Ally Kebby

634 posts

Ally Kebby banner
Ally Kebby

Ally Kebby

@AllyKebby

Development Project & Public Health Expert|

Tanzania Katılım Kasım 2018
63 Takip Edilen40 Takipçiler
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@chapo255 Kuna Uchawa na kuna Influencer. Vitu viwili tofauti. Chawa hawana mkwanja. Chawa wenye show-off wengi wao wana tatizo la ugonjwa wa akili unao walazimu kufake.
Indonesia
0
0
0
178
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Inafikirisha!
SANUKAnaCHAPO tweet media
Indonesia
88
141
2.4K
144.1K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@lifeofmshaba Bora kuwa na 360 view na hii sub-sector.ART ni subsystem muhimu,disruption yake italeta tatizo kama watu wasipo kuwa makini.Panic iliyopo imesababisha a spike kwenye ARVs.Baadhi ya watumiaji wanadanganya kupoteza dawa ili wapewe watunze ziada majumbani
Filipino
0
0
0
10
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Wizara ya Afya imesimamisha shughuli za utoaji dawa kufubaza HIV na kukusanya Data ya masuala haya Wagonjwa wengi wa HIV wamepaniki, kazi hiliyokuwa inafanywa na watu 30 sasa inafanywa na watu 2 Team ilikuwa na kazi kubwa kunzia kuchukua data za matumizi ya madawa, kufuatilia wagonjwa, kuhakikisha dawa zinakuwapo na zinakwenda kwa mtu sahihi Kutoa ushauri nasaha kwa wagonjwa na kufanya testing Fedha Imesimamishwa kwa NGOs za ICAP, THPS , MDH na AMREF Serikali imeshinda hata kutoa fedha ya dharura ku cover miezi 3 ya mishahara ambayo sio nyingi kuwashinda Wako tayari turudi nyuma kwenye hatua tuliyopiga kwenye udhibiti wa huu ugonjwa Wamesababisha panic kwa mamillion ya watu wenye haya maambukiza hawao hatari kama hawa watu watapaniki pia wakaambukiza watu maana silaha yao ni mwili Samia anachukua pesa ananunua magoli
Think Different tweet media
Indonesia
90
67
647
95.5K
Ally Kebby retweetledi
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
UNAPANGA KWENDA CHINA MWAKA huu 2025? . Usije ukapoteza muda wako huko kutafuta masoko na mwisho ukanunua Bidhaa kwa madalali... . China sio kama karikoo ambayo maduka ya kila kitu yako sehemu moja.. . Save haya maeneo na ukienda china itakusaidia sana. Usije kufanya kama sisi ambao safari ya kwanza na ya pili tuliishia kununua bidhaa kwa maduka ya pale Ghuanzou na kwa madalali... . 📱Electronics : 📍Guangdong (Shenzhen), Zhejiang (Hangzhou), Jiangsu (Suzhou)🔧 .. Machinery : 📍Jiangsu (Wuxi), Zhejiang (Wenzhou), Shandong (Qingdao) .. 🚗Automobiles & Parts: 📍Jiangsu (Nanjing), Shanghai, Guangdong (Guangzhou), Jilin (Changchun) .. 👗Apparel & Textiles: 📍Guangdong (Guangzhou, Dongguan), Zhejiang (Hangzhou), Fujian (Fuzhou) ... 🛋Furniture: 📍Guangdong (Foshan aisee hii sehemu hata kama hufanyi biashara ya furniture ufike tu uchukue vitu hapo), Zhejiang (Wenzhou), Fujian (Jinjiang) ... 🧴Plastic Products: 📍Guangdong (Dongguan), Zhejiang (Yiwu) .. 🛠Steel & Metals: 📍Hebei (Tangshan), Jiangsu (Lianyungang), Shandong (Qingdao) ... 🧪Chemicals: 📍 Jiangsu (Lianyungang, Nanjing), Shandong (Qingdao), Zhejiang (Ningbo) ... 🧸Toys & Sports Equipment : 📍Guangdong (Shantou, Dongguan), Zhejiang (Yiwu), Shandong (Linyi) ... 💡Lighting : 📍Guangdong (Zhongshan), Zhejiang (Wenzhou, Yiwu) .... 🍲Food & Beverages : 📍Guangdong (Guangzhou), Fujian (Fuzhou), Shandong (Qingdao) .... 💎Jewelry & Precious Metals: 📍Guangdong (Shenzhen), Zhejiang (Jinhua), Jiangsu (Suzhou)... mnaotaka kuuza Dhahabu na madini pia huku tembeleeeni kuna masoko ... 🔬Optical & Medical Instruments: 📍Jiangsu (Wuxi, Yangzhou), Zhejiang (Hangzhou), Guangdong (Shenzhen) .... . 🏠Home Appliances : 📍Guangdong (Shunde, Foshan), Zhejiang (Ningbo), Jiangsu (Suzhou) ... 🏺Ceramics & Glass : 📍Guangdong (Foshan), Jiangxi (Jingdezhen), Fujian .. Huwezi ipuuzia China kwa sasa kwenye ulimwengu wa Biashara, Marekani mwenyewe kichwa kinamuuma...
Indonesia
49
216
529
60.4K
Ally Kebby retweetledi
Unicaf Scholarships
Unicaf Scholarships@UNICAForg·
UEL is celebrating Tanzania Independence Day with generous scholarships. Study online for an innovative British degree.
English
101
132
2.2K
5.8M
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@Owen9911 @Adventure_36 Hizo ni kutoka Ujerumani, behewa zingine na vichwa vyake viko njiani. Vilification ndio zitaanza kutumika
0
0
0
72
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Treni Mchongoko imeshafungwa 🔥, Noma sana aisee
Adventure-360 tweet media
Eesti
24
45
997
63.6K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@Roma_Mkatoliki Sasa hiko kizazi kilichozaliwa kutokana na hiyo inspiration kiko wapi sasa?Hatuoni wakikinukisha,kukitifua, kupeleka moto. Pengine hakikujengwa kuweza kusimama kama kizazi cha akina Zitto,Mdee na Mnyika. Bado vyama vyetu vinahitaji kuibua na kukuza vipaji vipya na wanachama wapya
Suomi
0
0
0
85
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Hebu let’s discuss this, Hoja ya Mchungaji imenipa mixed feelings🤔 Inawezekana Ni kweli Upinzani ✌️(chairman) ameshindwa ku-attract wafuasi wapya vyuoni, Gen Z, Corporate women kwa sababu amekosa policy nzuri, amepoteza ushawishi, amefika kikomo cha ubunifu, nothing new, hatoshi Kama anavyoimaanisha mchungaji! Well may be he is right, demokrasia ni kukubali maoni ya mwingine na uyachallenge kwa fact. Mimi nina mtazamo tofauti na Brother Peter, Upinzani uliminywa sana na kunyimwa uhuru for like 7+ yrs Hali iliyopelekea influence ipungue mtaani/vyuoni/maofisini….tukashindwa kuzalisha damu mpya katika siasa za upinzani. Utapataje new players ikiwa role models hawapangwi kwenye pitch wacheze tuwaone tuwaige?🤔 Mwaka 2005-2010 ile cream iliyokwepo upinzani na demokrasia iliyotolewa na chama dola iliweza ku-inspire youth na makundi mengi mbalimbali kuipenda siasa,kujenga hoja, kureason. Na hiyo era walizaliwa vijana wengi sana…. Imagine unakuta kwenye pitch,Dr slaa anakiwasha, Lema anakichafua,Lisu anakinukisha,Mdee & Bulaya Wanakiamsha, Sugu na Heche Wanakitifua, Wenje anakabia kwa juu, Anatokea chalii wa R winga ye pembeni anapeleka moto muite Nasari, Bado Msigwa mwenyewe Midi ya soka, Golini Mnyika!! Na Refa akawa anachezesha fair tunaona viwango, mitaa ikawa inspired🏆✅ Tukazalisha na ku-recruit makundi mengi tofauti na upinzani ukawa huru na ukapendwa hadi kwa corporate sectors. hapo hata wakina #Roma walizaliwa na waliweza kuimba kwa kujiachia na kuinspire rappers wengine wa mlengo huo mpaka 2010-2015. Kuanzia 2015……… Refa akameza filimbi na ndo’ tumefikia hapa sasa!! Shida anaweza asiwe mwenyekiti pasee ingawa mchungaji ana hoja, ila mimi naona shida ni REFA!!
Filipino
160
107
788
99.1K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@PamBelinda @fbuyobe Kulikuwa na jitihada za kudhibiti ubora lakini bado shule dini na private for profit ziling'ara.Baada ya ruhusa ya biashara, private for profit zimeongezeka na ubora wake.Tumepata kipimo cha ulinganifu. Pengine za serikali zilikuwa na ubora hafifu miaka yote (hypothetically).
Filipino
0
0
1
11
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@PamBelinda @fbuyobe Rejea kipindi baada ya Azimio la Arusha hadi Azimio la Zanzibar.Familia nyingi zilipeleka watoto shule za serikali na sekondari kwa kuchaguliwa.Waliokosa walisoma private (dini, majeshi na Jumuiya ya wazazi), private 4 profit kwa uchache.
Indonesia
1
0
1
16
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Inawezekana baadhi ya wazazi wetu walikuwa wezi. Jiulize waliwezaje kusomesha watoto wao na ndugu wengi kwa mpigo? Sisi ada ya mtoto mmoja tu wa Primary inatufanya soliloquizing, and planning to disappear mysteriously from home and return after 50 years as a returning officer
Fortunatus Buyobe tweet media
Indonesia
127
141
1.3K
85.5K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@420Cousin Ingependeza sana kuona Wizara ya Uchukuzi ina leta taarifa kama hizi kwa format tofauti tofauti. Asante kwa hii update.
Indonesia
0
0
0
56
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
DP World Yabadilisha Uendeshaji wa Bandari ya Dar Es Salaam Dar Es Salaam– Tangu DP World ilipoanzishwa kubadilisha uendeshaji wa bandari ya Dar Es Salaam, tunafurahi kutangaza kuboreshwa kwa ufanisi wa bandari. Jitihada za DP World kuboresha na kuongeza ufanisi zimepelekea: - Kuongezeka kwa idadi ya meli zinazoshughulikiwa kutoka 35 mwezi Mei hadi 61 mwezi Julai. - Kupungua kwa muda wa kusubiri kwa meli za mizigo kutoka zaidi ya siku 35 hadi chini ya siku 7. - Meli za vyombo na RoRo zinaweza kupakizwa mara moja zinapowasili. - MSC imeondoa ada ya muda wa kusubiri kwa Dar Es Salaam. Utaalamu wa DP World umekuwa muhimu katika kufanikisha maendeleo haya. Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imejizatiti kuhakikisha kwamba Bandari ya Dar Es Salaam, pamoja na bandari nyingine nchini Tanzania, inafikia viwango vya kimataifa kupitia maboresho ya mara kwa mara na maendeleo ya kimkakati.
cousin 420 tweet media
Indonesia
57
24
59
27.9K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@PamBelinda @fbuyobe Hivi zilikuwa nzuri au hatukuwa na cha kufafanishia/kulinganishia? Sasa hivi wenye uwezo wanalinganisha shule, baadae wana chagua private. Mwisho wa siku watoto bila kujali alisoma shuke ya nani wana kutana wote pale UDSM, Mzumbe, IFM au UDOM na kwingineko.
Filipino
1
0
1
17
Pam Belinda 🥇
Pam Belinda 🥇@PamBelinda·
@fbuyobe Wazazi wetu hawakuwa na maisha haya yetu. Tumetofautiana kwa mengi sana..! Na CCM imebadilisha MNO mifumo ya Nchi. NA TENA: Shule za Serikali zilikuwa nzuri kabisa.. mfumo wa Elimu ulikuwa haijachezewa. Sasa hivi ukitaka mwanao asije kuwa CHAWA.. unampeleka shule za private..!
Indonesia
2
0
8
677
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@TheChanzo Unategemea nini? Tafsiri ya Rushwa ya Ngono kwa akina Mama ni wao kuombwa. Wao kuomba au kuweka mazingizira na shinikizo sio Kosar? Sheria ni msumeno, iachwe ikate bande zote mbili.
Indonesia
0
0
0
14
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Viongozi Wanawake Vijana wapinga pendekezo la kuwa mtoa rushwa ya ngono naye ashtakiwe.
Indonesia
133
48
205
40.8K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@EduTalkTz Kwa mishahara hii ya Kitanzania? Kila Mkuu wa Wilaya, wa Mkoa au Waziri na Naibu wakiteuliwa wajinunulie nyumba kwenye maeneo yao ya kazi? Au wapange.Endapo hii style ikiwa adopted TZ, hiyo bajeti ya mishahara na kuhudumia watumishi si itazidi hiyo ya 2024/2025.
Indonesia
0
0
0
100
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Nimeambiwa Marekani ukiondoa Rais na Makamu ambao wanakaa bure Ikulu, hakuna kiongozi mwingine wa serikali anayepewa au kujengewa nyumba na serikali. Unalipwa mshahara kisha unatumia mshahara wako kujinunulia/kupangisha nyumba na kuigharamia kwa pesa zako. Nimeambiwa hata *wabunge hawana eneo maalum lililotengwa kwa ajili yao, wengine wanaishi mpaka kwenye basements za watu pale DC. Ukishapewa mshahara wako dola 14,500$ kwa mwezi, unapambana mwenyewe kujua utakapokaa. Wakati napigiwa hizi story nikakumbuka serikali ya Tanzania kwenye bajeti ya 2024/25 imetenga Billion 190 kwa ajili ya kuwanunulia viongozi magari na kuwajengea nyumba. Viongozi ambao wanalipwa mshahara mkubwa, pengine kuliko asilimia 99% ya watanzania wote. Anajengewa nyumba, ananunuliwa gari, anaajiriwa na kulipiwa dereva, anawekewa mafuta, analipiwa bills, na bado analipwa mshahara. Tuna nchi ya kipekee sana aisee, tunastahili pongezi.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
79
88
559
39.7K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@YourFrenchFry Kama aliteuliwa akiwa Mtumishi wa Umma, basi urejeshwa Utumishi kupangiwa kazi zingine za utumishi. Kama alitokea kwenye siasa anarudi huko huko.
Filipino
0
0
0
23
CoCo🍫
CoCo🍫@YourFrenchFry·
Swali, naomba kueleweshwa. Mtu akiteuliwa kuwa mkuu wa wilaya forexample, kisha akatenguliwa. What do they become? Mwananchi wa kawaida au kunakuaga na maelekezo? Sababu kama alikua kwenye position fulani si inakua tayari filled na mtu mwingine wakati akiwa DC? School me please
Filipino
87
29
758
85K
Ally Kebby retweetledi
Tanzania High Commission I United Kingdom
Fursa za Ufadhili wa Masomo ya Shahada ya Uzamili nchini Uingereza (Commonwealth Master's Scholarships
Tanzania High Commission I United Kingdom tweet mediaTanzania High Commission I United Kingdom tweet media
Indonesia
10
115
321
51.3K
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@EduTalkTz Ni muhimu vile vile kuongeza mzigo wa Malawi unaopita Dar na Mtwara. So hiyo route ya Mtwara-Mbambabay ni muhimu kuboresha ushindani wa bandari za TZ dhidi ya za Msumbiji na Afrika Kusini.
Indonesia
0
0
0
10
Ally Kebby
Ally Kebby@AllyKebby·
@EduTalkTz Takwimu zinaonyesha mzigo mkubwa unaoibeba Mombasa ni wa Uganda.Kuwin lazima kupunguza muda wa safari.Mzigo kutoka KE to UG uchukua siku4 kwa barabara, inapungua kwa kuunganisha MGR na SGR kufikia masaa 12 tu!Kutoka Dar hadi UG ni siku4 kwa barabara, SGR itapunguza hadi siku 1.5
Indonesia
1
0
0
28
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mdau ameliweka hili swali vizuri sana; Kwa nini tulijenga SGR kwenye route ya Daresalaam - Isaka na sio Daresalaam - Tunduma au Daresalaam - Arusha??🤔 Wenye uelewa tafadhali🙏🏿
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
99
37
711
78.2K