Masharikan 🌎

68.3K posts

Masharikan 🌎 banner
Masharikan 🌎

Masharikan 🌎

@Adambrv

Masharikan | Agenda Ngumu tu | Thought provoking global-to-local look | DM for credit or media removal

East Africa Katılım Haziran 2012
2K Takip Edilen23.4K Takipçiler
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
#BreakingNews Tanzania 🇹🇿 Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 10, Tanzania imedondoka toka orodha ya nchi 10 zenye uchumi mkubwa zaidi Afrika! Kwa mara ya kwanza huu upuuzi umetokea klmy! .... Tanzania 🇹🇿 Dropped from Top 10 biggest economies/GDPs in Africa in 10 years! WTF!
Masharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet media
HT
1
2
4
474
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
@thereallizberth Nimesikia. Na kuna vitu vinaonekana. Ila I still don't believe we are the worst of them all Ukituweka kwenye mzani wa kidunia tuko sawa basi tu
Filipino
0
0
0
2
Isabela
Isabela@thereallizberth·
@Adambrv Hao watu wanato akafara Adam... asa nchi haipo mikononi mwa wenye kumcha Mungu lazima maamuzi yawe ya kizungumkuti.. nchi ambayo wasomi ni maadui wa State is as well as Banana republic...waiting to rott...
Indonesia
1
0
0
6
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Aisee hii nchi All this was for nothing. Useless klmmy! Hivi ni dhambi gani kubwa sana inatutafuna hivi? Hatujawahi kupora wala kuiba cha mtu zaidi ya kujitoa kwa ajili ya majitu mengine yasiyostahili kabisa utu wetu Ni nini kibaya sana tumefanya hapo mwanzoni?
Masharikan 🌎@Adambrv

Julius Nyerere Hydroelectric Power Projet | 2115 MW The biggest in East Africa. Among the biggest in Africa. Main body completed by Egyptian firm Arab Contractors Now Tanzania starts to fill water in the gigantic power station. At a time its electric SGR doing trial run

Indonesia
4
0
4
376
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
@Aydidkingkunta @mathiasmwita2 @Adambrv siyo swala la akili wao south wana nini cha maana kwenye huo umeme uliowaweka kwenye mgao maisha? planning ilikuwa ni kuanza na uzalishaji then transmission. Huwezi kujenga transmission kubwa bila kuwa na uhakika wa generation ya kutosha kwanza. Tutafika relax
Filipino
1
0
0
12
Isabela
Isabela@thereallizberth·
@Adambrv Sana anzia toka enzi za kina sokoine, kina Chacha wangwe njoo mpaka kwa TLS... lazima hayo mazambi yalipwe...
Indonesia
1
0
0
4
Gifted
Gifted@GiftedsonMeela·
@Adambrv Vitu kama huna utaalamu navyo ni bora uulize ujibiwe au ukae kimya.
Kenya 🇰🇪 हिन्दी
1
0
0
6
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Poor Tanzania 🇹🇿 This is the dumbest a country can stoop kwa kweli Yani kama Wapigaji basi wamerudi with vengeance kubababeki
Masharikan 🌎 tweet media
Filipino
6
6
31
24.8K
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
@mathiasmwita2 Basi ndio non negotiable sasa. Tujenge! Tubane hayo matumizi wanayokufuru tujenge Mbona Ethiopia wamejenga GERD kwa funds za Waethiopia? Sisi tunashindwa nini ku-mobilise? Manake hamna option nyingine
Indonesia
0
0
0
15
Myz
Myz@mathiasmwita2·
@Adambrv Bro hii project inabidi iendane na ujenzi wa Grid minimum kujenga 1km ya 400kv ni 1mil usd price inaenda. Hadi 5mil kutegemea na terrain so kazi ya production iko poa ila tunahitaji 400kv kubeba hizo 2115mw zote ndo zinajengwa sasa mfano Chalinze to Kinyerezi etc
2
0
2
42
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
@mathiasmwita2 Sote tunajua hata ukitetea vipi hii mipango utaonekana huna akili Hata ukijaribi vipi kupaka sukari. Ni upuuzi sana kuendesha uchumi mkubwa kama wetu kwa staili hii
Indonesia
0
0
0
8
Myz
Myz@mathiasmwita2·
@Adambrv Tz kuna 220kv na 132kv so it takes time ku upgrade mzee
Čeština
1
0
0
21
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
@420Cousin @mathiasmwita2 Mzee kwani mtu anasonga ugali watu wanalumanga (kula mkavu) halafu ndio wanaanza kuulizana kuna hela ya mboga? Aina gani ya mipango ya nchi hii my brother tbh? Unajua kuna vitu si rahisi kutetea
Indonesia
1
0
0
12
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
@mathiasmwita2 @Adambrv Watu wanaona hizo ni overnight project kazi ya bwawa imekamilika now ni kujenga transimission line ya kV 440.
Filipino
2
0
0
21
Mti Pesa
Mti Pesa@Aydidkingkunta·
@420Cousin @mathiasmwita2 @Adambrv Ndo mana wasauzi wanatumabiaga hatuna akili wao wana project ya 725kv walianza transimissionn kujenga ikafuatwa na sehemu ya kufua mzigo ila sie akili za mbuzi sijui tuliwaza nn
Indonesia
2
0
1
18
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
This nation is cursed We are epically screwed to have these idiyots in charge Wallah tena hatutoboi. Na kwenye Top 10 GDPs tulishatoka zamani sana. Sasahivi majizi na mapiga dili ndio yameshika hatamu
Masharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet media
Filipino
1
1
5
409
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Umeme Tanzania 🇹🇿 Tayari fununu zinazunguka Wapigaji Inc. wamesuka projekti ya kukodisha jidubwasha la umeme wakati wanasema JNHPP imekamilika kwa 99.99% Tujiandae kwa: 1 Dubwana bovu 2 Mkataba mbovu tunase miaka kadhaa, na ndege zikamatwe 3 Tulipe mpaka tutoke ukurutu
Indonesia
1
5
13
1.3K
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Bila upigaji wa watoto wa mjini, 2115MW zikizalishwa pale JNHPP kwa Tanzania inayozalisha 1500MW za sasa kwa kuungaunga tutaondokana kabisa na tatizo la kukatika umeme Zingatia: Wapigaji wakiamua kuacha nchi ipumue lakini
Indonesia
3
1
10
1.2K
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Umeme Tunatumia umeme wa mtambo mmoja tu wa 235MW kati ya 9 ya JNHPP nchini Tanzania 🇹🇿. Mingine imezimwa kwani umeme umezidi gridi ya taifa Je, kwa kuongezeka maradufu uwezo wa ufuaji umeme Tanzania, kipi kina tija zaidi kwa nchi?
Indonesia
7
2
12
1.7K
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
JNHPP Maswali mkosi yameanza. Wale wa 'I told you so' wanasubiri Question is With the massive Julius Nyerere Hydropower Power Plant (JNHPP), has Tanzania 🇹🇿 managed to control floods, or we have actually triggered them?
Masharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet media
English
0
1
3
455
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
Dear world, Tanzania 🇹🇿 to switch on two turbines at the brand new massive JNHPP to pump into the national grid additional 470,000 KWh This is a major milestone on another big milestone Note: Tanzania's brand new electric SGR begins operations in June
Masharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet media
Masharikan 🌎@Adambrv

Umeme Tanzania 🇹🇿 switches one of nine turbines at the JNHPP, the biggest power plant in E.Africa and pumps 235,000kWh to the national electricity grid. Another turbine comes on in few weeks Perfect timing to curb power outages

English
0
2
5
776
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
@KennedyMmari Things will be worse before getting better .massive investments towards Irrigation schemes .the now water filling at JNHPP .regular drought .etc We should plant 1billion trees in up to 5 years. Just like the Ethiopians. And the Arabs. And the Chinese
English
0
1
8
1.2K
Masharikan 🌎 retweetledi
Masharikan 🌎
Masharikan 🌎@Adambrv·
JNHPP Mtambo mmoja tu wa Kituo cha Mwalimu Nyerere umewashwa kwa majaribio, umeme umekatwa mikoa 21 ya Gridi ya Taifa! Nchi nzima giza Dah, hii nchi ina viburi aisee. Na wametukamata pabaya sana. Hatufurukuti
Masharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet mediaMasharikan 🌎 tweet media
Indonesia
0
2
4
371