Peter Cossmas retweetledi

#BreakingNews; Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu imepiga marufuku wakurugenzi kusimamia chaguzi,yaagiza serikali kufanya marekebisho ya sheria ya uchaguzi na kupeleka ripoti ya utekelezaji wa marekebisho hayo ndani ya miezi12. Kesi hii ilifunguliwa na mwanasheria Bob Wangwe kupinga wakurugenzi wa mamlaka za serikali za mtaa kusimamia uchaguzi.Itakumbwa kuwa hii ni mara ya pili kwa wakurugenzi wa Halmashauri kupigwa marufuku kusimamia uchaguzi mbali na uamuzi wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania iliyoamua kuwa waendelee kusimamia chaguzi kwa sababu wanakula viapo vya kukana uanachama wao wa vyama vya siasa kabla ya kusimamia chaguzi

Indonesia







