Umewahi kwenda na/ kwa mgonjwa hospitali alafu ukakatazwa kukaa kwenye kitanda cha wodini ukamind?
Hospitali kuna maambukizi mabaya sana ya vimelea vyenye usugu wa dawa “Nosocomial Infection”.
Unaweza kuvichota ukapeleka nyumbani ukaanza kuumwa au kuambukiza wengine walio wazima.
Nahodha wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand, akiwa ndani ya balloon katika Hifadhi ya Serengeti, ambapo hii leo ametembelea hifadhi hiyo na ameshuhudia maajabu ya uhamaji wa nyumbu ndani ya hifadhi ukiwa ni muendelezo wa ziara yake Nchini akiwa na mwenyeji wake, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda.
#MillardAyoUPDATES
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda na mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand wakiwa katika Hifadhi ya Serengeti kwa ajili ya kutembelea vivutio mbalimbali.
TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI NCHINI
Natangaza rasmi kupumzika na kuachana na kazi ya kamari katika maisha yangu maana nimeona napata hasara kuliko faida hivyo sina budi kuendelea
Hapo chini ni kiapo changu kuhusu kuacha kamari 🙌🗞️📰🧠
@Sativa255@Thereal_taivina
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 20, 2026 amefanya mazungumzo na Nahodha na Mchezaj wa zamani na wa Timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand Ofisini kwa Waziri Mkuu MIimwa Jijini Dodoma.
Rio amewasili nchini kwa mwaliko maalum wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ambaye ameambatana nae ofisini kwa Waziri Mkuu.
#MillardAyoUPDATES