GUMBO_1 +255⚽

3.2K posts

GUMBO_1 +255⚽ banner
GUMBO_1 +255⚽

GUMBO_1 +255⚽

@255Wilfred

I believed in God

Ankara, Türkiye Katılım Haziran 2019
751 Takip Edilen192 Takipçiler
MO 29 TV
MO 29 TV@MO29TV·
Furaha ya wananchi wamuibua bahamedi wa sinza.
Indonesia
70
27
336
31.9K
GUMBO_1 +255⚽
GUMBO_1 +255⚽@255Wilfred·
@SuluhuSamia Sidhani kama kuna mwaka ndani ya miezi 5 wabunge 3 wamekufa. Hii nadhani 29 inafanya kazi
Indonesia
0
0
0
74
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mheshimiwa William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, kilichotokea leo jijini Dodoma. Tumepoteza kiongozi shupavu, mahiri, mwenye uzoefu mkubwa, mzalendo na mtumishi wa umma aliyelitumikia Taifa letu kwa uadilifu, weledi na kujitolea. Mchango wake mkubwa katika ujenzi na maendeleo ya Taifa letu utaendelea kuenziwa na kukumbukwa siku zote. Ninatoa pole kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu, familia, wananchi wa Jimbo la Isimani, ndugu, jamaa na marafiki pamoja na Watanzania wote kwa msiba huu. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
237
130
743
63.4K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi kupata uongozi Mkuu wa Nchi, akiahidi kushughulikia wale wote wanaopanga njama za kuharibu na kudhoofisha jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan ili kufanikisha ndoto zao za Urais. Makonda amebainisha hayo leo Jumatano Machi 25, 2026 mkoani Arusha mbele ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wakati wa mkutano wa mwaka wa wadau wa elimu kwa umma nchini, akiwaonya pia wateule wa Rais ambao wamekuwa wakitumia nafasi zao kupanga safu za kuwania Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, akiahidi kutomsaliti Rais Samia Suluhu. "Mimi tukiwa kwenye vita situmi mtu, nakuja mwenyewe kukushughulikia na nina bahati pia ya kusema na Mungu, watu wote hawa wanaojipanga na Urais hawawezi hata kushika Urais mwaka 2030, mtaniona hapa na hili wekeni kwenye kumbukumbu, hawatapata kwani Watanzania si wasahaulifu na pia tutaweka rekodi ulifanya nini awali na ukweli ni kuwa huwezi kuwa malaika dakika za mwisho kabla ya uchaguzi. Shetani ni shetani tu hata kama akizeeka”, amekaririwa Makonda. Akibainisha kukerwa na kuona baadhi ya wanasiasa wakiwa kwenye mipango kuelekea 2030 pamoja na kutaja uzoefu wake katika siasa, Makonda ameeleza pia kushangazwa na maigizo ya baadhi ya wanasiasa ambao wamekuwa wakiigiza kusikiliza kero za wananchi, kuikosoa serikali pamoja na kutaka kujiweka kando na serikali, akimpongeza Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu kwa kusimama imara na Rais Samia Suluhu Hassan, kumtaka kutokatishwa tamaa na kuahidi kusimama na Rais Samia dhidi ya wote wanaompinga.
Indonesia
35
10
98
12.9K
millardayo
millardayo@millardayo·
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa, ambapo amesema Watu hao wote wanaojipanga na Urais mwaka 2030 hawatoupata. Akizungumza mbele ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Jijini Arusha leo Machi 25, 2026, Makonda amesema ““Kuna Watu wengine nikikaa nasikiliza hotuba yake nasema huyu kabadilika lini?, kuna Watu wanapenda kuyatumia matatizo ya Wananchi kama vile Watetezi halafu uwezo wa kutetea hawana kwasababu hawana hiyo rekodi ya kutetea Wananchi” “Sasa tunaelekea huko 2030 wataibuka Watu wengi sana, nataka niwaambie Mtu yoyote atakayemsaliti Dkt. Samia ambaye alituona, Mimi binafsi nilipata bahati Rais Samia aliniona nikiwa Mtaani miaka mitatu na miezi sita hata simu haiiti, unakaa na Mkeo unacheza na Watoto unajifunza na muda wa kuwapeleka Shule, Mtu huyu amekuona akakupa nafasi, sasa kupitia hiyo nafasi umepata hela kidogo, umeanza kuwa na jina kidogo, unatengeneza network halafu unapambana kupambana na yule aliyekupa nafasi na heshima hiyo” “Mimi Paul Makonda sitomsaliti Dkt. Samia Suluhu Hassan na kama uongozi wangu unatakiwa kuishia 2030 utaishia hapo kwani kuna shida gani?, kwani unatakiwa utawale maisha yako yote?, na ndio maana ukiona hao Viongozi wanataka kujitenganisha hii Serikali yeye akae pembeni awe sehemu ya Wakosoaji wa Serikali” “Mimi tukiwa kwenye vita situmi Mtu, sio wale mkikutana mnachekeana aah Kamanda tuko pamoja halafu unasuka mipango huku nyuma aah Mimi nakuja mwenyewe kukushughulikia wote wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake huu kwa ndoto zako hazitotumia” “Mh. Waziri Mkuu Mimi nina bahati ya kusema kidogo ya Mungu, Watu wote wanaojipanga hawa hawawezi kushika Urais nakuhakikishia, wekeni kwenye kumbukumbu hawapati, Watanzania hawawezi kuwa wasahaulifu tutaenda rekodi kwa rekodi hauwezi kuwa Malaika dakika za mwisho, shetani ni shetani tu hata kama akizeeka” #MilardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
227
26
536
78.7K
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Huu sio mwendo wa timu inayopambania ubingwa
Shaffih  Dauda tweet media
Filipino
46
17
483
13.9K
Bayer 04 Leverkusen
Bayer 04 Leverkusen@bayer04_en·
The Confederation of African Football (CAF) has declared Morocco – and Eliesse – as winners of the 2025 Africa Cup of Nations! 🏆
Bayer 04 Leverkusen tweet media
English
4.3K
1.2K
14.9K
1.5M
Beast
Beast@emabilly2001·
Ni ulimbukeni na ushamba huwezi kuniambia unalisha ng'ombe majani kwenye gari nikuone wewe ni tajiri. Never ni utahila tu huyu jamaa anaendelea kuonyesha watu wa mbeya wengi ni malimbukeni
Beast tweet media
Indonesia
94
29
327
28.7K
Algeria FC
Algeria FC@Algeria_FC·
Trophies are won on the pitch 🇸🇳⭐️⭐️
Algeria FC tweet media
English
3.5K
61.8K
408.2K
6.6M
Fan Mazi Tuunde
Fan Mazi Tuunde@KingTunde_SZN·
How many people still in the room ? Repost. Correct answer wins $2000 Ends 20th March
Fan Mazi Tuunde tweet media
English
3.5K
150
1.4K
270.7K
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Hawa ndio askari ambao Chadema wanatuaminisha ni wabaya sana tuwachukie🤔
Adui Wa Yanga tweet media
Indonesia
32
25
82
7.7K
MOSES GIVES
MOSES GIVES@mosesgives·
🚨: $600 to anyone who predict Arsenal vs Leverkusen correctly Must following to be credited tonight 💰
MOSES GIVES tweet media
English
375
32
186
25.1K
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
Mnamkwaza Charlie Chaplin, atawajibu tena kesho!
Indonesia
28
66
803
43.4K
Fan KTunde Edunt
Fan KTunde Edunt@GadafiTundenut·
PREDICT AND WIN 🚨: $500 to anyone who predict Manchester city vs Real Madrid correctly Must following to be credited tonight 💰 RT
Fan KTunde Edunt tweet media
English
165
37
106
7.9K
Fan Mazi Tuunde
Fan Mazi Tuunde@KingTunde_SZN·
‼️🚨: $800 to anyone who can predict Chelsea vs PSG full time score correctly Must following to be credited tonight 💰
Fan Mazi Tuunde tweet media
English
960
70
601
74.6K
MOSES GIVES
MOSES GIVES@mosesgives·
🚨: $600 to anyone who predict Sporting vs Bodo/Glimt correctly Must following to be credited tonight 💰
MOSES GIVES tweet media
English
171
24
94
16.8K
MOSES GIVES
MOSES GIVES@mosesgives·
🚨: $600 to anyone who predict Man City vs Real Madrid correctly Must following to be credited tonight 💰
MOSES GIVES tweet media
English
3.3K
169
2.8K
348.7K