabiki na hisi walitaka line za diss TunaPostHipHopTu





HipHopFamily naziona comments chini ya uvungu Zina sema mkongwa kapuyanga! Sijajuwa kapuyanga kivipi🤔 Kwaupande wangu nielimu sana kwa vijana na wazee, Ujana una mambo yake nauzee una mambo yake nimuhimu kutofautisha Mashabiki na hisi walitaka line za diss TunaPostHipHopTu


@Roma_Mkatoliki @chapo255 Wana Hip Hop wetu wengi wanashindwa kuconnect na raia. Msanii hajui aimbe nini ambacho hata mtu ambae yupo chaka akisikia atikise kichwa. Kuna namna pia hakuna connection kati ya mziki na biashara. Je biashara zitawatumia vipi wasanii ambao hawawezi kusanya kijiji?



Nadhani si kwamba watu walikuwa wanataka line za diss ila kwa Jay moe tulitegemea ufundi mkubwa sana na majigambo ya hali ya juu. Labda nikupe mfano imagine ile ngoma yake ya "Famous" ndio ingekuwa Tukusa yake Yaani moto na ufundi wa namna ile sio hiki alichofanya ni kawaida












