Sabitlenmiş Tweet

Karibuni mjipatie Achari ya mbilimbi ,Embe,pilipili kwa Elfu 5000 tu mls 800 Karibuni sana
#acharimdabuko#




Indonesia
bint stara @ummu Salamah
6K posts

@BintStara
Stara za kila aina mtumba grade(abaya,jalabia,evening dress,dish dash) one,handbag,mashuka mapya











Kiongozi Mkuu wa Taifa la Korea Kaskazini Kim Jong UN, amesimamia na kushuhudia majaribio ya urushaji makombora ya kimkakati kutokea kwenye meli yake ya kivita majaribio ambayo yamekwenda sambamba na zoezi la ulengaji shabaha. Chombo cha habari cha Serikali ya Korea Kaskazini kimesema makombora hayo ya kutoka baharini hadi ardhini yamerushwa jana March 04,2026 ikiwa ni sehemu ya kuonesha uwezo wa Nchi hiyo kujilinda kwenye maeneo yake ya Bahari. #MillardAyoUPDATES






Wateja wa kanga kubwa za zanzibar oud na mkaa wa oud karibuni sana mniungishe












