
Inawezekana kwenye kila lita ya mafuta au kilo ya sukari inayouzwa iwekwe tozo maalumu ya Elimu—ili kuboresha shule za umma ziwe na ubora wa kukimbiliwa? Au Tuendelee kukimbilia shule binafsi?
Aneth
24.4K posts

@AnethSissya
BBIS #KonaYaMwalimu

Inawezekana kwenye kila lita ya mafuta au kilo ya sukari inayouzwa iwekwe tozo maalumu ya Elimu—ili kuboresha shule za umma ziwe na ubora wa kukimbiliwa? Au Tuendelee kukimbilia shule binafsi?

Huyu mama ana miaka 35+ na ana watoto watatu niangalia video zake jinsi alivyo zalilishwa na yule Russian guy Kiukweli imeniuma sana kuona wakina Mama watu wazima wanakuwa na tamaa an pesa na kusahau kabisa utu wao. Nasikia pia jamaa ni HIV+ anafanya kueneza kama revenge.🚮














Kuna mwalimu wa UDSM hapa X tulibishana kinoma! Alikua anasema huwezi fanya PhD bila kupita Master’s degree😂😂😂.. Tutakuwepo 👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾 kuwapa exposure wajukuu wa Nyerere.

Most Cameroonians don't know that you don't need a masters degree to do a PhD and that nobody pays to do a PhD out there!! Your undergrad degree is enough. The most important thing in your application is research potential, any gpa above 3.00 is good. Research potential is key!!

Kuna mwalimu wa UDSM hapa X tulibishana kinoma! Alikua anasema huwezi fanya PhD bila kupita Master’s degree😂😂😂.. Tutakuwepo 👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾👈🏾 kuwapa exposure wajukuu wa Nyerere.

