Charles Swai🇹🇿 🇰🇪
112.1K posts

Charles Swai🇹🇿 🇰🇪
@CDot1504
Accountant| Social provocateur| Music Addict| Being myself is all that matters |Activist| Ocean Addict💙
Africa Katılım Ocak 2011
6.2K Takip Edilen5.2K Takipçiler
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Huu sio uwekezaji hata kidogo. Nilisema hapo nyuma na ninarudia tena hapa Coco Beach panahitaji brain power. Ni ufukwe bora kabisa katika Jiji la Dar es Salaam na mipango yake haiwezi kuendeshwa kwa mjadala uliobeba poverty mentality.
Jitihada yoyote ya kurekebisha Coco Beach ili kubeba quality standard mimi nitakuwa mshirika wake ktk jitihada hizo. Nafurahi kwamba ukweli ktk eneo hili umeanza kusikika. Mindset transformation is bigger than voting collection.
Indonesia
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Véron Mosengo-Omba amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuhudumu kwa zaidi ya miaka 30.
Katika taarifa yake kwa umma amesema amechukua uamuzi huo ili kujikita katika miradi binafsi na kwamba anaondoka na kuiacha CAF ikiwa imara kuliko wakati wowote.

Indonesia
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Timu ya Mpira wa Kikapu ya Dar City ya Tanzania imeendeleza ubabe katika Michuano ya BAL 2026, Nchini Afrika Kusini baada ya kuifunga Nairobi City Thunder kwa vikapu 90-85.
Dar City imeendelea na ubabe kwa kushinda mechi ya pili mfululizo kitu ambacho kimewashangaza hadi Waandaaji kwa sababu ya ugeni wa Tanzania katika michuano hiyo.
Dar City Sasa watarudi tena uwanjani March 31, 2026 na kucheza dhidi ya Al Ahly Benghazi ya Libya.
#MillardAyoUPDATES.

Indonesia
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Hiii apa kudadek 🔥🙌🏾
JackBarca@JackSimplex
Sema ile 3 point ya Foster mwishoni mamae, kablokiwa karudia tena kamba🙌😂
Indonesia
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

@Wakazi I think so. Yaani kila nikiwachimba siwapati. Nashukuru kwa ufafanuzi👍
Filipino
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Oii @chapo255 naomba kuzama kama utakua unawafahamu hawa jamaa. Jina la kundi wanaitwa #WEUSI ngoma zao wanapiga kiingereza tu. Sijui zaidi asili yao kama ni Tz au wanaishi mbele.
Nakala @1TraVeLA @Wakazi
open.spotify.com/track/5ayX7nvV…
Indonesia

Mkuu @Wakazi nisaidie kuwajua hawa jamaa ni wabongo au asili yao ni wapi? open.spotify.com/track/5F86qP5M…
Indonesia
Charles Swai🇹🇿 🇰🇪 retweetledi

Mbona ukatili unaongezeka kiasi hiki? Kweli kuna watu huwa hawastili kuishi kwenye ndoa. Afya ya akili ni tatizo kwa wengi
Swahili Times@swahilitimes
Bunzali Jidola (30), mkazi wa Kijiji cha Imalanguzu, Igunga mkoani Tabora, anadaiwa kumchinja na kumuua mtoto wake mwenye umri wa miezi miwili kwa kutumia kitu chenye ncha kali, kumjeruhi mke wake, na kisha kujinyonga. Kamanda wa Polisi, Richard Abwao ameeleza kuwa mwanaume huyo alimtuhumu mke wake kuwa mtoto hakuwa wake.
Indonesia









