Nathan Belete retweetledi
Nathan Belete
369 posts

Nathan Belete
@BeleteNathan
Country Director @WorldBank - Malawi, Tanzania, Zambia & Zimbabwe
Katılım Mayıs 2015
73 Takip Edilen1.3K Takipçiler

Very insightful meeting with CSOs and private sector representatives in Solwezi Zambia today. @WorldBank is exploring additional avenues to support socioeconomic development in North-western Province, including trade facilitation and corridor development.

English
Nathan Belete retweetledi

🎉 Milestone for #Zimbabwe’s agribusiness! The government has streamlined livestock, dairy & stockfeed regulations, improving the business environment for farmers & processors.
Supported by the @WorldBank via ZISET. Thanks to our partners: @UKinZimbabwe @SwedeninZW @SwissDevCoop

English
Nathan Belete retweetledi

Youths are powerful agents of change and must have voice in the development discourse. Today we engaged with students at the University of Zambia to present the latest @WorldBank Zambia Economic Update focusing on Leveraging Energy Transition Minerals for Economic Transformation.

English

Excited to join the launch of the GEWEL 2 project in Chisamba, Zambia. The project aims to keep girls in school and empower women by providing resources to foster economic growth and enhance resilience to shocks for poor and vulnerable communities throughout #Zambia.




English

Good meeting today with Zambia’s Minister of Energy, Hon. Makozo Chikote, to discuss @WorldBank support to the Energy Sector. The @WorldBank is actively supporting Zambia’s energy sector to ensure energy security and reliability.


English

Privileged to join #Malawi’s Vice President Usi for closing of 3 day Regional Dialogue , as well as Ministerial Roundtable, where among other things, we agreed to transform public-private cooperation to enhance food production, transportation and job creation in our food systems.




English

Pleased to join launch of the Zambia Poverty and Equity Assessment Report with Minister of Finance Hon. Situmbeko Musokotwane. @WorldBank is committed to supporting Zambia's efforts to reduce poverty and inequality for all Zambians. documents.worldbank.org/en/publication…


English

Great meeting with Zambia’s Minister of Health, Dr. Elijah Muchima, and team. @WorldBank will continue to support Zambia strengthen its health systems, including improving emergency preparedness and response systems. #Healthsecurity #Zambia



English

Delighted to visit today @FeminaHip, a Tanzanian NGO, which benefited from the annual WB Community Connections Campaign. With limited funding, they are doing impressive and extensive work promoting sexual and reproductive health, economic empowerment and citizen engagement.



English
Nathan Belete retweetledi

We firmly believe in #Zambia's vast potential for growth and are committed to expanding our work in the country. The new Zambia #CPSD highlights how key policy reforms in mining, solar, tourism, and agri can unlock $21B in private investment and 300K jobs by 2030. See how ⬇️
IFC Africa@IFCAfrica
Reforms in these four sectors: 👷🏿mining, 🚜agriculture, 🛎️tourism, and ⚡energy sectors could strengthen #Zambia’s economy and support private sector-led growth and job creation. Learn more ⤵️ wrld.bg/AFxS50UmvqP #ZambiaCPSD
English
Nathan Belete retweetledi

In this @CNBCAfrica article, @BeleteNathan & I unpack the opportunities to drive increased investment and job creation in #Zambia based on a new @WorldBank Group report. Read more. cnbcafrica.com/2024/several-w…
English
Nathan Belete retweetledi

Great to launch the @WorldBank Group's Zambia Private Sector Diagnostic (CPSD) in Lusaka, #Zambia today. Read more to see how the country could generate new investments of up to $21 billion & create 300,000 jobs by 2030. wrld.bg/AFxS50UmvqP

English
Nathan Belete retweetledi

Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia (WB) wamesaini mikataba miwili (2) yenye thamani ya dola za Marekani milioni 104, sawa na takriban shilingi bilioni 248, kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia nchini Tanzania, maarufu kama “PAMOJA”.
Hafla ya utiaji saini wa mikataba hiyo imefanyika jijini Dar es Salam kati ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) kwa niaba ya Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete.
Akifafanua kuhusu mikataba hiyo, Mhe. Dkt. Nchemba alisema kuwa mkataba wa dola za Marekani milioni 4, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 9.5 ni msaada na Mkataba wa dola za Marekani milioni 100, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 238 ni mkopo wenye masharti nafuu.
Alisema mradi wa PAMOJA uliosainiwa utasaidia kuongeza upatikanaji wa fursa za kiuchumi kwa wanawake pamoja na huduma za kuzuia na kukabiliana na ukatili wa kijinsia Tanzania Bara na Zanzibar.
‘’Hili litatimizwa kupitia uimarishaji vikundi vya wanawake kwa kuwajengea ujuzi wa biashara na kuwaunganisha na fursa za masoko, kuongeza fursa za mikopo nafuu kwa vikundi vya wanawake, kuwaongezea upatikanaji wa huduma za kifedha kupitia mifumo rasmi ya kifedha pamoja na kuimarisha huduma za kukabiliana na ukatili wa kijinsia”, alifafanua Mhe. Dkt. Nchemba,
Alisema mradi huo utawanufaisha moja kwa moja wanawake wapatao 319,850 na walengwa wengine 399,000, wakiwemo wanafamilia za wanufaika.
Alisistiza kuwa kukuza usawa wa kijinsia si suala la wanawake pekee bali ni msingi wa Taifa la kidemokrasia, lenye haki na linalostawi na kuongeza kuwa kuondoa tofauti za kijinsia kunaboresha uzalishaji na kuimarisha uhimilivu wa kiuchumi.
“Mradi wa PAMOJA ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa Taifa 2021/22 - 2025/26, Rasimu ya Dira ya Maendeleo ya 2050 na pia ni sehemu ya ajenda kuu ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye amelipa kipaumbele suala la usawa wa kijinsia”, alisema Mhe. Dkt. Nchemba.
Alisema utekelezaji wa mradi huo ni ushahidi wa dhamira ya Serikaliya kufanikisha Malengo ya Maendeleo Endelevu (hususan Lengo la 5) na kuonesha nia thabiti ya kufanikisha ukuaji wa uchumi unaowajumuisha wote.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Bw. Nathan Belete, alisema kuwa mradi huo utatatua changamoto za kijinsia za kijamii na kiuchumi kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi na kubainisha mila potofu ili kukabiliana na ukatili wa kijinsia.
Aliiomba Serikali kuzikutanisha pamoja Wizara zote za kisekta zinazohusika katika utekelezaji wa mradi huo kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazowakabili wanawake na Watoto.
Alisema wanatarajia mradi huo utaanza kutekelezwa mapema na kuona matokeo ya utekelezaji pamoja na faida watakazo zipata walengwa wa mradi huo.
Kwa upande wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), alimpongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada mbalimbali anazofanya kuwainua wanawake kiuchumi ikiwemo kuwezesha upatikanaji wa fedha kwa ajili ya mradi wa PAMOJA.
Alisema katika hatua za awali za utekelezaji wa mradi huo, Wizara yake imeshazindua Sera ya Taifa ya Jinsia na Maendeleo ya Wanawake pamoja na Mkakati wake ambao uwezeshaji wanawake kiuchumi ni miongoni mwa malengo yake.
Alisema mradi huo umekusudia kujenga nyumba salama 10 kwa ajili ya kuwahifadhi Watoto wanaokumbana na ukatili wa kijinsia pamoja na kujenga vituo 200 vya malezi salama na makuzi ambapo vituo 184 vitakuwa Tanzania Bara na 16 vitajengwa Zanziber.
“Afisa Ustawi wa Jamii na Maendeleo ya Jamii wamekuwa wakihangaika kupata ofisi za kufanyiakazi na kutoa huduma pamoja na vifaa kazi ikiwemo usafiri, sasa kwa kutumia fedha hizi watapata Ofisi 40 za maafisa Maendeleo ya Jamii na Ofisi 40 za Maafisa Ustawi wa Jamii”, alifafanua Mhe. Dkt. Ngwajima.
Alisema fedha hizo zitasaidia kuwachangamsha wanawake kiuchumi, kupata elimu ya kibiashara, mitaji pamoja na kufanya biashara wakiwa na uelewa mpana kwa sababu wataalam wamewezeshwa kuwafikia popote walipo.
Aliahidi kuhakikisha fedha hizo zitatumika kikamilifu kwenye mradi iliyokusudiwa na kuleta matokeo Chanya.




Indonesia













