
@Don_Chimpaga 😀😀😀Sawa lakini na ww usimwamini mwanamke anaetongozwa na mtu asiempenda anakuja kukushitakia au kukuambia omari ananitongoza ukamwamini na kupata nae hasira mtu aliemtongoza mkeo...
Indonesia
Ally Ibrahim
1K posts









Kuna jamaa nilimpa pikipiki ya mkataba last year nikamwambia ni ya mkopo.. tulianza vizuri, 4/5 mnths later akaanza chenga hakuleta hela wiki nne.. nikaitrack nikaichukua.. nikamwambia lipa deni uichukue, hakulipa hadi kesho.. basi since then natumiwa laana almost kila mwezi😂








