Boni Swai

77.5K posts

Boni Swai banner
Boni Swai

Boni Swai

@Boniswai

Mwanza TZ Katılım Nisan 2012
4.6K Takip Edilen17.1K Takipçiler
Boni Swai retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Stay strong Mr. Future President. UTASHINDA NA TANZANIA ITASHINDA. Jela watakutoa bila kupenda. Watanzania wanapambana utoke, serikali nyingi duniani zinapambana utoke. Na Utatoka bila masharti yoyote na bila kuwapa Maridhiano ya kishetani wanayoyafosi ili Wakuache….
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
32
334
1.7K
25K
Boni Swai retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa nitakuwa Uyole Jumapili hii pamoja na Viongozi wengine wa ngazi mbalimbali za chama…Ni mkutano wa hadhara na Wananchi wote wa Mbeya Mjini njooni tuendelee tulipoishia…✌🏾✌🏾 #LiMwenyekiti #NyasaMpya #FREELISSU
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
56
364
2K
19.1K
Boni Swai retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kesho Makam Mwenyekiti Mhe. @HecheJohn atazungumza na Watanzania kupitia vyombo vya Habari
Hilda Newton tweet media
HT
6
67
327
3.5K
Boni Swai retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kitendo cha Magereza na Mahakama kumpeleka Mwenyekiti wetu mahakamani bila taarifa ya mawakili wa chama na chama ni aibu na kutia mashaka sana . Tumezuiliwa kumuona kiongozi wetu kwa miezi Karibia sita kinyume cha sheria.. Sasa anapelekwa mahakamani kwa siri na kificho nia yenu ni ipi? Lissu ni kiongozi wa umma haiwezekani kumfanyia mambo ya ajabu kama haya.
Indonesia
115
645
2.7K
64.8K
Boni Swai retweetledi
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Nimefanya kazi nawe miaka 5 ukiwa Naibu Katibu mkuu na baadaye Katibu mkuu wa Bavicha taifa. Itoshe kusema imani uliyopewa na chama kuwa Katibu wa kanda ya Kaskazini si ya bahati mbaya. Ukweli unastahili. From prison to the office.
John Pambalu tweet media
Filipino
4
108
926
17K
Boni Swai retweetledi
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Tumemaliza kusomewa uamuzi wa kesi ya Chama CDM kuzuiwa kufanya Siasa na shughuli zake zingine. Mahakama ya rufaa imeliondoa zuio hilo na sasa tuko huru tena. Kesi itarudi mahakama kuu kwa Jaji mwingine kuamua suala moja la msingi kama kesi hii ililetwa ndani ya muda au la?
Indonesia
19
137
677
13.3K
Boni Swai retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Watangazaji wawili wa Radio Kyela FM, Tumsifu Nsangalufu Katina na Emmy Eliud Haisule, wamekamatwa na jeshi la Polisi wilayani Kyela, na usiku huu wanasafirishwa kuelekea Mbeya mjini. Kukamatwa kwao kunahusishwa na kusoma taarifa iliyoandikwa na gazeti la Mwanahalisi yenye kichwa cha habari "AFANDE WA MWIGULU ATOWEKA"
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
Indonesia
31
150
787
34.8K
Boni Swai retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Papa Leo XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani amevua viatu vyake akaingia kwenye msikiti mkuu wa Algeria. Tena akiwa ndani ya msikiti huo alienda mpaka kwenye Mihrab akatulia kwa dakika 10 akiwa katika ukimya na tafakari. Wanaojua dini hawana ubaguzi wa ajabu ajabu kabisa.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
38
61
905
19.4K
Boni Swai retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Barua ya Tundu Antiphas Lissu si maandishi ya kawaida, ni kengele ya hatari. Inatukumbusha kuwa haki inapocheleweshwa, si tu inaumiza, bali hugeuka mateso ya wazi. Wananchi, tusijidanganye. Ukimya wetu si neutral Bali ni upande ktk kukumbatia dhuluma. Kila tunaponyamaza, tunatoa nafasi kwa dhuluma kuendelea. Kila tunaposita, tunadhoofisha nguvu ya haki. Je, tutakubali kuwa watazamaji wa historia, au washiriki wa mabadiliko? Kama mbinu zetu hazifanyi kazi, zibadilishwe. Kama sauti yetu haisikiki, ipazwe zaidi. Haki haiombwi kwa sauti ya chini , hudaiwa kwa msimamo thabiti. Huu si wakati wa hofu wala kusubiri wengine wachukue hatua. Ni wakati wa kila mmoja kusimama na kusema inatosha.Kwa sababu ukweli uko wazi, haki ya mmoja inapovunjwa, msingi wa haki ya wote unatetereka. Na jamii inayokubali hilo, hujijengea hatari yake yenyewe. Simama. Ongea. Chukua nafasi yako. Wakati wa haki ni sasa.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
44
280
925
22.4K
Boni Swai retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mnaokaa na siri nzito za kuua na kudhulumu uhai eti mnafanya kazi serikalini ujumbe wenu kutoka Padre Kessy Ni kwamba ITAKUTAFUNA‼️ Sasa msikilizeni mjisahihishe mkiwa bado hai nje ya hapo kwisha habari! Na msimtafute kumteka washenzi ninyi #TutaelewanaTu
Indonesia
8
137
432
10.7K
Boni Swai retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Askari wa jeshi la anga la Marekani aliyejifunza kupigana akapata mkanda mweusi kwenye Karate, Taekwondo, jiu-jitsu na judo. Akaanzisha urafiki na Bruce Lee akaanza kuigiza movie. Gwiji wa Movie na mwandishi mzuri, Chuck Norris amefariki na miaka 86. Unamkumbuka kwa Movie ipi?
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
30
89
1.2K
22.4K
Boni Swai retweetledi
Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo@Cristiano·
De onde venho e para quem vivo. Feliz Dia do Pai ❤️
Cristiano Ronaldo tweet mediaCristiano Ronaldo tweet media
Português
9.4K
43.4K
972.5K
80.3M
Boni Swai retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
“My mum told me to reject the AFCON trophy. I'm officially rejecting the trophy and hope my teammates do the same. We had a chance to win it but we failed to win it. That's football, sometimes you win and sometimes you lose. Senegal beat us fairly and deserved the win. It will be unfair to ruin their joy after the hardwork they put in. I respect the CAF decision but I'm officially rejecting the trophy. I didn't win 2025 AFCON. Congratulations to Senegal once again.”🇸🇳❤️ Achraf Akimi
Fortunatus Buyobe tweet media
English
38
151
1.4K
51.3K
Boni Swai retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Kanisa Katoliki limeanzisha jimbo jipya la Bariadi. Leo Askofu Prosper Lyimo amesimikwa rasmi kuwa Askofu wa kwanza wa jimbo hilo. Askofu Lyimo anatoka familia yenye mapdri watatu, kaka yake mkubwa ni Padri huko Ujerumani na Mdogo wake ni Padri anayefanya kazi kwenye Vyuo Vikuu.
Ayubu Madenge tweet media
HT
9
59
792
17.5K
Boni Swai retweetledi
Omari Omari
Omari Omari@omari_manyama·
"Ukiniuliza Kuhusu Magufuli, Sitamung'unya Maneno Kumtafsiri. Alikua Rais Mbaya Na Mambo Yake Yalikuwa Mabaya Na Hakustahili Kabisa Kuongoza Nchi Hii" - JENERALI ULIMWENGU
Omari Omari tweet media
Indonesia
102
219
1.3K
44.2K
Boni Swai retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Baada ya CAF kutoa maamuzi ya kuwapa Morocco Ushindi wa mezani wa goli 3-0 dhidi ya Senegal na kuwatangaza Morocco kama mabingwa wa AFCON sababu Senegal walitoka uwanjani siku ya Fainali, Wadau na mashabiki wengi wa soka wanasema wanachojua wao bingwa ni Senegal na itabaki hivyo.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
32
56
890
11.7K
Boni Swai retweetledi
Algeria FC
Algeria FC@Algeria_FC·
Trophies are won on the pitch 🇸🇳⭐️⭐️
Algeria FC tweet media
English
3.5K
61.3K
405.4K
6.6M
Boni Swai retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Tangu Mwenyekiti wetu akamatwe mwezi wa nne, Leo ni miezi 11. Watanzania wanajua na Dunia inajua kwamba Lissu hajafanya kosa, kesi hii ni ya uongo kwaajili ya kulinda Utawala usio na ridhaa, kutishia watu na kutaka tusitimize wajibu wetu kama chama kikuu cha siasa Tanzania. Tangu mwezi wa 10 mwaka 2025, Mwenyekiti alikaa Magereza kwa zaidi ya miezi minne bila kesi kuendelea huku akiteseka bila sababu yoyote. Tunajua hii kesi imefunguliwa kumtesa kiongozi wetu ili abadili msimamo wake kuhusu mambo ya Nchi yetu… kuhusu ufisadi wa serikali ya Samia , mauaji, utekaji, wizi wa mali za umma, maisha mabovu na uchumi wa hovyo kwa watu wetu… Tunajua anateswa kwasababu yetu Watanzania. Rufaa ya juzi kwa mambo yasikatiwa rufaa ni ushahidi mwingine kwamba hakuna kesi bali kumpotezea Mwenyekiti muda wake na kumtesa.. Huu ni mwezi sasa Mahakama iko kimya, tunajiuliza kesi yenye uzito kama huu kwa mtu ambae amekaa ndani mda wote huu.. inakuaje mahakama isione urgency kwenye jambo hili.. Mahakama iliyotegemewa kutoa haki na kumaliza jambo hili kwa haraka, inapokaa kimya kunakua na mashaka makubwa.. Sisi hatuwezi kuendelea kunyamazia suala hili. Tunataka huu uhuni ukome haraka , Mwenyekiti wetu aachiwe arudi kufanya wajibu wake. Wanachama wetu na Watanzania hawataendelea kukalia kimya uonevu wa wazi kwa mtu asiye na hatia.
Indonesia
96
464
1.7K
38.1K
Boni Swai retweetledi
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Ukiachana na PhD ya Sheria aliyonayo hasa ya Sheria za Kanisa na Master ya Divinity, Papa Leo XIV pia alisoma Bachelor of Science in Mathematics. Tena aliwahi kufundisha Mathematics na Physics huko Marekani. Jana Papa Leo XIV alituma ujumbe kwenye siku ya Kimataifa ya Mathematics
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
13
50
838
14.9K
Boni Swai retweetledi
Richard Mabala
Richard Mabala@MabalaMakengeza·
Ktk mjadala wa GPA majumuisho (generalisations) yamezidi. Yategemea. Lakini kipaumbele cha waajiri siku hizi si ujuzi wala cheti bali stadi/mahiri 4, critical thinking, creative.thinking, teamwork na flexibility. Tujiulize mfumo wetj wa elimu unafundisha stadi hizi kiasi gani?
Indonesia
24
74
327
12.5K