charles tumaini

3.2K posts

charles tumaini banner
charles tumaini

charles tumaini

@CharlesTumag

dar es salaam Katılım Şubat 2012
544 Takip Edilen316 Takipçiler
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Mmeanza kusikia milio huko 😃😃 sasa hapo bado Uto walikuwa wanafosi game ichezwe zanzibar na waliwatumia mpaka wakubwa wao huko juu wawasaidie ila mnyama akasema kama mimi ndo mwenyeji nataka game ikachezwe kwenye uwanja wangu wa nyumbani meja jeneral isamuyo Kuanzia jumatatu kwenye vipindi vyote vya michezo ajenda kuu itakuwa ni kuwa uwanja wa meja jeneral isamuyo hauna hadhi ya kuchezewa derby hii ni agenda maaalumu iliyoandaliwa ili kuwapiga presha bodi ya ligi Viongozi wa Simba hapa wamechagua kuwasikiliza wanasimba ambao asilimia 99.99 walitaka game ichezwe meja jeneral isamuyo Na baada ya kikosi kurejea kutoka zanzibar mazoezi yetu tutakuwa tunafanyia pale pale isamuyo 😃😃
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
28
10
251
22.1K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Mdau anasema klabu ya yanga iachane kabisa na Wilson Oruma, jambo hili linaweza kupelekea kufika Fifa na kuanza kufukua makaburi. Mdau anasema ukosoaji wa matokeo katika michezo ni jambo la kawaida, anaenda mbali zaidi na kusema namna michezo ambayo klabu ya yanga inalalamikiwa ni mingi, amegusia mchezo wa yanga dhidi ya Singida baadhi ya wachezaji kuto kucheza na hata wa mbeya City nao kutokucheza. Ameenda mbali zaidi kugusia sakata lililomwondoa Patrick Osems ndani ya Singida black Star's akisisitiza huo ni mtego,🙄 Anasema jambo hili linaweza kupelekea kufichuliwa kwa mambo mengi zaidi ikiwemo la kudhamini vilabu, jambo ambalo linaweza kupelekea Fifa kuanza uchunguzi na kupelekea hatari mbaya 🙌🙌 Amemnukuu Wilson Oruma mwenyewe kuwa anaushahidi, manake amejipanga kwa lolote, na vile vile amegusia kauli ya kocha aliyefukuzwa mbeya city Mecky Maxime jambo linaloongeza utata.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
50
11
218
20.2K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Afisa Habari wa timu ya Simba Ahmed Ally amemjibu Alikamwe alichokisema kuhusu kuwafungulia kesi baadhi ya wachambuzi wa mpira anaodai walisambaza tuhuma za uongo kuhusu upangaji wa matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Mbeya City.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
17
6
39
3.6K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Kassali Leo akitoka na clean sheets anamfikia diara zinakuwa kumi na mchezo mmoja mkononi✍️
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
36
6
182
6K
Tagato James 
Tagato James @tagatojtagato·
“Nikiri tumepokea meseji na maoni ya mashabiki. Hili jambo halitapita hivi hivi, tume'identify' wachambuzi watatu, tume'file' kwenye mlengo wa kisheria. Oruma alisema alikuwa na taarifa nyingi na sisi (Yanga) tunataka hizo taarifa. Ni jambo ambalo limetukwaza sana,” 🗣️Ali Kamwe
Tagato James  tweet mediaTagato James  tweet media
Indonesia
10
5
269
14.6K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Haya ni maneno ya mchambuzi Wilson Oruma “Nina ushahidi mwingi kwenye mechi za Yanga lakini naamua kunyamanza kimya na kwa namna hii tunayoenda nayo Mamlaka zisipokua makini mpira wetu unaenda kuangamizwa moja kwa moja” 🗣️ Wilson Oruma Hivi mtu anapata wapi ujasiri wa kuongea kitu kama hicho? Je? inawezekana ni kweli Yanga wananunua mechi hawezi kuongea tu bure✍️
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
39
8
178
19.9K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Huyu ndio umfananishe na mchezaji anaetoa assist kwenye mechi ambayo timu pinzani inachezesha wachezaji ambao kocha wao hajui wametokea wapi...? Guys Guys tuwe serious bas!
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
4
2
44
1.1K
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Endelee kuwekeza kulipa waandishi na wachambuzi kwa ajili ya kutuchambua vibaya
Privaldinho tweet media
Indonesia
13
9
208
10.5K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Taarifa za ndaaani kabisa zilizonifikia muda huu zinaeleza Uongozi wa Yanga Sports Club umetoa masaa 12 kwa Wilson Uroma kuomba Msamaha mbele ya UMMA juu ya kauli inayodaiwa kuwa ni kashifa kwa Club ya Yanga. "Endapo hatoweza kuomba Msamaha ndani ya muda tajwa hatua za kisheria zitafata” Wakati huo inaelezwa mchambuzi huyo amegoma kuomba Msamaha mpaka sasa akidai hayuko tayari kuomba Msamaha kwa kosa ambalo halijui pia anaushahidi wao tosha✍️ Issu imekuwa serious sana hii🙌
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
14
6
110
15.1K
Hussein Massanza
Hussein Massanza@massanzajr·
Inasemekana zaidi ya 80% ya wachambuzi na watangazaji wa vipindi vya michezo ni Deiwaka na hawana Mikataba ya Ajira, wanalipwa posho tu, mengine wanaambiwa WAJIONGEZE! Hapo kwenye “kujiongeza” sasa hapooo ndio balaa😅😅😅
Indonesia
27
33
726
36.3K
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
NEXT NI KARIAKOO DERBY 𝙎𝙄𝙈𝘽𝘼 𝙎𝘾 🆚 𝙔𝘼𝙉𝙂𝘼 𝙎𝘾 🗓️ May 3, 2026 🏟️ Benjamin Mkapa ⏰ 17:00 PM Tofauti ya timu zote mbili ni alama 5️⃣
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
6
18
601
9.5K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
“Kwenye hili jambo nabaki kusema ukweli kwamba Singida hawana malengo yoyote kwenye ligi yetu zaidi ya kutaka kuinufaisha Yanga tu” 🗣️Wilson Oruma Wilson kavaa mabomu anachimba ukweli, lakini ameshasema Ushahidi anao hivyo mnaopinga mje na hoja za msingi.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
11
6
66
2K
Juma Ayo
Juma Ayo@JumaAyoo·
Kama Viongozi wanataka kuwapeleka wachambuzi mahakamani nadhani na sisi wachambuzi tujiandae kuwafungulia mashtaka ya Upangaji wa matokeo,Betting nk. Hakuna aliyesalama sana kwenye mpira Wetu Kama vipi funikeni kombe mwanaharamu apite. Tena sasa hivi Ndio balaa,tunajuana guys
Indonesia
72
9
100
10.5K
Wilson Oruma 🇹🇿
Wilson Oruma 🇹🇿@Mzeewajambia·
🗣️Ukiwasikiliza Yanga vizuri na huu mbanano wa ratiba unafikiri wanalalamikia ratiba Kweli? Wanalalamikia 1. Timu Yao haiwafurahishi inavyocheza 2 Timu Yao haipati Matokeo Mazuri 3. Timu Yao imeanza Kupata Presha ya Simba Sports Kwa Mujibu wa Kachero @abissay_stephen Via SHQ
Wilson Oruma 🇹🇿 tweet media
Indonesia
38
10
183
8.1K
charles tumaini
charles tumaini@CharlesTumag·
@zittokabwe Nenda ka-stand kule Teheran sio Kigoma huko halafu unatuambia you stand with Iran. Mazafaka
Eesti
0
0
0
94
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
I stand with the people of Iran against any genocidal threats by US president. The world must condemn and take action intended war crimes by the US and Israel against another sovereign state of Iran
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet media
English
278
110
656
62.1K
Bin Kazumari
Bin Kazumari@jemedarisaid·
Simba SC walinyimwa PENATİ HALALI hapa hakuna ubishi, hakuna namna AHMED ARAGIJA atakwepa rungu la Kamati ya masaa 72 kama wenzie
Indonesia
54
24
297
16.5K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Kwa mujibu wa shirika la afya Duniani (WHO)Nyama ya nguruwe isiyoiva vizuri inaweza kuwa na minyoo aina ya Taenia solium, ambayo ni hatari sana kwa afya ya binadamu. Minyoo hiyo inapoingia kwenye utumbo wa mtu, inaweza kusambaa sehemu nyingine za mwili kama misuli, macho, au ubongo. Hii inaweza kusababisha matatizo makubwa kama ukungu wa misuli, kupoteza uwezo wa kuona vizuri, kifafa, kuchanganyikiwa, au hata kichwa kujaa maji, hali inayojulikana kama hydrocephalus. Madhara hayo hutokea pale ambapo mayai ya minyoo yanapoingia mwilini na kuanza kuendeleza minyoo ndogo. Watu wanaweza kupata maambukizi haya kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijapikwa vizuri. Kwa hivyo, hata kama nyama inaonekana safi na yenye ladha nzuri, bado ina hatari ya kuwa na viumbe hawa hatari. Ili kujikinga dhidi ya maambukizi haya, ni muhimu kuhakikisha nyama ya nguruwe inapikwa vizuri kabla ya kula. Kupika kwa moto wa kutosha huua minyoo na mayai yake, na hivyo kulinda afya yako na ya familia. Pia, usafi wa jikoni na kununua nyama kutoka vyanzo vinavyotambulika husaidia kupunguza hatari hii kwa kiasi kikubwa. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
52
8
103
14K
charles tumaini
charles tumaini@CharlesTumag·
@Sisimizi3 Kanisa Katoliki halihitaji watu wengi, linahitaji warming haswa hata wawe wawili
Indonesia
0
0
1
65
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Kwa utafiti wangu niliufanya tangu 2026 imeanza nimebaini Kanisa Katoliki litapoteza waumini wengi kwa miaka 10 ijayo na sababu ni hizi. ✍️ Hawatoi huduma za uponyaji na miujiza ✍️Wanajichanganya sana na siasa ✍️ Kupunguza viwango vyao vya ufaulu. ✍️ Kuongezeka kwa Manabii
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
203
10
101
29.6K