Jerry Aloyce

408 posts

Jerry Aloyce banner
Jerry Aloyce

Jerry Aloyce

@Aljerry_12

Just an Ordinary IT guy but a talented Photographer From #Cliquepixels

Arusha/Mwanza, Tanzania Katılım Nisan 2012
173 Takip Edilen89 Takipçiler
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@mutran06 @SalimuIbwe I think inategemea una malengo ya kufanya nini baadae. Kwa ambao wanaelekea kuwa academician hizi GPA kubwa ndio kigezo cha kwanza kumpeleka huko, Sasa ukisema what next labda uiweke kwa malengo ya kwako wewe binafsi.
Indonesia
1
0
1
8
Eng Mutran
Eng Mutran@mutran06·
@SalimuIbwe Sasa mfano mtu ana GPA 4.5 what next😂😂.. bana matokeo ya chuo hayana msaada wwote Bora ya form four yastakupeleka advance na ya advance yatakupeleka chuo.. ila ya chuo hamna chochote. Afu watu wanahisi walio against him topic n wana GPAs ndogo sio kwel.
Filipino
2
1
2
838
Ibwe Salim Thekiete
Ibwe Salim Thekiete@SalimuIbwe·
Mjadala wa GPA Kubwa Vs kuwa na Skills Kwanini GPA kubwa ni nzuri. 1. Kwanza ukishapata GPA ndogo umeshapata. Hakuna namna unaweza kuibadilisha. Labda Uanze upya Chuo. Inakuhitaji Miaka 3, 4 ama 5 kurekebisha hiyo GPA. Jitahidi uwe na GPA kubwa 1/3
Filipino
10
16
158
14.3K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@Abrahconscious @SalimuIbwe Sasa hiyo ni special case, kama mtu hafundishiki huyo ni mjadala mwingine. Nadhani hapa jamaa kaelezea kwa angle ya normal people
Filipino
0
0
0
6
Ibraheem
Ibraheem@Abrahconscious·
@SalimuIbwe Let me tell you unaweza ukawa na gpa 4 kabisaa na ukawa hufundishiki na hujui chochote kuhusu mtaa uko Kwenye theoretical Bado practically ni mzito kuelewa wanakujaga madogo pale unapewa umfundishe kazi sikuhizi gpa hata mtu anandikiwa wangapi
Indonesia
3
1
4
1.1K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@Gary_wayne2 Now, how did he get a call from the school if he wasn't listed as the father in the records?
English
2
0
4
1.4K
kijana mpole
kijana mpole@BesteNicolas·
NAONA KAMA UPUUZI HIVI KUSAFRI MWANZA-DAR KWA BUS 19hrs-26hrs Nauli 130,000/= Wakati Kwa Ndege Ni 259,000/=Tu unatumia 2:45hrs.
Indonesia
42
23
458
37.2K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@kenafricx21 Nazima Ac ili hiyo littre moja iende zaidi ya hizo kilomita kadhaa alizohesabia yeye
हिन्दी
1
0
12
3K
✨𝟚 𝟘 𝟚 𝟞✨
✨𝟚 𝟘 𝟚 𝟞✨@kenafricx21·
Mjapani kakwambia gari hili linatembea kilomita kadhaa kwa mafuta lita 1 ( kaweka hesabu ya AC humo ndani ). Wewe unazima AC unasema inakula sana mafua. Ni akili au matope??
Indonesia
36
54
908
38.1K
Jayleen 💞
Jayleen 💞@JayleenRickie·
Nasoma Comments 😁
Jayleen 💞 tweet media
English
211
38
588
75.2K
.
.@ewwwtfff·
I'm pregnant and looking for a baby boy name that ends with “on” Help me out before my husband suggests Dragon again 🙂
English
96.7K
18.8K
398.4K
42.9M
𝐊𝐞𝐬𝐡
𝐊𝐞𝐬𝐡@tweetcunha·
What is stopping this Portugal team from winning the World Cup?
𝐊𝐞𝐬𝐡 tweet media
English
894
94
3.2K
162.7K
Prophetess Faith Mhembere
Prophetess Faith Mhembere@prophetessfay1·
I don't know why, but please Congratulate yourself under this post because you will be celebrated before October 31st 2025, by the grace of God!!!
English
19.2K
13.5K
194.2K
5.3M
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@Drudysseus We all appreciate her contributions, but NO! It's not right.
English
0
0
0
157
Andrew Julian Mahiga
Andrew Julian Mahiga@Drudysseus·
Can we rename the Gombe National Park to the Jane Goodall National Park?
English
121
37
345
61.2K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@lifeofmshaba Kwa namna alivyo andika hiyo partnership, hamna biashara hapo.. 🚶🏽
Filipino
0
0
1
59
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Mwenzenu umasikini bai bai Leo nitakuwa na pateee afuta pateee kuga umasikini Hiyo mbwa tuheshimiane , mafala nyie , shenzi kabisa
Think Different tweet media
Filipino
15
10
70
10.8K
Oba, Young OG Pino
Oba, Young OG Pino@Pinovibes·
N150k for whoever gets the correct score of the match between Barcelona and PSG?
Oba, Young OG Pino tweet media
English
11K
1.1K
13.6K
1.2M
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@rollymsouth @tutla7 Kwa mfano mi nikaja Dar nikasema nawaletea vandame, hapo shida inakuwa kwa watu wa dar au kwangu? 🤔
Polski
0
0
0
14
Madenge
Madenge@rollymsouth·
@tutla7 Hawa wamelegeza sana
Indonesia
1
0
1
1K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@makiwa007 @MarekaMalili Hiyo kauli haijakaa Sawa.. Kwasababu hata sababu ambayo we unaona ni ya msingi, inaweza ikawa sio ya msingi kwake. Kwa mi ninavyoona hili swala la kuoa ni swala la mtu Binafsi, wala halihitaji ushauri mwingi, acha watu waoe, whether ni sahihi or not ni yeye na mwenzie ndani huko.
Indonesia
0
0
0
11
Makiwa007
Makiwa007@makiwa007·
@Aljerry_12 @MarekaMalili Kila mtu na sababu yake! Sababu ya huyu haiwezi kuwa sababu ya yule ila miongoni mwa hizo sababu zipo zisizo za msingi mfano kuoa sababu ana Tako kubwa, kuoa sababu rafiki yako kaoa, kuoa Kwa sababu home wanataka mjukuu, kuoa ili watu waone umeoa! Sio sababu za msingi
Indonesia
2
0
1
32
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@Zeekpower96 @FKihamu Kweli marefa hatuna Tanzania, ila Kuna Derby nasikia marefa walitoka nje.. Hiyo iliishaje mkuu?
Filipino
0
0
0
25
iam_Enzo
iam_Enzo@Zeekpower96·
@FKihamu I said it earlier bro hatuna marefa Tanzania, they're all rubish,afu sasa mcheki uyo refa mwenyewe kwa simba alikua ata hasiti kutoa mokadi yake ila kwa hao chura sasa daaah Mpira wetu hautofika popote kwa mambo haya.
Indonesia
5
0
0
3K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Ile kamba ya Pacome ni offside lakini Waamuzi walichofeli ni kuwa ilikuwa tight call ila ukitulia marejeo ni offside, tazama hiyo picha hapo Maxi ndio anaenda kuupiga mpira na Pacome anamblock RUSHINE asiweze kuucheza mpira, kifupi Pacome alikuwa eneo la kuotea na bado akaingilia mchezo kwa kumblock RUSHINE hapo ndipo offside ilipo, sio kwamba alisimama tu bali kuna movements alizifanya ambazo zilimyumbisha Beki na Kipa kwa pamoja, OFFSIDE ya wazi. Kwangu ilistahili kabisa kuwa OFFSIDE.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
285
87
1.4K
74.1K
Jerry Aloyce
Jerry Aloyce@Aljerry_12·
@FKihamu Match ya mwisho msimu uliopita waamuzi walitoka Misri,, Mlishinda ngapi?
Indonesia
0
0
1
361
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
“Tulikubaliana mechi za Derby yaani Simba na Yanga Waamuzi wanatakiwa kutoka nje ila wamerudia yale yale na mmeona kilichotokea niseme kila la kheri” - Murtaza Ally Mangungu, Mwenyekiti wa SIMBA SC.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Indonesia
87
35
1.1K
45.3K