C H E P E

40.5K posts

C H E P E banner
C H E P E

C H E P E

@Chepezi

Mtume ﷺ Alikuwa akisema: Walio bora miongoni mwenu ni wale wenye maadili na tabia njema.

Duniani Katılım Ocak 2016
1.2K Takip Edilen18.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Sababu kubwa ya mtu kutapeliwa ni kutaka mafanikio makubwa ya haraka kwa jitihada ndogo na hafifu.
Indonesia
85
135
729
0
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Chapati kwenda mbele.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 HT
0
0
0
26
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Ugali matumbo.
Filipino
0
0
1
25
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
@Chepezi Hata asipomtaja Allah ...bora asitaje jina la yesu au yehova basi 🫴ila akichinja kwa jina la Allah ndio bora zaidi
Indonesia
2
0
1
92
msngi.
msngi.@abusumayyah_o·
msngi. tweet media
ZXX
7
4
12
1.1K
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
@ramadhan_shamte Dini ya Haqqy mbele ya Allah Ta'ala ni Uislamu. Waliokufa kabla watapewa mtihani wao ambapo miongoni mwao walafaulu na wengine watafeli.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
0
0
0
47
Ramadhan Shamte
Ramadhan Shamte@ramadhan_shamte·
Kama Misikiti au Makanisa ndio njia ya kuiona pepo. Kwahiyo wale mababu zetu waliokufa kabla ya ujio wa hizi Dini wanaenda motoni?
Indonesia
1
0
1
62
Bin Kombo
Bin Kombo@BinKombo3·
@abusumayyah_o Duhuu, ikiwa Ahlukitab yaani kafiri huyu nyama yake akichinja inafaa kula, jee muislam iweje isifae kwa vile hasali? Masharti ya anaeishi kuchinja limo asiesali? Yaani nyinyi kuharamisha na kuhalalisha kinyume na Allah swt Masalafi mnalaana za Allah swt Lol
Indonesia
2
0
0
120
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
@iam_rajabu Huu ni ukumbusho kwa baadhi ya misikiti kuteua Imamu (mswalishaji) mwenye umri mdogo huku wakubwa zaidi wapo (baadhi ya wakubwa hao ni maalimu wa kijana huyo na wajuzi wa kitabuLLAH na Sunnah).
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
1
0
2
71
rajab
rajab@iam_rajabu·
Sahihi Bukhari:628 Amepokea Malik bin Huwairith(Allah amridhie) Nilimjia Mtume (ﷺ) pamoja na baadhi ya watu kutoka kabila langu, na tukakaa naye kwa siku ishirini. Alikuwa mwema na mwenye huruma kwetu. Alipotambua kwamba tulikuwa tunawatamani familia zetu, alituambia: “Rudini mkakae na familia zenu, wafundisheni dini, na msimamishe Swala. Wakati wa Swala unapowadia, mmoja wenu atoe Adhana, na mkubwa wenu kwa umri awaongoze katika Swala.”
Indonesia
1
5
12
167
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Nikatafute chai.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 हिन्दी
0
0
0
21
JM News Network
JM News Network@JMNewsNetwork_·
A black Christian preacher claims that Muslims believe black people cannot go to heaven. Thoughts?
English
228
15
57
12.1K
🇪🇦 mzenji the big brain 🧠
Nipo Riyadh, Saudi Arabia 🇸🇦 siku ya tatu Leo , Sasa ndio nimejua Kwa nini mtume Muhammad ﷺ, alitumwa Kwa waarabu 🤔
Català
19
22
368
28.3K
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
@Kariakoo_ Sema kwa kifupi tu kuwa ni bora uoe kafiri mwenzio.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
0
0
0
21
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Tanzania imegundua madini muhimu ya Rare Earth Elements katika kijiji cha Mkiu wilayani Ludewa mkoani Njombe. Madini hayo yanajumuisha Neodymium na Praseodymium ambayo hutumika kutengeneza magari ya umeme, simu za kisasa, mitambo ya upepo pamoja na teknolojia za nishati safi. Ugunduzi huo umefanywa kupitia utafiti unaoendelea kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na kampuni ya China ya Hongji Mining Co. Ltd. Maafisa wa madini wanasema ugunduzi huo unaweza kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi muhimu Afrika katika sekta ya madini muhimu duniani. Hivi sasa nchi kama Afrika Kusini, Madagascar, Burundi na Malawi zinaongoza katika madini hayo, lakini Tanzania inaweza kuingia kwenye ushindani huo ikiwa uchimbaji mkubwa wa kibiashara utaanza. Tanzania huenda ikawa inakaribia kuwa moja ya nchi muhimu barani Afrika katika sekta ya madini adimu baada ya kugunduliwa kwa madini ya Rare Earth Elements katika nyanda za juu kusini mwa nchi. Madini yaliyogunduliwa hivi karibuni, hasa Neodymium (Nd) na Praseodymium (Pr), ni miongoni mwa madini muhimu na yenye thamani kubwa duniani kutokana na matumizi yake kuongezeka katika teknolojia za kisasa kama magari ya umeme, mitambo ya upepo wa kuzalisha umeme, simu janja, vifaa vya kielektroniki pamoja na mifumo ya nishati jadidifu. Maafisa wanasema ugunduzi huo unaweza kuiweka Tanzania miongoni mwa nchi zinazochipukia katika uzalishaji wa madini muhimu Afrika Mashariki, wakati dunia ikiendelea kuharakisha matumizi ya nishati safi na teknolojia za kisasa. Akizungumza na waandishi wa habari Mei 20, 2026, Afisa Mkazi wa Madini Mkoa wa Njombe, Mhandisi Lucas Mlekwa, alisema ugunduzi huo umefanyika kupitia shughuli zinazoendelea za utafiti wa madini katika eneo hilo. Alisema utafiti huo unafanywa kwa ushirikiano kati ya Serikali na kampuni ya Hongji Mining Co. Ltd kwa lengo la kubaini ukubwa wa madini hayo pamoja na uwezo wake wa kibiashara kabla ya kuanza uwekezaji mkubwa wa uchimbaji. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
28
25
241
17.5K
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Unakula mchana unashiba mpaka usiku.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
0
0
0
28
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Unanunua nyama kwenye bucha haina hata nzi.😂
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Filipino
0
0
5
167
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Unatafuta hela ili uzitumie ukosea tena.
Nairobi, Kenya 🇰🇪
0
0
0
37
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Maisha na hesabu haviachani.
Nairobi, Kenya 🇰🇪
0
0
0
13
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
Ban religion in Africa
English
44
31
114
7.8K
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Upande wa chakula ni shida.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
0
0
0
33
C H E P E
C H E P E@Chepezi·
Tope ni jingi sana.
Nairobi, Kenya 🇰🇪 Indonesia
0
0
0
23