Adam's suleiman

6.9K posts

Adam's suleiman banner
Adam's suleiman

Adam's suleiman

@AdmireAs

Muslim

Arusha, Tanzania Katılım Nisan 2013
4.4K Takip Edilen4.3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Enyi mlio amini! Bila shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi za shetani. Basi jiepusheni navyo ili mpate kufanikiwa. ( Quran 5:90 )
Adam's suleiman tweet media
3
56
213
16.5K
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Alikuwa na ndugu kumi #Yusuf, lakini walimpoteza. Na #Musa alikuwa na dada mmoja tu, naye akampata. "Tunakuomba Mola wetu Mlezi! Uwahifadhi dada zetu katika kivuli chako. Na wakiwa katika Kheri uwadumishe humo, na wakiwa nje yake uwarejeshe mrejesho mwema.
Adam's suleiman tweet media
Filipino
0
1
2
51
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Enyi mlio amini! Mcheni Allah, na semeni maneno ya sawasawa. ( Quran 33:70 )
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
1
8
85
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Na Sisi hatukumjalia mwanadamu yeyote kabla yako ( Muhammad ) kuwa na maisha ya milele. Basi je! ukifa wewe, wao wataishi milele? ( Al-Anbiyaa #34 ) La hasha! Mola wetu Mlezi, ufanye mzuri mwisho wetu. Na hakika uzuri wa mambo uko mwisho.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
1
5
8
95
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Amesema; Mtume wa Allah! Sijapata kuona chombo chenye shari kubwa kwa mtu, kama mtu huyo kulijaza tumbo lake. Basi mtu na aweke utaratibu mzuri juu ya chakula chake, na aligawe tumbo lake sehemu kuu 3. Aache sehemu ya chakula, maji & hewa. Magonjwa yatatuepuka.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
3
6
109
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Wale walio amini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Allah. Hakika wa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutulia. ( Ar-Ra'd #28 )
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
2
5
47
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Pamesemwa; 98% ya furaha ya NDOA iko katika kupuuzia mambo. Na huo ndio ukamilifu wa NDOA. #Huba
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
2
1
13
118
Adam's suleiman retweetledi
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Moja ya masomo magumu ambayo ni juu ya mtu kujivunza kwenye maisha, ni ukweli kwamba: Si WATU wote wenye kukutamania kheri. Basi yahifadhi mambo yako, na kuwa na kiasi katika mambo yako. Kwani kila neema hufanyiwa uhasidi.
Adam's suleiman tweet media
Filipino
0
8
29
850
Adam's suleiman retweetledi
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Hata kama ardhi ni moja, lakini hali za watu makaburini hazifanani, ni aidha mtu yupo Peponi au katika mashimo ya Motoni.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
1
6
31
0
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Na ziko nyuso siku hiyo zitakuwa na mavumbi juu yake. Zitafunikwa na giza totoro. ( Abasa 40-41 ) Yaa Rabbi! Uufanye mzuri mwisho wetu.
Adam's suleiman tweet media
Filipino
0
1
5
55
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru Allah kwa wingi wanaume na wanawake, Allah amewaandalia msamaha na ujira mkubwa. ( Al-Ahzab #35 ) #Allah atujalie kuwa miongoni mwao wenye kupewa msamaha na ujira mkubwa.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
2
7
79
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Enyi mlio amini! Takeni msaada kwa subra na Sala! Hakika Allah yu pamoja na wanao subiri. ( Quran 2:153 )
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
4
7
94
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Yeye Allah ndiye aliye kufanyeni manaibu katika ardhi. Anaye kufuru, basi kufuru yake ni juu yake. Na kufuru za makafiri haziwazidishiii kwa Mola wao Mlezi ila kuchukiwa. Wala kufuru za makafiri haziwazidishiii ila khasara. ( Quran 35:39 ) #Ramadan #28.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
2
4
111
Adam's suleiman retweetledi
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
#TANZANIA: WAISLAMU HAWANA TENA UONGOZI WA MOJA KWA MOJA CHINI YA TAASISI MOJA BAADA YA HUKUMU YA MAHAKAMA - SHEIKH PONDA Sheikh Issa Ponda hii leo Machi 12,2026 akijibu swali la Mwanahabri amesema kwa sasa Waislamu nchini humo hawana tena uongozi wa moja kwa moja chini ya taasisi moja baada ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar Es Salaam kubainisha kuwa Serikali haikuwa na mamlaka ya kuwateulia chombo cha kuwaongoza Waislamu nchini Tanzania. Zaidi: youtu.be/rRg47UByV7k
YouTube video
YouTube
MwanzoTvPlus tweet media
Indonesia
3
14
122
9.6K
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Allah anasema; Na muwafanyie wema wazazi na jamaa, na mayatima na masikini. Na semeni na watu kwa wema, na shikeni Sala na toeni Zaka. ( Quran 2:83 ) Na haya ni katika tabia njema, Allah atupambe nayo ndani mwezi huu wa #Ramadan na hata baada yake. #Ramadan #21
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
2
8
122
Adam's suleiman
Adam's suleiman@AdmireAs·
Kila mara mdhanie Kheri Allah, atakukirimu zaidi ya umdhaniavyo. Subra, #Ramadan #18.
Adam's suleiman tweet media
Indonesia
0
0
5
100