Adv. Dickson Matata

409 posts

Adv. Dickson Matata

Adv. Dickson Matata

@AdvMatata

advocate/ lawyer

Katılım Temmuz 2021
109 Takip Edilen25.6K Takipçiler
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Yes; Chama kupitia mawakili na viongozi wakuu kilimwandikia barua Jaji Mkuu, George Masaju kikimlalamikia juu ya jinsi kesi ya mgawanyo wa mali ambayo imesababisha chama kuzuiliwa kufanya shughuli zake za kisiasa inavyoendeshwa. Hatimaye kesi hiyo itafanyiwa marejeo tarehe 24/3
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
9
91
373
13.3K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Leo tarehe 17/2/2026 kesi ya jinai kati ya Jamhuri dhidi ya Yohana Kaunya na mwenzake iliyoko mahakama ya wilaya Bunda. Ilikuwa inakuja kuendelea na usikilizaji ambapo jamhuri ina jumla ya mashahidi 41.Hata hivyo imeahirishwa kwa kukosekana mashahidi na gari la kuleta watuhumiwa
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
21
95
433
19.9K
Vicensia Shule
Vicensia Shule@vicensiashule·
Sasa nyie @judiciarytz hiki ndio Kiingereza gani? Mnataka tuongee ili mtufunge sio?
Vicensia Shule tweet media
Filipino
26
19
125
14.9K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Ni kesho tarehe 9/2/2026 tukutane mahakamani tena kuendelea tulipoishia. Kamanda TAL yuko imara zaidi ya jana kuendelea na mapambano dhidi ya kesi ya mchongo ya "uhaini"
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
5
107
562
6.6K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Ni zaidi siku ya 86 viongozi wetu Mzee Rajabu Bujoro (Mwenyekiti Mkoa Kigoma CDM) na Mwenyekiti Jimbo na diwani mstaafu CDM 2020-2025 ndugu Fanuel Kisabo. Wapo ndani kwa kesi ya ugaidi. Tarehe 10/2/2026 kesi hiyo itakuja kutajwa. Mimi nitakuwepo tukutane mahakamani Kigoma.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
3
91
409
8.5K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Magufuli aliweka akiba ya dhahabu, huyu anauza!!
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
56
215
1.4K
52K
Yesu wa Tongareni
Yesu wa Tongareni@Eliudiwekesa·
@AdvMatata Unajua kukiwa na zuio na ukatumia escaping routes kwa kuzingatia agizo la katibu mkuu bado utakua umevunja sheria za JMT? Pia ni kusema chama hakifuati sheria za nchi ma mazuio halali ya mahakama zetu? Sababu kuna lile la miaka 33 ya Chama pesa zinaputia kwa watu ninafsi
Indonesia
2
1
3
240
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
suala la michango ya Lisu lilikuwa la kifamilia ndio maana hata mlalamikaji ni familia, chama iwe KK/Sekretarieti hakikuratibu. Hivyo hakuna namna kanuni za uchangishaji zingetumika. Ifahamike pia kuna zuio la mahakama kuzuia matumizi ya mali za chama ikiwemo akaunti za benki.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
16
52
267
11.1K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
@MoriLibery Kwanza hili suala lilikuwa la kifamilia lakini wapo wanachadema waliosadia na hivyo Chadema hatuwezi kujitenga nalo lazima tuwajibishane. Cha pili unatakiwa kufahamu kuwa huo utaratibu wa kichama hauwezi kufanya kazi kwa sasa kwa kuwa chama kimefungiwa akaunti zake na mahakama.
Indonesia
3
9
83
1.8K
GIMASA🐘
GIMASA🐘@MoriLibery·
Sawa ni anastahili kuwajibishwa lakini hii ni taasisi kubwa inakuwaje mfumo wake wa pesa usiwe wa kueleweka iwepo namba rasmi ya chama itakayopokea iyo michango hili likiendelea watu watashindwa kuchangia tena
Adv. Dickson Matata@AdvMatata

Mtu mmoja kaniuliza nina maoni gani juu ya suala hili? Nimemjibu CDM haina watu wema pekee au Malaika. Kinachotutofautisha sisi na CCM ni kuwa ukifanya makosa unawajibishwa inavyostahili. Utamaduni huu haupo serikalini wala CCM ndio maana hata ripoti za CAG hazifanyiwi kazi.

Indonesia
3
1
13
2.2K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Mtu mmoja kaniuliza nina maoni gani juu ya suala hili? Nimemjibu CDM haina watu wema pekee au Malaika. Kinachotutofautisha sisi na CCM ni kuwa ukifanya makosa unawajibishwa inavyostahili. Utamaduni huu haupo serikalini wala CCM ndio maana hata ripoti za CAG hazifanyiwi kazi.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
31
102
730
25.1K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Chadema wana sifuri ya unafiki... Leo msibani kwa Mzee Mtei, John Heche aliwekwa kukaa na mgeni rasmi, akajua serikali wataitumia vibaya picha hiyo, akaondoka na kuja kukaa nasi wajumbe wa Kamati. Haikutosha alipokuwa anahutubia hakufata itifaki ya kutambua uwepo wa serikali
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
50
231
1.5K
51.8K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Ni wazi kuwa Airtel haiwezi kuwa imefanya hiki ilichokifanya bila maelekezo. Tujiulize kama hili limefanyika kwenye mwanga kweupe ni mangapi yanafanyikia gizani?
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
22
120
577
13.3K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Leo kesi ya "Ugaidi" inayowakabili viongozi wa CDM-Kigoma ilikuja kutajwa. Mahakama imeamuru Fanuel Kisabo akatibiwe kutokana na kipigo kikali alichopigwa akiwa Polisi, aidha mahakama imetoa onyo kwa mtu yeyote anayewazuia watu kuvaa nguo za CDM wawapo mahakamani hapo.
Filipino
10
108
793
18.1K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Hivi huu utaratibu wa jeshi la Polisi kuchukua simu za watu kwa kile kinachoitwa zinafanyia uchunguzi halafu hazirudishwi kabisa au ili zirudishwe mtu anaweza kufuatilia zaidi ya miezi mpaka mwaka ni utaratibu gani? Ni uzembe au teknolojia yetu ipo chini?
Indonesia
43
116
794
54.4K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Mpira wa leo kati Morroco na Tanzania tunamshukuru Mungu umemalizika kwa amani, maana amani ni bora kuliko haki.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
22
156
954
17.8K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Kukamatwa kwa Maduro kama sisimizi kumenitafakarisha sana juu ya maana ya "Ulinzi" na "Usalama". Nimeelewa kwa nini kuna watu wanalindwa na "mbwa" wengine "mmasai" wengine CCTV camera au "fence" na wanaona wanaulinzi na wako Salama. Sema Trump bhana hadi mke wa Rais mmembeba!.
Adv. Dickson Matata tweet media
Indonesia
18
50
389
6.3K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Chama kikuu cha Siasa nchini leo kitazungumza na watanzania...
Adv. Dickson Matata tweet media
Suomi
11
67
349
5.8K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Jana @MalisaGJ_ aliutaarifu umma juu ya watu waliovamia nyumbani kwao Kidia Moshi usiku wa manane. Leo tangu saa tatu Polisi wako hapo na wamemweka mama yake chini ya ulinzi wakiwa na waandishi wa habari kadhaa. Hakuna mtu anaruhusiwa kufika hapo hata majirani wamezuliwa.
Indonesia
12
114
524
15.2K