
NNE
249 posts


@madeinmusoma Mwaka 1994 kuna Chumba Mwafrica bus Ya karia Juu kutoka Njombe Dar, ilipata ajali mikumi, ule mzigo wa kwenye karia haukutosha kufaulisha kwenye lori la Tani 10 jinsi ulivyokuwa mwingi
Filipino


@Afruturist @claudeai Brother hembu tupe hints unawezaje kupata muda wa ku manage taasisi kubwa “Sahara” pia kupata muda wa ku cheza Computer games 🤦♀️
Indonesia

My @claudeai experience is amazing. Just created an app from my complex excel sheet that I used to manage my portfolio investments. It's sane how you can do this in minutes.
I'm going to enjoy it myself for now. You never know it might solve another person's problem in the future.
It has never been this easy to build anything.

English

@Afruturist Why Organisation need 15 CPA holders, only 1 is enough the rest of the team wanaweza kuwa diploma, etc
English

Ahahaha kaka,
I never said it will replace CPA holders. Let me keep the records straight.
They will be replaced by someone who knows how to use these tools better. Why do you need 15 CPA holders while you can do the same work with 2 CPA holders and Claude for Excel.
I will still advise them to pay attention 😂
Mrusha Jones@mBongo
BreakingNews: "AI will not replace CPA holders." @Afruturist, Mar 2026. After tinkering with @claudeAI & "vibecoding" a cute portfolio page, maybe we've realised it takes a really experienced professional for AI's full utility to materialise. Shekh Mtambalike, wasiseme tunagombana kwa timeline… now wote tumefunga Iftar lini?
English
NNE retweetledi

@Afruturist 2: Uwajibikaji, report ya mwisho ni lazima isainiwe na CPA ambaye ndio atawajibika kisheria hata kusimama mahakamani huwezi ishtaki AI
Indonesia

@Afruturist Ni Mjadala Mzuri AI kiujumla ni kweli itarahisisha kazi za Auditor na kufupisha muda wa Audit hasa kwenye maeneo haya
1: Uchambuzi wa Data kubwa - binadamu hana uwezo wa kupitia Transaction nyingi say 10,000 ila AI inaweza kupitia Data milion 1 kwa sekunde 1 -
Indonesia


@Afruturist Lakini pamoja na hayo bado kuna limitation kuna vitu AI haitaweza kuvifanya mfano
1: Professional Judgment, kuna nyakati inabidi kuhoji management ili kujua Context ya transaction husika
Filipino

@Afruturist Badala ya Auditor kukagua risiti chache tu kama sample , AI inakuwezesha kukagua kila muamala mmoja uliotokea ndani ya mwaka.
Indonesia


Kampuni za magari ya China ambazo zimefungua ofisi rasmi (dealership) hapa Tanzania;
1. Cherry
2. BYD
3. GWM
4. Changan
5. Omoda
6. JAECOO
7. JETOUR
8. MG (Morris Garages)
9. CMC Motors
10. BAIC
11. Foton
12. Haval
China global automotive takeover siyo hadithi tena. Siyo 'footnote'. Ndani ya miaka 10 ijayo tutawaona sana wakitawala mitaa kwenye magari mapya. Rwanda wameshashika sehemu kubwa. Na magari ya China ni kama ya Sci-Fi kwa technology na muonekano.
Filipino

@Afruturist Brother How do you get a time to read, nikijiangalia na u busy nulionao kwenye biashara zangu kwa kweli nahitaji kujifunza mnapataje huo muda, wakuta mtu ana vitabu 20 sijui 30 kwa mwaka
Indonesia

My second read of 2026. Fascinating book especially for CEOs who are transitioning between different leadership seasons.
The book gives you an opportunity to reflect on your role as a CEO. After 10 years of running a company you become complacent. It is a good wake up call.
I recommend this read to founders.




English

My 2026 Tech Predictions;
✅ 2026 will not put humans on Mars, but it will prove reusable, orbital-refueled spaceflight is inevitable.
✅ The Singularity and AGI won’t arrive, but AI will feel intelligent enough to reshape how institutions behave.
✅ AI will write PhD-level problems and research drafts, forcing academia to value judgment over writing.
✅ AI will outperform doctors in specific imaging tasks, while doctors retain final clinical authority.
✅ AI will accelerate courts through research, drafting, and case triage, without replacing judges.
✅ Africa’s biggest AI impact will be productivity gains in the informal economy, not $10B tech giants.
✅ The next generation of startups will be small, profitable, and heavily AI-leveraged.
✅ The real AI opportunity will be companies optimizing LLMs, not building new foundation models.
✅ China AI models will see broader global adoption, creating a multipolar AI ecosystem.
✅ Longevity - 2026 will not deliver radical life extension, but it will significantly extend healthspan, especially through prevention and early detection.
✅ At least one African country will announce a state-backed AI compute facility, even if underutilized initially.
✅ By 2026, we will see end-to-end AI agents replacing full job functions in SMEs and startups not merely augmenting workers specifically in tasks like bookkeeping, grants writing, basic accounting, media, and market research.
✅ 2026 will be remembered as the year exponential technologies quietly reshaped work, power, and opportunity.

English

Lol, let's plan for January Kaka. It's going to be fun. 😂 Itabidi nipate CPA mmoja mnyonge mnyonge nimuonee 😂
Mrusha Jones@mBongo
Guy, guys.... #TuheshimuTaaluma za watu especially wenye TITULUS (prefixes & suffixes) kama CPA & Dr. @Afruturist whatever happened to? x.com/mBongo/status/…
Filipino

Watu wa CPA sio madaktari watakua replaced tu 😂
NNE@Alatanga
@Afruturist Hongera J4, your choices of words this time is carefully crafted compared to the one you posted Kuhusu CPA (T) 😁
Indonesia








