
@jumanhoTambwe Tambwe unakumbuka tulifanya kikao cha pamoja pale dodoma na wale wenye malalamiko ya mwaka 1996, tulikua na mheshimiwa Mbunge wa msalala. Kama hukuwepo naamini wale wazee walioteuliwa kuwakilisha walikupa mrejesho na kama bado naamini mimi au Mhe. Mbunge tunaweza kukupa mrejesho
Filipino








