carola kinasha

18.1K posts

carola kinasha banner
carola kinasha

carola kinasha

@CKinasha

musician

Dar Katılım Eylül 2014
499 Takip Edilen543 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
carola kinasha
carola kinasha@CKinasha·
63 couldn't feel better. I thank my ancestors for all that they gave me. Video by my one and only daughter Naanyuni. My message for this birthday is no reform no elections
English
8
3
29
2.5K
carola kinasha retweetledi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
PUBLIC SERVICE ANNOUNCEMENT Niliona Taarifa Mitandaoni kuhusu uwepo wa Hukumu ya kesi ya Babalevo vs Wakazi, iliyotolewa upande mmoja (Ex Parte) Nimemkabidhi Wakili Peter Kibatala shughuli ya kutengua Hukumu husika, na tayari ameshaanza mchakato wa kutengua Hukumu hiyo chini ya Hati ya dharura, na kwa sasa suala lipo Mikononi mwake. Tafadhali usinitafute mimi kuhusu comment yeyote. Active Legal matters are not for social remarks, and statements could have legal ramifications. I will speak on the matter when the time is right. Kwa sasa Taarifa kwa umma zitatolewa na Kibatala kwa namna na wakati wake kadri masharti na utaratibu wa Taaluma yake unavyoelekeza. Nashukuru, let me get back to business… The Leader
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet mediaWebiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet mediaWebiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Indonesia
15
55
379
21.2K
carola kinasha retweetledi
Mwaura Robert
Mwaura Robert@MwauraRobert2·
Hakuna kusahau hi siku. Samia na ccm wauaji.
Mwaura Robert tweet media
Indonesia
1
18
39
1.1K
carola kinasha retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
HILI LIWE FUNZO KWA MAFWELE NA GENGE LAKE. SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho ktk mwenendo wa kesi yake. Hana pengine pa kukata rufaa, pa kukimbilia, wala pa kupinga. Mahakama imeamua anyongwe hadi afe. Jaji Stellah Mugasha amegonga nyundo. Itz over. Hawezi kukata rufaa tena kwa sababu hukumu ya leo ni review ya hukumu iliyotolewa na mahakama hiyo September 16, 2016, ambapo alihukumiwa kunyongwa hadi kufa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Benard Luanda. So hakuna mahakama ya kujadili tena shauri lake, labda Rais ampe msamaha. Kwa wasiokumbuka Bageni alikua Mkuu wa Upelelezi wilaya ya Kinondoni. Mwaka 2006 yeye na wenzie wakiongozwa na aliyekua Kaimu RPC Dar, Abdalah Zombe, walituhumiwa kupanga njama za kuwauwa wafanyabiashara watatu wa Morogoro. Zombe anadaiwa ndiye aliyeongoza wenzie kwenye mpango huo, baada ya kujulishwa kuwa wana madini na fedha kiasi cha shilingi milioni 200. Walikamata gari waliyokua wameikodi. Wakamuongoza dereva hadi msitu wa Mabwepande. Wakapora madini pamoja na fedha zote walizokua nazo. Kisha wakawafunga vitambaa vyeusi usoni na pingu mikononi. Kisha wakawapiga risasi za kisogoni na kuwauwa wote akiwemo dereva wa taxi waliyemkodisha. Kesho yake Zombe akaita media na kusema wameua majambazi yaliyokua yanarushiana risasi na Polisi. Rais Kikwete akaunda tume ya Jaji Kipenka kuchunguza. Ikabainika hawakuwa majambazi. Kilichouma zaidi walikua ndugu wa familia moja. Mama mmoja alipoteza wanae watatu. Watoto wa familia 4 wakapoteza baba zao, na wake wanne wakawa wajane kwa tamaa za polisi. Zombe alifanikiwa "kuchomoka" kwenye kesi hii baada ya kusota rumande kwa miaka kadhaa. Lakini Bageni alipatikana na hatia akahukumiwa kunyongwa. Akakata rufaa ikafeli, akaomba review ya kesi, na rulling imesomwa leo kuwa ANYONGWE HADI KUFA. Waliomtuma hawapo nae Segerea, wala hawatanyongwa pamoja nae. Atanyongwa peke yake. Wanaohangaika nae saivi angalau kumfariji ni familia yake. Zombe hayupo, OCD wake hayupo hata IGP wa wakati huo hayupo. Ni yeye mwenyewe, na atanyongwa mwenyewe. Hii iwe fundisho kwa wote wanaotumwa kufanya maovu leo e.g kuteka, kuua na kupoteza watu. Ipo siku utajikuta peke yako. Anayekutuma hatakuwepo. Utasimama wewe mwenyewe kutoa hesabu ya maovu yako. Kama si hapa duniani basi hata mbinguni, lakini ipo siku utalipa. Kama ambavyo wema ni mbegu, na ubaya pia ni mbegu. Humea, hukomaa, na ni lazima UVUNE.!”
Hilda Newton tweet media
Indonesia
50
119
757
43.1K
carola kinasha retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
#FreeTunduLissu Kama wewe bado unafikiri ishu hii ya kutaka Tundu Lissu aachiwe ni ya CHADEMA au wanaharakati basi huelewi siasa mbovu inavyoathiri vibaya maisha yako! Ukishindwa kupigania haki za msingi za wengine usitarajie watakuwepo wa kukupigania haki zako wewe! Kwa sasa kila mtanzania ana wajibu wa kuweka #FreeTunduLissu na kuwaambia hawa wauaji kuwa INATOSHA! #WenyeNchiWananchi Tunataka nchi itulie na tujenge Taifa - inaanza na unconditional release ya Lissu na #SamiaMustGo nje ya hapo ni kupoteza muda na huu muda wa kujenga ukipita hautarudi tena! Yaani nchi ikwame kwa sababu ya genge ndogo inayoongozwa na Bi Kizimkazi? Eniwei msiponielewa leo basi huko mbele #TutaelewanaTu mambo yakiwa magumu zaidi! #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
29
263
843
27.5K
carola kinasha retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
"Tunathamini mchango wa Frank Nyalusi na tupo pamoja na familia katika vipindi vyote, akiwepo na akiwa hayupo." Mhe. @HecheJohn
Filipino
9
96
433
19.2K
carola kinasha retweetledi
Patrick Ole Sosopi
Patrick Ole Sosopi@PatricOleSosopi·
Leo March 27, 2026, Mhe. John Heche amefika Iringa Mjini kuhani msiba wa Mpambanaji Frank Nyalusi, Pumzika Kwa Amani Kaka Nyalusi🥺😭
Patrick Ole Sosopi tweet mediaPatrick Ole Sosopi tweet mediaPatrick Ole Sosopi tweet mediaPatrick Ole Sosopi tweet media
Indonesia
3
15
87
2.1K
carola kinasha retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Yusuph Mwandami, mke wake, mtoto pamoja na dereva wao, wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika daraja la Mto Mang’onyi, wilayani Ikungi mkoani Singida.
Indonesia
29
24
202
14.9K
carola kinasha retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
TAARIFA KWA UMMA. Sisi mawakili Maduhu William,, Nashon Nkungu na Paul Kisabo tumefungua shauri la Kikatiba ambalo ni Shauri No . 7300 dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza,,Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Shauri hili limefunguliwa katika mahakama kuu masijala kuu ya Dodoma. Tumefungua shauri hili kuhoji uhalali wa Jeshi la Magereza kuzuia na kuwawekea,,,vingiziti au vikwazo mawakili pale wanapotembelea Magereza kwa ajili ya mashauriano ya kisheria na wateja wao ambao ama ni wafungwa au Mahabusu. Shauri hili litatajwa kwa mara ya kwanza tarehe 14 Aprili 2026 mbele ya jopo la Majaji watatu ambao ni *Mruma,, Dr. Rumisha na Dr. Longopa, JJJ's* . Tutaipigania Heshima na hadhi ya uwakili usiku na mchana na bila kuchoka. Wakili Maduhu
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
3
63
242
4.3K
carola kinasha retweetledi
carola kinasha retweetledi
LYENDA
LYENDA@IamLyenda·
Huyu kijana anapaswa kupuuzwa. Ni mtoto wa Afande Nsato Marijani. Huyu na kampuni yake ya Uwakili ndiye wanaomuwakilisha Saidi Issa Mohamed na wenzake kuizuia Chadema kufanya siasa. Kampuni yake ya Uwakili pamoja na Jaji Mwanga wameiumiza sana Chadema kwa kuweka mazuio kadhaa.
LYENDA tweet media
Indonesia
20
50
278
16K
carola kinasha retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Kuna Diwani wa kata ya Kimokouwa, wilaya ya Longido, amekamatwa na mirungi kilo 108. Anaitwa Solomon Kelaine Laizer, amekamatwa jana Alhamisi wilayani Longido. Yeye ni diwani wa CCM. Ameikamata gari aina ya wish nyeusi T889 DPG. Machawa nao wanaishi kwa msoto, mpaka wanafanya biashara haramu ili kusonga na maisha. Sasa, kuna faida gani ya kuwa chawa wakati maisha unahitaji kupambana nayo kwa mbinu kama hizi? Bora tungeshikamana wote tukapambana kujenga nchi. Hii ingeongeza fursa kwa kila mtu apate maendeleo. Kwa sasa, kuna familia za watu kadhaa zinazufaika na rasilimali za nchi.
Indonesia
5
27
140
10.2K
carola kinasha retweetledi
MO 29 TV
MO 29 TV@MO29TV·
George Sanga, msaliti wa Watanzania, amezua mjadala mpana katika jamii kufuatia hatua yake ya kubadili msimamo na kuacha njia ya mapambano ya haki na demokrasia. Kitendo chake kinatazamwa na wengi kama usaliti mkubwa dhidi ya jitihada za pamoja zilizojengwa kwa muda mrefu kwa gharama na mchango wa wananchi waliomuamini na kumsimamia katika nyakati ngumu. Kwa mujibu wa kumbukumbu za matukio yaliyoshuhudiwa na umma, George Sanga aliwahi kukumbwa na kesi nzito ya mauaji iliyokuwa na adhabu kali. Katika kipindi hicho kigumu, Watanzania waliinuka kwa pamoja na kumuunga mkono kwa hali na mali, wakimchangia fedha za chakula akiwa gerezani, kusaidia familia yake kwa mahitaji ya kila siku, pamoja na kugharamia ada ya elimu ya mtoto wake. Baada ya kutoka gerezani, wananchi hao hao walimchangia mtaji ili aweze kurejea katika maisha ya kawaida. Vilevile, viongozi na wanachama wa CHADEMA walionyesha mshikamano mkubwa kwa kufunga safari kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania kwenda kumtembelea na kumtia moyo alipokuwa kifungoni. Hatua hizi zilidhihirisha wazi imani na matumaini makubwa yaliyowekwa juu yake kama sehemu ya harakati za kuleta mabadiliko ya kweli nchini. Hata hivyo, katika hali inayozua masikitiko makubwa, George Sanga ameondoka katika chama hicho na kujiunga na CHAUMA, huku akianza kutoa kauli za kejeli na dharau kwa wapigania haki na demokrasia. Aidha, hatua yake ya kuonekana kuwatetea wale waliowahi kumuweka gerezani imeibua hisia kali za kusalitiwa miongoni mwa wananchi waliowahi kusimama naye. Mabadiliko haya ya ghafla ya msimamo yanaibua maswali makubwa kuhusu uaminifu, uadilifu na dhamira ya kweli ya viongozi ndani ya harakati za kijamii na kisiasa. Jamii inatarajia uwajibikaji na msimamo thabiti kutoka kwa wale wanaopewa dhamana ya kuongoza na kuwakilisha sauti za wananchi. Wito unatolewa kwa wadau wote wa haki na demokrasia kuendelea kuwa imara, kushikamana na kutetea misingi ya haki na ukweli bila kuyumbishwa na matukio ya mtu mmoja. Mapambano ya haki na demokrasia hayawezi kusimamishwa na mabadiliko ya msimamo ya mtu binafsi, bali yataendelea kwa nguvu ya umma.
MO 29 TV tweet media
Indonesia
21
39
285
19.3K
carola kinasha retweetledi
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
Usiseme chochote hapa Naomba comments 300 za free Tundu Lissu basi Repost 560
SATIVA17 X ( TWEETS) tweet media
Eesti
48
204
479
4.5K
carola kinasha retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Haya Majangili yameanza kuua watu kwa kisingizio cha 2030 Uwa yakishaua mtu kuna namna yatatoka na kauli kuonyesha yameua, Urais 2030 maana yake nini? kwa sasa kuna Rais? wakishakaa na kimama chao kikilalamika wanaua kisha wanasema wao ndio wanaamua nani awe nani? Kama mtu anautaka urais si ilikuwa uwe wa kushindania? kuna dhambi gani mtu kuutaka uraisi kwenye mfumo sahihi damu za watu ngumu, na nyie maCCM mtakuwa mayatima sana tu kama ambavyo wengine ni yatima mtapelekeana moto na hakuna namna hii itasimama, kuna wapumbavu wanasema tusiyashitue yauane, msichojua ni kwamba hawa wanaishi kwa kuua hakuna namna wataacha kuua watu na kuuana na wakiuana tutasema tu
Think Different tweet media
Indonesia
20
48
184
12.8K
carola kinasha retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
TAARIFA KWA UMMA Sisi mawakili Maduhu William,, Nashon Nkungu na Paul Kisabo tumefungua shauri la Kikatiba ambalo ni Shauri No. 7300dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Shauri hili limefunguliwa katika mahakama kuu masijala kuu ya Dodoma. Tumefungua shauri hili kuhoji uhalali wa Jeshi la Magereza kuzuia na kuwawekea,,,vingiziti au vikwazo mawakili pale wanapotembelea Magereza kwa ajili ya mashauriano ya kisheria na wateja wao ambao ama ni wafungwa au Mahabusu. Shauri hili litatajwa kwa mara ya kwanza tarehe 14 Aprili 2026 mbele ya jopo la Majaji watatu ambao ni Mruma,, Dr. Rumisha na Dr. Longopa, JJJ's. Tutaipigania Heshima na hadhi ya uwakili usiku na mchana na bila kuchoka. Wakili Maduhu
Hilda Newton tweet media
Filipino
22
218
710
23.7K
carola kinasha retweetledi
Pope Mwita I
Pope Mwita I@EJ_Mwita·
Sio ndani tu, SOLITARY CONFINED, Inaumiza sana. Hakika ni Mungu ndiye anaemtia nguvu hata anaendelea kubaki na utimamu wake. Kwanini hawaoni kuwa huyu bwana ni mpango wa Mungu? Ukiwa confined kwa siku nne tu unaanza kupoteza kumbukumbu hata usijue tarehe wala saa. ATASHINDA.
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr

Uchaguzi umepita yupo ndani💔 Christmas imepita yupo ndani💔 Mwaka mpya umepita yupo ndani💔 Eid imepita yupo ndani💔 Possibly na Pasaka itapita yupo ndani💔

Indonesia
7
21
93
2.4K
carola kinasha retweetledi
Abdulkarim  Juma
Abdulkarim Juma@JumaAbdukarim·
Abdulkarim  Juma tweet media
ZXX
3
26
82
1.6K