Sabitlenmiş Tweet
E T H A N🦅🦅
118.5K posts

E T H A N🦅🦅
@DaimonJr9
I LOVE FOOTBALL ⚽ . I LOVE MUSIC 🎶 . I HATE POLITICS 🙌🙌🙌. KWENYE SIMULIZI YA MAFANIKIO YAKO KUNA KURASA ITASOMWA BILA SAUTI 🍁 🍁
Matema Beach Katılım Nisan 2022
2.5K Takip Edilen4.3K Takipçiler
E T H A N🦅🦅 retweetledi



Kanisa la Anglikana Duniani limempata Askofu Mkuu Mwanamke kwa mara ya kwanza baada ya Dame Sarah Mullally, kuapishwa rasmi kushika wadhifa huo wa juu unaoongoza Waumini takribani milioni 85.
Hafla ya kuapishwa imefanyika ikiwa ni hatua rasmi ya kuanza kwa Uongozi wake, licha ya kuwa tayari alianza majukumu hayo tangu Januari mwaka huu.
Uteuzi huo wa kihistoria unamfanya Mullally kuwa Mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo tangu kuanzishwa kwa Kanisa la Anglikana, jambo linaloashiria mabadiliko makubwa katika Uongozi wa kidini.
Tukio hilo limehudhuriwa na Watu wapatao 2,000, wakiwemo Viongozi waandamizi wa Uingereza kama Waziri Mkuu na Mwanamfalme wa Wales, likionesha umuhimu wa nafasi hiyo kitaifa na kimataifa.
Katika hotuba yake ya kwanza, Mullally amesisitiza matumaini na mshikamano, akihimiza jamii kukabiliana na changamoto za dunia yenye migogoro, huku akichukua nafasi hiyo kufuatia kujiuzulu kwa mtangulizi wake, Justin Welby, mwaka 2024 baada ya kukosolewa kuhusu usimamizi wa kesi za unyanyasaji ndani ya kanisa.
#MilardAyoUPDATES

Indonesia

Okay ntamtuma mwanamke akuletee, me kidume
Tunduma sehemu gani
Namba ya ofisi 0685292370
Barozi katenjere@ponjoro23
@Cowwbama Wewe ni wakike au wa kiume ? Kama ni she basi njoo dm chapu tumalize biashara Me nipo Tunduma
Indonesia
E T H A N🦅🦅 retweetledi

Hii ni kwa account unazo zifollow tu kiongozi 😇
Trixie Cleaning Solution 🫧 🧼@MsFrancic
Mnawezaje kukaa kimara wakuu😂😂🙌
Indonesia



















