1) Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo. Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili.
👉Tupe wazo la aina ya Nyumba uitakayo
👉Tutakushauri na kukuandalia ramani ya Nyumba ya Chaguo lako
👉Tutakuandalia Gharama za ujenzi na kukujengea kwa Malipo ya awamu3
>Arusha,Dodoma,Mwanza,Dar
#0752565425@yose_hoza@Kazimotoinc@ProsperMasau@MpondaSabinus
Nimeruka 45 ft kutoka juu mpaka kwenye maji ya 124 ft kwenye cenote. Kati ya wote tuliokuepo kwenye group, wawili tu ndio tulifanya hivi, mimi na mkaka kutoka Egypt. Ziplining, cenote na ATV ndani ya siku moja. Cancun ilikua raha sana.
Nasikitika kuwajulisha kuwa aliyekuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji Mhe. William Tate Ole Nasha amefariki dunia Jijini Dodoma. Natoa pole kwa Spika Mhe. Job Ndugai, Wabunge, Familia na Wananchi wa Ngorongoro. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi, Amina.