Caretaker
603 posts

Caretaker
@Bobpablo007
Dog dealer Based on dar es salaam,,Dodoma, Morogoro
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2022
27 Takip Edilen17 Takipçiler

@OriginoZee17 Kaka sikujui hunijui ila kuigusa account ya shetani ni kugusa mboni yangu account ile tuta ilinda kwa wivu mkubwa sana TUHESHIMIANE
Eesti

@Dr_DGwajima Mh.wazir unaupiga mwingi niruhus nije n mtandike makofi mawili kwa heshima
HT

HATIMAYE MWIJAKU AKAMATWA NA KUHOJIWA NA POLISI KANDA MAALUMU YA DAR ES SALAAM.
24 Aprili, 2025
-------------------
Tafadhali rejeeni taarifa yangu kwa Umma kama Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu ya tarehe 20 Aprili 2025 na tarehe 23 Aprili, 2025 kuhusu mabinti wanafunzi wa vyuo vikuu waliomdhalilisha Binti mwenzao anayesoma Chuo Kikuu cha Ardhi (jina limehifadhiwa).
Baada ya taarifa hizo, sehemu kubwa ya jamii iliuliza kuhusu lini anayetajwa kama Mwijaku angehojiwa?.
Napenda kutoa taarifa kuwa, tayari Mwijaku amekamatwa na ameshahojiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam na Mwijaku huyo majina yake rasmi yamebainika kuwa ni Mwemba Burton ambaye ni mkazi wa Dar Es Salaam.
Aidha, wengine waliokamatwa na kuhojiwa pamoja naye ni Mary Matogoro wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Ryaner Mkwawili wa Chuo Kikuu Ardhi; na Asha Suleiman Juma wa Chuo cha Uhasibu (TIA).
Pamoja na hatua hii, Jeshi la Polisi linaendelea na upelelezi kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria.
Taarifa za kukamatwa na kuhojiwa kwa watu hawa zimetolewa tarehe 24 Aprili, 2025 na Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam.
SHUKRANI: napenda kutoa Shukrani zangu za dhati kwa Wananchi wote walioshirikiana katika hatua zote za kupatikana kwa taarifa zilizowezesha kumpa msaada stahiki manusura wa ukatili huu mbaya. Natoa Rai tuendelee kushirikiana daima katika kuzuia ukatili na kuibua ukatili na udhalilishaji unaofichwa.
Aidha, NATOA WITO kwa jamii tuepuke kuchukua Sheria mikononi na pia, TUISHI MAISHA YA UADILIFU.
MWISHO.
----------------
@maendeleoyajami @tanpol

Indonesia

@Eric__Bernard Eeeh Mungu si unaona hta wew yeye ndio anatuchekesha
Indonesia

@rollymsouth Sorry ya nini hpo kikatuni au umesha lewa hio haina sorry MOFO
Indonesia

Am sorry but kaongea upumbavu
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai
Hivi we Sheikh Mwaipopo ni kwamba una uwezo mdogo au umejivua akili? Askofu hajasema mahakama inwachie imesema serikali Waliomshtaki Lissu kwa kesi ya uongo si mahakama bali serikali Jibu hiki: Mbowe aliachiwa bila masharti yoyote na mahakama au na serikali? Unajua hata mahakamani hakufika aliachiwa juu kwa juu? Tena na huyu huyu mama yenu So usituchoshe na spinning 🚮 #FreeTunduLissu #FreeTunduLissuNow #NoReformsNoElection

@Geoffrey87Lea Usiongee kma fala kipindi cha chama Simba haijawai cheza shirikisho
Indonesia











