Sky High. 👽🌴

35.7K posts

Sky High. 👽🌴 banner
Sky High. 👽🌴

Sky High. 👽🌴

@Dawizzy_9

Technology✌ . R e a l r e c o g n i z e R e a l . G h o s t W r i t e r . F O C U S. 💳 E x p e n s i v e P a i n 🚀.

Katılım Şubat 2019
2.1K Takip Edilen10.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
P r i d e i s t h e D e v i l.
Dansk
6
3
34
0
CHOMA'S
CHOMA'S@AliseniC95716·
@Dawizzy_9 @pastajoshuatz Hapana nilisha wahi kusikia hata hutuba ya sehehe wallid aliwahi sema watu amabao wanatakiwa wauwawe nia pamoja na wanao ukataa uislam
Indonesia
1
0
0
66
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
@Mackincheese23 @EddoLalika @EsirEid Hana chapa ya mnyama 666 na amemuelezea mpinga kristo alivyo na baada ya hapo nini kitatokea... so kama umeamini Muhammad ndio mpinga kristo basi wewe huna tofauti na myahudi ambaye anamtengeneza mpinga kristo wa ukweli.. wote ninyi mnasubiri kitu kimoja.
Indonesia
0
0
0
44
Bohemian
Bohemian@Mackincheese23·
@Dawizzy_9 @EddoLalika @EsirEid Ehh muhamad ni mtume wenu nyie, hayupo kwenye maandiko ya wakristo na ndio maana tunamfahamu kama nabii wa uongo/mpinga kristo
Filipino
1
0
0
3
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
@Mackincheese23 @EddoLalika @EsirEid Katika 2 Wathesalonike anaitwa “mtu wa kuasi” (man of lawlessness). Katika Ufunuo wa Yohana anaelezwa kama “mnyama” (beast). Huyu anaelezewa kama: Atakuwa na mamlaka makubwa Atadanganya watu wengi Atapinga Mungu waziwazi
Indonesia
1
0
0
57
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
@Mackincheese23 @EddoLalika @EsirEid Katika 2 Wathesalonike anaitwa “mtu wa kuasi” (man of lawlessness). Katika Ufunuo wa Yohana anaelezwa kama “mnyama” (beast). Huyu anaelezewa kama: Atakuwa na mamlaka makubwa Atadanganya watu wengi Atapinga Mungu waziwazi
Indonesia
1
0
0
94
Bohemian
Bohemian@Mackincheese23·
@Dawizzy_9 @EddoLalika @EsirEid 22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. 1 Yohana 2:22
Filipino
1
0
1
20
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
@Matupsenior @EddoLalika @EsirEid Ukipewa sifa za kimbunga kinachoendelea kufanya uaribifu hatutegemei kwamba uulize dalili ya kimbunga hicho kikiwa kinakuja... sababu sifa ni zile zile ila zinakuwa hazina makali kama kimbunga kikishakolea.... mfano upepo huanza kuvuma kwa kasi sana...
Indonesia
1
0
0
17
Mtanzania Bin Tanganyika
Mtanzania Bin Tanganyika@mpenda_TANZANIA·
@EsirEid Wakristo wa Tanzania wamemezeshwa umarekani hawajui haki ipo wapi. Wanaona kabisa Trump na Netanyau wanasapoti ushoga lakini wakristo wa Tanzania Bado wapo na Trump, Trump kamtusi pope wakristo wa Tanzania Bado wapo na Trump Inasikitisha sana
Indonesia
16
3
18
3.1K
Sky High. 👽🌴
Sky High. 👽🌴@Dawizzy_9·
@Matupsenior @EddoLalika @EsirEid Anapewa mamlaka makubwa duniani Watu wengi wanamwabudu Anafanya ishara za kupotosha Ana uhusiano na namba 666 (Ufunuo 13)mtu wa kuasi” (man of lawlessness) Atajiinua juu ya kila kitu kinachoabudiwa Atajifanya kama Mungu
Indonesia
1
0
0
140