Da huu

259 posts

Da huu

Da huu

@Da_huu09

Katılım Kasım 2024
44 Takip Edilen30 Takipçiler
Da huu retweetledi
Koba Ally
Koba Ally@allykoba0·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga light pistol kuashiria uzinduzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa yaliyopo Kikombo mkoani Dodoma.
Indonesia
0
10
0
53
Da huu retweetledi
Koba Ally
Koba Ally@allykoba0·
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulenga, ametangaza zawadi ya shilingi milioni 10 kwa wanafunzi wa uhandisi vyuo vikuu watakaobuni na kuwasilisha maandiko ya kibunifu yatakayotoa suluhisho la changamoto zinazoikabili Wizara ya Ujenzi — ikiwemo tatizo sugu la foleni katika Jiji la Dar.
Koba Ally tweet media
Indonesia
0
9
0
37
Da huu
Da huu@Da_huu09·
KAZI IMEANZA Kuendelea kujenga na kukarabati vituo vya kutolea huduma za afya
Da huu tweet media
0
0
0
3
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@John_Pambalu Ndani ya siku 100 , Serikali itaanzisha mfumo wa kidigitali na SMS za bure ku hakikisha viongozi wanawajibika moja kwa moja kwa wananchi #Siku100zaSamia
Da huu tweet media
Indonesia
0
0
0
4
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Happening Right now in south Africa
English
26
252
1.3K
25.1K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@Jambotv_ KAZI SASA IMEANZA! Ndani ya siku 100, serikali imeahidi kuanza mkakati madhubuti kuhakikisha kila mtoto wa darasa la tatu anaweza kusoma, kuhesabu na kuandika bila shida. Ili kufanikisha hili, serikali itaajiri walimu 7,000 wa masomo ya hisabati na sayansi. #Siku100zaSamia
Indonesia
0
0
0
43
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Sheikh Said Mwaipopo ameshindwa kujizuia na kutokwa machozi wakati akieleza wema aliowahi kufanyiwa na Sheikh Hussein Msopa(Sheikh Sharifu Majini) akimtaja kama miongoni mwa watu waliokuwa wakimthamini na kumsaidia kwenye matatizo. Kwa mujibu wa Sheikh Mwaipopo amesema Sheikh Sharifu Majini aliwasiliana nae siku ya tarehe 29, 2025 akimsihi akae ndani asije kudhurika. Hata hivyo masaa mawili baadae alipigiwa simu akiambiwa kuwa rafiki yake alipigwa risasi. Katika kumbukumbu za urafiki wao ameeleza wakati mmoja alikamatwa nchini Kenya na miongoni mwa waliomsaidia ni Sheikh Sharifu Majini. Sheikh Sharifu Majini amefariki tarehe 03, Novemba 2025 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa na kitu kilichoelezwa kuwa risasi Oktoba 29, 2025 akiwa nyumbani kwake Mabibo Mwisho, Ubungo Dar es Salaam. Aidha amezikwa leo Novemba 05, 2025 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Indonesia
82
10
149
20.7K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@bbcswahili Pole pole atuachie maigizo kutengeneza taharuki ni kawaida yake muache ajiteke mwenyewe ila sisi wengine tunasubiri Taarifa kutoka vyombo vya Dola.
Indonesia
0
0
0
239
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@privaldinho Maria Sarungi sasa achunguzwa na KCB Bank baada Tsh Bilion 2 kuingizwa kwenye akaunti yake.
Da huu tweet media
Indonesia
0
0
0
3
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Balaaaaaaa
Privaldinho tweet media
Filipino
13
14
763
11.5K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa vijana nchini kujiandaa kutumia kikamilifu fursa mbalimbali zinazotolewa na zitakazoibuliwa na Serikali yake, iwapo atapewa fursa ya kuiongoza nchi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Akihutubia mamia ya vijana waliojitokeza kumsikiliza kwenye mkutano wa Kampeni za CCM leo, Jumatano Septemba 10, 2025, katika Viwanja vya Misigiri, Wilayani Iramba mkoani Singida, Dkt. Samia amesema baadhi ya miradi itakayotoa ajira wakati wa uongozi wake ni pamoja na mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, mkoani Tanga unaopita Singida, pamoja na utafiti wa mafuta na gesi unaoendelea katika kitalu cha Eyasi-Wembere. "Niwaombe vijana, fursa za namna hii zichangamkieni. Vinginevyo, mkiziacha, vijana kutoka mikoa jirani watakuja kuzichukua na ninyi mtasalia mtazama," - Dkt. Samia. Aidha, Dkt. Samia ameahidi kujenga miundombinu ya umwagiliaji katika Kijiji cha Ishishi, kata ya Msingi, Iramba Mashariki kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 34, akibainisha kuwa matamanio yake ni kuona wakulima wananufaika kwa kulima zaidi ya mara moja kwa msimu bila kutegemea mvua pekee. Vilevile, ameahidi kuufungua Mji wa Kiomboi kwa kuimarisha mawasiliano kati ya Wilaya za Iramba na Mkalama kupitia ujenzi wa barabara za kiwango cha lami ikiwemo Kitukutu-Msingi-Bumanga-Mkalama na Kiomboi-Kidaru-Tulya, sambamba na ujenzi wa barabara za ndani ya Mji zitakazotekelezwa chini ya TARURA. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
149
18
392
57.3K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama tawala, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa Serikali ijayo itaimarisha mfumo wa mawasiliano kati ya Wananchi na viongozi ili kuhakikisha kero na mahitaji ya msingi ya Wananchi yanashughulikiwa kwa haraka na kwa ufanisi. Akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana Septemba 9, Mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, Dkt. Nchimbi amesema kuwa imebainika kuwa wananchi wengi wana matatizo na changamoto za msingi, lakini mara nyingi hawapati majibu ya haraka kutoka kwa viongozi au mamlaka husika. "Tumegundua kuwa sehemu kubwa ya changamoto zinazowakabili wananchi zinasababishwa na udhaifu katika mfumo wa mawasiliano kati ya wananchi na serikali yao, tunakwenda kulibadilisha hilo kwa kuhakikisha kila kero inasikilizwa na kushughulikiwa kwa wakati," alisema Dkt. Nchimbi. Dkt. Nchimbi ameongeza kuwa serikali yao itaweka mifumo madhubuti ya uwajibikaji ili viongozi walioko kwenye ngazi mbalimbali wawe karibu zaidi na wananchi na wawajibike moja kwa moja kwa changamoto zinazowakabili watu waliowachagua. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
54
9
186
22.3K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Tumepata Taarifa kuwa Vijana wetu waliokuwa njiani kwenda kuwasalimia wazazi wa Deusdedit Soka wamezuiwa Gari ya public transportat waliopanda pamoja na Abiria Wengine eneo la Kibosho Road..... Gari no 3756-PT , ilizuia na pia gari nyingine zimeanza kuongezeka kwenye eneo la tukio, vijana wetu hawako salama! Hii ni taarifa kutoka Kilimanjaro.
Indonesia
48
229
1.2K
74.4K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@HecheJohn Chadema washangaa baada ya Baraza la Maaskofu kuombea uchaguzi uwe wa amani.
Indonesia
0
0
0
30
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Impunity! Vyombo vya dola vipo, wanaona watu wanabebwa kwenye malori, sheria zetu haziruhusu. IGP yupo, mkuu wa usalama barabarani yupo. Watu wanatumia kwasababu ccm wako juu ya sheria. Aibu kubwa kwa ccm na vyombo vya dola, Nchi yetu inahitaji ukombozi wa haraka. Watu wetu wanateseka kwasababu ya umasikini, umasikini wa kipato na uelewa kwa pamoja. #NoReformsNoElection
Indonesia
113
278
978
26.4K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea na kampeni zake Mkoani Songwe kuelekea uchaguzi mkuu utakofanyika 29 October 2025
0
0
0
8
millardayo
millardayo@millardayo·
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dr. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali yake imeweka utaratibu maalumu wa kulipa madeni kwa wakati kwa kutenga dola milioni 15 kila mwezi kwa ajili ya kulipa Deni la Zanzibar. Akizungumza Ikulu Zanzibar leo Septemba 3 katika Mkutano na Waandishi wa Habari pamoja na Wahariri, Dkt. Mwinyi amesema awali walikuwa wakitenga dola milioni 10 kwa mwezi lakini kutokana na uhitaji wameongeza hadi kufikia milioni 15. “Leo tunavyozungumza kila mwezi Wizara ya Fedha huweka dola milioni 15 katika akaunti ya kulipa madeni, hata tukipata mapato ya milioni 150 au 180 kwa mwaka bado tunaweza kutekeleza miradi mikubwa kwa sababu mikopo inalipwa kwa muda mrefu, miaka mitano au saba” - Dr. Mwinyi. Rais Mwinyi amefafanua kuwa Zanzibar sasa inajivunia kuwa na akaunti maalumu ya usimamizi wa madeni (Debt Management Account), jambo linaloongeza imani kwa Taasisi za kifedha kuikopesha Serikali hiyo “sikopi tu, nakopa nikijua nitalipa vipi. dhamira yangu ni kuhakikisha ninaondoka madarakani bila kuacha senti moja hatarini" Dr. Mwinyi. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
12
14
396
21.6K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Moyoni mwako unajua kabisa kuwa hakuna uchaguzi wa kweli, na mnachofanya ni maigizo yanayoendelea kuumiza taifa. Hii haipaswi hata kidogo kuwa kiwango chako cha kufikiri, kwa sababu hakuna thamani inayoweza kushinda usalama wa wajukuu wa nchi hii kesho. Huu ni ukatili dhidi ya nafsi yako mwenyewe, kwa sababu kwa kufanya hivi unashiriki moja kwa moja katika maumivu na mateso ya taifa. Swali la kujiuliza, unatarajia kulipwa nini kwa kushiriki uhuni wa kiwango hiki? Kwa umri wako, hata maisha yako ya kila siku ni ya masharti, kula lazima ni kwa uangalizi, matango na viazi vitamu , utashindwa kununua kweli pamoja na kunywa maji mengi na kulala mapema ? Kwani kuku umeacha kufuga ? Kwanini unatakatisha dhambi za mfumo unaoumiza wananchi ? Kwa faida gani ? Acha hila na simama upande wa kweli, maana historia haitawasamehe wasaliti wa taifa.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
95
176
1.2K
47.5K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
DODOMA MJINI IMEPOKEA SIMU YA RAIS SAMIA
Indonesia
0
0
0
10
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@millardayo Wananchi wa Dumila Kampala kura za ndio Rais Samia.
Filipino
0
0
0
16
millardayo
millardayo@millardayo·
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema miongoni mwa mipango kazi ya miaka mitano ijayo, endapo chama hicho kitapewa tena ridhaa ya kushika dola ni pamoja na ongezeko la ajira mpya serikalini, ikiwa ni pamoja na ajira za Walimu wa somo la Hisabati na Sayansi 7000. Dkt. Nchimbi ameyasema hayo leo Agosti 30, 2025,wakati akisalimiana na wakazi wa Kisesa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, akielekea viwanja vya Mwanankanda vilivyopo wilayani humo,kwa ajili ya kuzungumza na wananchi wa maeneo hayo katika mkutano wa kampeni wa kukiombea chama hicho kura. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
250
39
832
77.9K
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@ikulumawasliano Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Mgombea Urais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan 💚✅ WanaCCM na Watanzania waliojitokeza Tanganyika Peakers - Kawe Dar es salaam wameonesha wazi kuwa wanaimani kubwa na Mama Samia #samiaapp #tikinitatu
Indonesia
0
0
0
79
Da huu
Da huu@Da_huu09·
@HecheJohn Maoni ya Godbless Lema juu ya mwenendo wa siasa wa vyama vya upinzani na mustakabali wa kuiongoza Nchi. Aipa dhamana Ccm kuendelea kushika Dola.
Indonesia
0
0
0
5