Fadlu Davids alionesha ukomavu mkubwa sana leo kwa kufanya maamuzi sahihi katika mechi ya leo.
Ukiachana na Kibu D na refa, huyu jamaa pia alikuwa na sifa za kuwa man of the match.
Hizi ni baadhi ya sababu zinazomfanya kuwa na sifa za "Man Of The Match"! ⚽️👇
🧵 Thread: