Mlay Daud
206 posts

Mlay Daud
@DaudMlay76701
spy master
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2024
192 Takip Edilen8 Takipçiler

@EduTalkTz Ikifanyika mara kwa mara bila chanzo kipya cha dola (mauzo ya nje, utalii, uwekezaji), si suluhisho la kudumu, Kwa kifupi
👉 Kuingiza fedha kwenye forex ni kama “kupoza moto”:
Husaidia kudhibiti hali ya haraka, lakini suluhisho la muda mrefu ni:
👉Kuongeza mauzo ya nje.
Indonesia

THE 16 MOST HATED PEOPLE ALIVE - GLOBALLY
1. 🇷🇺 Vladimir Putin
2. 🇰🇵 Kim Jong-un
3. 🇸🇾 Bashar al-Assad
4. 🇮🇱 Benjamin Netanyahu
5. 🇺🇸 Donald Trump
6. 🇨🇳 🇵🇭 Rodrigo Duterte
7. 🇺🇸 Ali Khamenei
8. 🇸🇦 Mohammed bin Salman
9. 🇧🇷 Jair Bolsonaro
10. 🇺🇸 Kanye West (Ye)
11. 🇬🇧 Andrew Tate
12. 🇮🇳 Narendra Modi
13. 🇻🇪 Nicolás Maduro
14. 🇷🇺 Vladimir Solovyov
15. 🇺🇸 Sam Bankman-Fried
16. 🇳🇬 Bola Ahmed Tinubu
Based on public criticism, scandals, polarizing influence, and widespread negative perception

English

TOP 50 MOST HATED PEOPLE IN HISTORY
1. Adolf Hitler 🇩🇪
2. Joseph Stalin 🇷🇺
3. Pol Pot 🇰🇭
4. Leopold II of Belgium 🇧🇪
5. Mao Zedong 🇨🇳
6. Osama bin Laden 🇸🇦
7. Idi Amin 🇺🇬
8. Benito Mussolini 🇮🇹
9. Genghis Khan 🇲🇳
10. Saddam Hussein 🇮🇶
11. Heinrich Himmler 🇩🇪
12. Kim Jong-il 🇰🇵
13. Kim Jong-un 🇰🇵
14. Mengistu Haile Mariam 🇪🇹
15. Slobodan Milošević 🇷🇸
16. Francisco Franco 🇪🇸
17. Bashar al-Assad 🇸🇾
18. Joseph Kony 🇺🇬
19. Vlad the Impaler 🇷🇴
20. Charles Manson 🇺🇸
21. Jeffrey Dahmer 🇺🇸
22. Ted Bundy 🇺🇸
23. Hirohito 🇯🇵
24. Maximilien Robespierre 🇫🇷
25. Nero 🇮🇹
26. Caligula 🇮🇹
27. Attila the Hun 🇭🇺
28. Ratko Mladić 🇷🇸
29. Reinhard Heydrich 🇩🇪
30. Hideki Tojo 🇯🇵
31. Augusto Pinochet 🇨🇱
32. Robert Mugabe 🇿🇼
33. Pablo Escobar 🇨🇴
34. Joaquín “El Chapo” Guzmán 🇲🇽
35. Christopher Columbus 🇮🇹
36. Hernán Cortés 🇪🇸
37. Joseph Goebbels 🇩🇪
38. Fidel Castro 🇨🇺
39. Muammar Gaddafi 🇱🇾
40. Enver Hoxha 🇦🇱
41. Abu Musab al-Zarqawi 🇯🇴
42. Abu Bakr al-Baghdadi 🇮🇶
43. Rasputin 🇷🇺
44. Jack the Ripper 🇬🇧
45. Lavrentiy Beria 🇷🇺
46. Mobutu Sese Seko 🇨🇩
47. King John of England 🇬🇧
48. Henry VIII 🇬🇧
49. Reinhard Gehlen 🇩🇪
50. Edward “Blackbeard” Teach 🏴☠️
Source: Bana Media
English

THE 15 MOST HATED AFRICAN LEADERS BY THEIR OWN CITIZENS (AS OF DECEMBER 2025)
1. Paul Biya - 🇨🇲 Cameroon
2. Teodoro Obiang Nguema Mbasogo - 🇬🇶 Equatorial Guinea
3. Isaias Afwerki - 🇪🇷 Eritrea
4. Yoweri Museveni - 🇺🇬 Uganda
5. Abdel Fattah el-Sisi - 🇪🇬 Egypt
6. Cyril Ramaphosa - 🇿🇦 South Africa
7. William Ruto - 🇰🇪 Kenya
8. Denis Sassou Nguesso - 🇨🇬 Republic of the Congo
9. Bola Tinubu - 🇳🇬 Nigeria
10. Faustin-Archange Touadéra - 🇨🇫 Central African Republic
11. Emmerson Mnangagwa - 🇿🇼 Zimbabwe
12. Ali Bongo Ondimba - 🇬🇦 Gabon
13. Mahamat Déby - 🇹🇩 Chad
14. Abiy Ahmed - 🇪🇹 Ethiopia
15. Mohamed Bazoum - 🇳🇪 Niger
Note :The list complied from
- Afrobarometer
- Morning Consult Global Leader Approval Tracker

English

TOP 50 COUNTRIES WITH THE WORST GOVERNMENTS 🏛️💥
1. 🇸🇴 Somalia
2. 🇸🇸 South Sudan
3. 🇸🇩 Sudan
4. 🇨🇫 Central African Republic
5. 🇾🇪 Yemen
6. 🇸🇾 Syria
7. 🇨🇩 DR Congo
8. 🇦🇫 Afghanistan
9. 🇭🇹 Haiti
10. 🇹🇩 Chad
11. 🇲🇲 Myanmar
12. 🇪🇹 Ethiopia
13. 🇧🇫 Burkina Faso
14. 🇲🇱 Mali
15. 🇳🇬 Nigeria
16. 🇨🇲 Cameroon
17. 🇳🇪 Niger
18. 🇲🇿 Mozambique
19. 🇱🇾 Libya
20. 🇮🇶 Iraq
21. 🇧🇮 Burundi
22. 🇬🇳 Guinea
23. 🇪🇷 Eritrea
24. 🇿🇼 Zimbabwe
25. 🇺🇬 Uganda
26. 🇵🇰 Pakistan
27. 🇨🇬 Congo (Brazzaville)
28. 🇻🇪 Venezuela
29. 🇮🇷 Iran
30. 🇱🇧 Lebanon
31. 🇬🇼 Guinea-Bissau
32. 🇦🇴 Angola
33. 🇲🇷 Mauritania
34. 🇧🇩 Bangladesh
35. 🇲🇬 Madagascar
36. 🇰🇪 Kenya
37. 🇰🇲 Comoros
38. 🇭🇳 Honduras
39. 🇪🇬 Egypt
40. 🇷🇺 Russia
41. 🇹🇬 Togo
42. 🇷🇼 Rwanda
43. 🇧🇴 Bolivia
44. 🇳🇮 Nicaragua
45. 🇪🇨 Ecuador
46. 🇹🇲 Turkmenistan
47. 🇱🇰 Sri Lanka
48. 🇺🇿 Uzbekistan
49. 🇹🇯 Tajikistan
50. 🇳🇵 Nepal
Source : Fragile States Index

English

TOP 50 MOST POWERFUL MILITARIES IN THE WORLD (2025) 💣🛡️+ POWER INDEX
1. United States 🇺🇸 – 0.0744
2. Russia 🇷🇺 – 0.0788
3. China 🇨🇳 – 0.0788
4. India 🇮🇳 – 0.1184
5. South Korea 🇰🇷 – 0.1656
6. United Kingdom 🇬🇧 – 0.1785
7. France 🇫🇷 – 0.1878
8. Japan 🇯🇵 – 0.1839
9. Turkiye 🇹🇷 – 0.1902
10. Italy 🇮🇹 – 0.2164
11. Brazil 🇧🇷 – 0.2415
12. Pakistan 🇵🇰 – 0.2513
13. Indonesia 🇮🇩 – 0.2557
14. Germany 🇩🇪 – 0.2601
15. Israel 🇮🇱 – 0.2661
16. Iran 🇮🇷 – 0.3048
17. Spain 🇪🇸 – 0.3242
18. Australia 🇦🇺 – 0.3298
19. Egypt 🇪🇬 – 0.3427
20. Ukraine 🇺🇦 – 0.3755
21. Poland 🇵🇱 – 0.3776
22. Taiwan 🇹🇼 – 0.3988
23. Vietnam 🇻🇳 – 0.4024
24. Saudi Arabia 🇸🇦 – 0.4201
25. Thailand 🇹🇭 – 0.4536
26. Algeria 🇩🇿 – 0.3589
27. Sweden 🇸🇪 – 0.4835
28. Canada 🇨🇦 – 0.5179
29. Singapore 🇸🇬 – 0.5271
30. Greece 🇬🇷 – 0.5337
31. Nigeria 🇳🇬 – 0.5771
32. Mexico 🇲🇽 – 0.5965
33. Argentina 🇦🇷 – 0.6013
34. North Korea 🇰🇵 – 0.6016
35. Bangladesh 🇧🇩 – 0.6062
36. Netherlands 🇳🇱 – 0.6412
37. Myanmar 🇲🇲 – 0.6735
38. Norway 🇳🇴 – 0.6811
39. Portugal 🇵🇹 – 0.6856
40. South Africa 🇿🇦 – 0.6889
41. Philippines 🇵🇭 – 0.6987
42. Malaysia 🇲🇾 – 0.7429
43. Iraq 🇮🇶 – 0.7738
44. Switzerland 🇨🇭 – 0.7869
45. Denmark 🇩🇰 – 0.8109
46. Colombia 🇨🇴 – 0.8353
47. Chile 🇨🇱 – 0.8361
48. Finland 🇫🇮 – 0.8437
49. Peru 🇵🇪 – 0.8588
50. Venezuela 🇻🇪 – 0.8882
Source: globalfirepower.com

English

@bbcswahili hata EU nzima pasipo marekani hawatoboi kwa urusi, pale Ukraine ipo NATO changanya na mamluki lukuki lakini hali kama unavyoiona pray for Ukrainian
Indonesia


Na bila aibu unajiita "Dr"🙄. Mchagga gani wewe usie na akili? 😡
BLOCKED 🚫
Dr. Dennis Swai (MBBS)@Dennysswai
Why are Tanzanians losing their sense of patriotism? 🇹🇿 When did love for our nation become optional? Let’s talk honestly what went wrong, and how do we rebuild it? @Chahali @Ashrafkilande @DeoMunishi @EduTalkTz @HecheJohn @godbless_lema @brayansilayo_ @kalegamyeh
Indonesia

@YerickoNyerereT @freemanmbowetz alivyo shindwa uchaguzi akanuna mnuno wa mke wa4 ndo huyo leo amekuwa mwema yani wewe chali kagongwe
Filipino

Pichani ni Mh Freeman Mbowe akimkumbatia Godbless Lema. Mimi binafsi, Nitajitahidi angalau niwe na hata robo tu ya moyo wa Mh @freemanmbowetz katika maisha yangu…. Moyo wa kutowachukia wabaya wako, waliokuumiza, waliokuvunjia heshima, waliokutusi matusi ya nguoni. Haw nitawapa nafasi ya kuwashika mkono popote niwezapo!
Moyo kama huu wa Freeman Mbowe niliusikia na kuusoma kwa Papa wa Roma John Paulo wa pili aliyepigwa risasi katika jaribio la kuuawa mwaka 1981 na Bwana Ali Agca kwa misukumo ya kiimani.
Papa wa Roma kiongozi wa Kanisa Katoliki John Paul wa II, baada ya kupigwa risasi, alilazwa wodini kwa majuma kadhaa, na kisha baada ya kupona alikwenda gerezani alikokuwa amefungwa muuaji wake akakutana na akazungumza na Ali Agca ambae muda huo alikuwa jela kwa kufanya jaribio hilo la kumuua Papa huyu Mei 13 mwaka 1981 mjini Vatican Roma Italia.
Katika mshangao wa ulimwengu, Papa wa Roma alimsamehe na kumwachilia moyoni mwake na kumuombea msamaha kwa ulimwengu wa sheria. Kisa hiki ni kirefu na kina nadharia nyingi na maswali mengi yasiyo na majibu.
Hivi ndivyo leo Mh Mbowe anafanya, anamkumbatia na kucheka nae Bwana Godbless Lema mmoja ya genge la wahuni waliotembea nchi nzima wakimtusi na kumvua nguo zote Mh Mbowe, mmoja wa watu waliomtweza na kumfedhehesha kwa viwango ambavyo hata shetani mmiliki wa uovu aliviogopa. Lakini kwa Mbowe hilo ni sadaka kwa ulimwengu wa wema anasema kwa vitendo njooni kwangu enyi wa ovu nami nitawatakasa na kuwa wema. Nimfananishe na nani mtu huyu? Mbona mimi siwezi hata kushika kamba za viatu vyake?
Ninapata somo kubwa sana, nitajitahidi sehemu ya maisha yangu angalau nichote makuzi na maonyo ya Freeman Mbowe hata robo tu, na katika hili nimeanza, najitahidi kupokea na kuvumilia matusi na udhalilishaji wa mashabiki zangu mitandaoni nimejizuia sana kublock yeyote, nahisi nitaweza japo inahitaji moyo mkuu, pengine nikizeeka nitakanyag nyayo za mwalimu, baba na mzee wangu Freeman Mbowe.
Na Yericko Nyerere


Indonesia

@Sirjeff_D mbona huko umefika mbali, mulize matatizo ya elimu ya vyuo vikuu vyetu hasa ni nn ndio utajua another chawa in the City 😁
Indonesia

@mangekimambi aise tuseme nn tena dunia imekwisha fika mwisho
Indonesia

OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii.
Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Filipino

@MalisaGJ_ kabisa, mkuu kule Instagram nifungulie block xx ni ndugu tunajenga nyumba moja yanini tugombanie fito👏
Indonesia

Sababu zilizopelekea maandamano;
Watu kutekwa. Mdude alitekwa mbele ya mke wake na mtoto. Hadi leo polisi hawajatoa taarifa alipo. Deus Soka na wenzake Frank Mbise na Jacob Mlay walitekwa mchana kweupe maeneo ya Buza, mpaka sasa hatujui walipo. Hawa ni wachache lakini waliotekwa na kupotea ni wengi. Wananchi waliandamana ili vitendo hivi vikomeshwe, kwanini mnawapiga risasi?
Mbali na utekaji, kuna vitendo vya mauaji vimeripotiwa lakini hakuna hatua zilizochukuliwa. Mfano mzuri ni mauaji ya kinyama ya mzee Kibao. Alishushwa kwenye basi na kwenda kuuawa kikatili na kutobolewa macho. Waandamanaji wanapinga vitendo hivi, kwanini mnawapiga risasi?
Kanisa limetaja sababu "nyinginezo" za maandamano. Ikiwemo ukosefu wa ajira kwa vijana, madai ya Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Vijana wengi wamehitimu vyuo lakini hawana ajira. Wakijaribu kujiajiri wanakutana na vikwazo. Mfano mzuri ni vijana waliohitimu vyuo vikuu, wakaamua kufanya umachinga eneo la Mawasiliano jijini Dar. Walifukuzwa ili eneo hilo lijengwe gereji ya mabasi ya mwendokasi. Vijana wakashauri kwanini gereji hiyo isijengwe nje ya mji kama Kibaha, lakini hawakusikilizwa. Wakafukuzwa kwa vitisho kama mbwa. Walipoamua kuandamana na kupaza sauti zao mkawapiga risasi. Is it fair?
Sababu nyingine ni madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Watu wanataka kura zao ziheshimiwe. Sio wanapiga kura kama kiini macho kumbe mshindi ameshapangwa. Wanataka Mwenyekiti na wajumbe wa Tume ya Uchaguzi wasiteuliwe na mmoja wa wagombea. Yanga wakikataa refa wa mechi yao asiteuliwe na Simba hiyo inakuwaje dhambi?
Sababu nyingine ni kushamiri kwa ufisadi wakati maisha ni magumu. Mtu anavuja jasho siku nzima anaambulia 5,000/= na ana familia. Wakati huohuo anasikia kuna mtoto wa kiongozi kamtumia dada yake bilioni 4 kwenye simu. Unadhani atajisikiaje? Kwa hiyo vijana waliandamana kuiambia serikali kwamba keki ya taifa isifaidishe wachache bali igawanywe kwa wote. Sasa hilo ni kosa la kupigwa risasi?
Kwa kifupi TEC wanasema namna nzuri ya kudhibiti maandamano ni kufanyia kazi sababu zilizopelekea maandamano, sio kupiga watu risasi. Roma locuta, causa finita est (Roma ikisema, mjadala umefungwa). 🙏🏽

Indonesia

@Getrude_mollel mpaka leo wanafunzi hawana madawati kwaio tukae kimya kwakuwa muislamu?
Indonesia

Kuna vita kali sana, fuatili wakati wa Ally Hassan Mwinyi, Wakati wa Kikwete na wakati huu wa Rais Samia Suluhu. Angalia behavior na attitude za Kanisa Katoliki kiongozi akiwa wao na kiongozi akiwa sio wao.
Mimi ni Mkristo, ila sipendezwi na vile tunavyomfanyia Rais Samia, ni chuki za wazi wazi kabisa, maandiko hayatufundishi hivi.
George Rugambwa@georgerugambwa
Mbona hili liko wazi kabisa. Fuatilia baada ya Uhuru, kundi kubwa la wazee wa Kiislamu Dar, Tanga, Kigoma, Morogoro walitoa mali zao kupigania Uhuru walienda wapi, wengi waliishia jela, kuuawa na kupotezwa, halafu serikali 90% ikajaa wakatoliki. Haohao, leo wanamtesa Samia.
Indonesia











