CHASO-KIUT, are expecting to conduct a charity event at DORCAS HOME CARE-MADALE on February 15, 2026
Kindly show love and contribute needs including; Food, Clothes & Shoes, Money.
Let’s share love this VALENTINE’S❤️ to children in need.
Contact; 0616807294 - CONSOLATA KYALUZI
Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. @TunduALissu imepangwa kuendelea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam tarehe 09 Februari 2026.
Zimebaki siku tano tu— tujitokeze kwa wingi kupata darasa la sheria kutoka kwa Mhe. Lissu.
#FreeLissu
Mjumbe wa Kamati Kuu Mhe. @godbless_lema na Mwenyekiti wa Kanda ya Unguja Mhe. Hashim Juma wakiwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. @TunduALissu ambapo leo itaanza kusikilozwa.
Tunasikitika kuwa taarifu baada ya mawasiliano na familia ya m/kiti Martine Samson tumepokea taarifa kuwa m/kiti anatafutwa na watu wa usalama hii ni baada ya kuelezea masuala nyeti yahusuyo taasisi ya TAHLISO inavyotumika vibaya na serikali. Hatopatikana ili kulinda usalama wake