Bansho

57.4K posts

Bansho banner
Bansho

Bansho

@Bansho255

NOT ALL HEROES WEAR CAPES

Mbeya, Tanzania Katılım Ekim 2021
1.4K Takip Edilen2.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Bansho
Bansho@Bansho255·
Maisha ya Mwanaume huwa yana Amani sana,pindi nyumba yake ikiongozwa na mwanamke mkimya 🙏🙏🙌
Filipino
30
74
243
12.5K
Bansho retweetledi
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂
Ushahidi wa Tume unaonyesha vijana walikuwa waathirika wakuu wa ujanja wa mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi 2025. Walipewa simu na kazi ya kupiga picha za majeruhi na kuziweka mtandaoni ili kuwahamasisha wengine. Hii ilikuwa mpango wa makusudi wa kuongeza
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂 tweet media
Indonesia
1
7
7
21
Bansho retweetledi
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂
Tume ilichunguza na kugundua baadhi ya wanasiasa walitumia hotuba zao kuwaingiza vijana katika vurugu. Kauli zilizotolewa ziligeuka kaulimbiu za vijana waliokuwa mitaani. Vijana waliamini walikuwa wakitekeleza maagizo ya viongozi wao wakati walikuwa wakidanganywa.
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂 tweet media
Indonesia
1
7
7
18
Bansho retweetledi
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂
Kulingana na mashahidi, vijana waliohusika na ghasia walikuwa wamepewa maelekezo maalumu kupitia mitandao. Waliamriwa kurekodi matukio ya uharibifu na kuyatuma moja kwa moja ili kueneza hofu na hasira. Tume ilibaini hii ilikuwa mbinu ya kuwatumia vijana kama chombo cha
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂 tweet media
Filipino
1
7
8
25
Bansho retweetledi
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂
Mitandao ya kijamii ilitumika sana kabla, wakati na baada ya uchaguzi kuwaingiza vijana katika ghasia. Wabuni mada walitengeneza maudhui yanayohamasisha vijana kutoshiriki uchaguzi na badala yake kuzuia. Vijana walipokea simu maalumu ili wapige picha na video za matukio ili
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂 tweet media
Indonesia
1
7
7
18
Bansho retweetledi
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂
Uchunguzi wa Tume umebaini kuwa vijana wengi walidanganywa na kushawishiwa kushiriki ghasia baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia mitandao ya kijamii kueneza kauli na picha za uwongo ili kuibua hasira zao. Vijana waliaminiwa kuwa
𝑫𝒂𝒌𝒕𝒂𝒓𝒊 𝑾𝒂 𝑺𝒊𝒂𝒔𝒂 tweet media
Indonesia
1
8
7
18
Bansho retweetledi
HER
HER@heroinelincoln·
Tume ilichunguza na kugundua baadhi ya wanasiasa walitumia hotuba zao kuwaingiza vijana katika vurugu. Kauli zilizotolewa ziligeuka kaulimbiu za vijana waliokuwa mitaani. Vijana waliamini walikuwa wakitekeleza maagizo ya viongozi wao wakati
HER tweet media
Indonesia
1
5
5
7
Bansho retweetledi
HER
HER@heroinelincoln·
Tume ilipokea ushahidi wa vijana waliodanganywa na kupewa majukumu ya propaganda mtandaoni wakati wa ghasia za 2025. Walikuwa wakiamini wanafanya jambo zuri wakati walikuwa wakitumika na kuachwa kushughulikiwa na sheria #UwajibikajiKisiasa #TumeYaUchunguziReport Jukumu La Vijana
HER tweet media
Indonesia
0
5
4
10
Bansho retweetledi
Bansho
Bansho@Bansho255·
Uchunguzi wa Tume umebaini kuwa vijana wengi walidanganywa na kushawishiwa kushiriki ghasia baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia mitandao ya kijamii kueneza kauli na picha za uwongo ili kuibua hasira zao. Vijana waliaminiwa kuwa-
Bansho tweet media
Indonesia
1
4
4
14
Bansho
Bansho@Bansho255·
Mitandao ya kijamii ilitumika sana kabla, wakati na baada ya uchaguzi kuwaingiza vijana katika ghasia. Wabuni mada walitengeneza maudhui yanayohamasisha vijana kutoshiriki uchaguzi na badala yake kuzuia. Vijana walipokea simu maalumu ili wapige picha na video za matukio ili-
Bansho tweet media
Indonesia
1
5
5
16
Bansho
Bansho@Bansho255·
Ushahidi mbele ya Tume unaonyesha vijana walishawishiwa na kaulimbiu za baadhi ya wanasiasa zilizo badilika na kuwa mwongozo wa ghasia. Changamoto za kiuchumi na kijamii za vijana zilitumiwa kama fursa ya kuwachochea. Waliamini walikuwa wakifanya mapinduzi wakati walikuwa -
Bansho tweet media
Indonesia
1
4
4
9
Bansho
Bansho@Bansho255·
Tume imebaini vijana walikuwa kundi lililolengwa zaidi katika mitandao ya kijamii. Maudhui yaliyotengenezwa yaliwaelekeza vijana namna ya kuzuia uchaguzi na kufanya vurugu. Wengine walikiri mbele ya Tume kupewa majukumu ya kurekodi na kusambaza picha ili kuwahamasisha wenzao.-
Bansho tweet media
Indonesia
1
4
4
11
Bansho
Bansho@Bansho255·
Ripoti ya Tume inaonyesha jinsi vijana walivyodanganywa kupitia video na picha za uwongo zilizoenezwa mitandaoni. Waliaminishwa kuwa Serikali inawanyanyasa hivyo walipaswa kulinda haki yao kwa nguvu. Hii ilisababisha wengi kushiriki ghasia bila kujua walikuwa wakitumika kisiasa.
Bansho tweet media
Indonesia
1
5
5
13