Mr. Makalio retweetledi

Wanaharakati kutoka Kenya walifanyiwa unyama wa ajabu kule Tanzania juzi tu. La kuvunja moyo zaidi ni zile kejeli baadhi ya wabunge wa Tanzania waliwaelekezea wanaharakati hao kwenye vikao bungeni. Sasa rais Ruto ameratibiwa kuhutubia bunge hilo hilo wakati hatujapata maelezo ki rasmi kama wakenya kwa uovu huo. Ndugu zetu wa Tanzania jueni hatujamtuma mtu! Tunasimama na haki, demokrasia na uhuru wa wananchi katika kanda hii yetu na hatuezi kuonekana kutambua uongozi wa ki imla.


Indonesia



















