Christian Council of Tanzania

155 posts

Christian Council of Tanzania banner
Christian Council of Tanzania

Christian Council of Tanzania

@ChristianCounc7

Christian Council of Tanzania (CCT) is an umbrella organization bringing together protestant denominations and church related organizations.

PO BOX 1454 DODOMA Katılım Mart 2020
48 Takip Edilen62 Takipçiler
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
Mradi wa USAID Tuwajibike umefika Pwani, mojawapo ya mikoa 11 inayotekelezwa, na kuzungumza na viongozi wa mtaa na wananchi wa Kijiji cha Bungu. Mradi huu unalenga kuunga mkono jitihada za Serikali katika uwajibikaji, uwazi, na ushiriki wa jamii kusimamia rasilimali za umma.
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
0
17
Christian Council of Tanzania retweetledi
FECCLAHA
FECCLAHA@FECCLAHA·
Advancing regional integration as a Conflict Prevention Mechanism
FECCLAHA tweet media
English
0
1
5
157
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
"📢 Malezi bora, kizazi bora! Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala, amewataka wazazi na walezi kuzingatia jukumu la malezi, akisema wengi wamezidiwa na majukumu ya kazi na kusahau wajibu huu muhimu. Kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, #16DaysOfActivism #TokomezaUkatili
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
0
18
Christian Council of Tanzania retweetledi
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala amewataka wazazi na walezi kuacha kujisahau juu ya malezi kwa kuwa malezi bora hujenga kizazi bora Akizungumza katika maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia mkoani Morogoro amesema kuwa asilimia kubwa ya wazazi wengi 'wametekwa' na kazi na kusahau kama malezi ni jukumu la wazazi wote Kwa upande wake Askofu wa jimbo la Morogoro Jacob Mameo, Mwenyekiti wa CCT mkoa wa Morogoro amesema kama jumuiya ya kikristo wameendelea kutoa elimu kwa watu wote kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ili kuhakikisha tabia ya ukatili kwa watoto na wasichana inakuwa na ukomo
Indonesia
1
2
8
2.2K
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
Together, we can end Gender-Based Violence. 🌍✨ During these 16 Days of Activism, we’re raising our voices in schools and communities to create a safer, more inclusive world for everyone. Let’s break the silence and build a future free from violence. #EndGBV #16DaysOfActivism
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
English
0
0
1
22
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
Mwenyekiti wa CCT, Baba Askofu Dkt. Fredrick Shoo, ameongoza Ibada ya Uwekaji Jiwe la Msingi la Jengo la Kitega Uchumi (CCT Commercial Complex) Dodoma. Jengo hilo litaleta mchango mkubwa katika kuongeza mapato ya CCT na kusaidia shughuli za Uinjilisti na Elimu ya Kikristo.
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
0
52
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
CCT imetembelea ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe kutambulisha Mradi wa USAID Tuwajibike. Mradi huu utatekelezwa na TEC katika halmashauri za Njombe & Ludewa, ukilenga uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa jamii katika matumizi ya rasilimali za umma. #UwaziNaUwajibikaji
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
2
31
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
Kurugenzi kutoka Idara mbalimbali katika Jumuiya ya Kikristo Tanzania zimewasilisha mipango ya mwaka 2025 na kuainisha namna ya utekelezaji wa miradi mbalimbali kwa kila idara. Mpango Mkakati 2024-2028. #uwajibikaji_na_utendaji_makini
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
1
1
1
41
Christian Council of Tanzania
Christian Council of Tanzania@ChristianCounc7·
Leo CCT tumetembelewa na kupata neno la Mungu (Ibada ya asubuhi) kutoka kwa Captain James Ndera wa Kanisa la Jeshi la Wokovu Jijini Dodoma. Katika ibada hiyo aliambatana na watumishi wa kanisa hilo akiwemo Capt: Prista Ndera USIOGOPE KUANZA UPYA UNAPOKUTANA NA MAGUMU
Christian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet mediaChristian Council of Tanzania tweet media
Indonesia
0
0
0
73