Sabitlenmiş Tweet

KANUNI ZA BETTING
Betting inaweza kufurahisha na kukutoa machozi pia, lakini inahitaji nidhamu. Wengi tunajihusisha na Kubashiri au maarufu 'Betting' Lakini hatujui Kanuni zake.
Ndiyo betting ina kanuni zake, unajua ni zipi? Shuka na uzi 🧵 👇
Hapa kuna Kanuni za kukuongoza kwenye Betting hasa wale watu wapya kwenye betting.
1. Weka BAJETI:
Siku zote weka kiasi cha pesa unachoweza kumudu kupoteza, Usitumie pesa ya mkopo kubeti. Kwa sababu ukipoteza utakua umepata Hasara mara mbili.
Usitumie zaidi ya Asilimia kumi ya mshahara wako au faida yako, yaani kama msahara wako ni 100k basi usiweke zaid ya 10k kwenye betting. Hii inalinda pochi yako!
2. Elewa MASOKO:
Elewa odds na Masoko kulingana na kampuni kabla ya kubet. Hapa unaweza tumia Tovuti mbali kujua aina ya masoko yaliyopo na mgawanyo wa odds. Masoko yanatofautina sana kulingana na Kampuni ndo maaana kuna watu wanapenda Sportybet, betpawa na betway alafu kuna wale wanapendelea kampuni za kirusi kama 1xbet, 888STARZ, Helabet, Fansport, Dbbet n.k
3. Fanya ANALYSIS bila Ushabiki📈:
Analysis ya Mechi husika ni muhimu sana, kwenye analysis utaangalia H2H, Trend ya team kwenye Mechi 5-10 za mwisho, Majeruhi, Adhabu kwa wachezaji na pia Mashindano husika. Hii itakusaidia kwenye uchaguzi wa Masoko na kuelewa thamani ya odds. Unaweza tumia; Sofascore, Forebet, Flashscore n.k
4. Epuka Kufukuzia HASARA na Udhibiti HISIA.
▪︎ Umepoteza? Usiongeze dau kurudisha pesa! 😣 Pumzika, Kufukuzia kurudisha hela uliyopoteza husababisha hasara zaidi.
▪︎Usiruhusu furaha au huzuni ikudanganye. 😢 Bashiri kwa akili, sio moyo. Rekodi mwenendo wako nzima ili ujue nini unafanya.
5. Epuka MAZOEA na HISTORIA.
Epuka sana kuweka mazoea na historia mbele ya utafiti. 🗣️
Amini utafiti wako, siku zote analysis inashinda hadithi!
Hapo wananielewa sana wale waliompa Benfica win direct akiwa na odds 1.12 alafu akatoa draw😁 au Chelsea vs Ipswich (2:2) na watu waliamini ni mechi rahisi kwa Chelsea.
6. Weka MALENGO yako sio NDOTO:
Lenga ukuaji mdogo usio na presha kwako, mfano 3-10% ya mtaji kwa mwezi. 🎯 Ndoto za pesa za haraka zinaangusha. Tumia app kama Action Network kufuatilia muendeko wamo wa betting.
7. SUBIRA ni Muhimu.
Kamari ni mbio ndefu, sio fupi. ⏳ Subiri nafasi bora za odds au dau. Usikimbilie kubashiri kwa misimko au kukurupuka, chukua mda wako fanya analysis yako taratibu angalia odds zilizopo jiridhishe ndo uweke mkeka wako.
8. UCHAGUZI wa Kampuni:
Betting imekua kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni na kila siku kuna Kampuni mpya, Usipate shida utumie kampuni ipi au ipi usitumie. Zingatia analysis yako mfano unaweza tumia sportybet kwa options za kawaida kama direct win, double chance na over/ under lakini options kama Fouls, throw-ins, goal kicks na options nyingine unaweza tumia Kampuni za kirusi kama 1xbet, 888starz n.k
9. Betting ni BURUDANI.
Betting ni burudani, usiikamie sana utaumia wewe.
NB: Hakuna "Sure Odds" ndo maana ukaitwa Ubashiri.
AHSANTE KWA MUDA WAKO.
MWISHO WA UZI🧵
Follow.
Like and Repost.


Indonesia






















