Sabitlenmiş Tweet
アボット Kazimoto
112.2K posts

アボット Kazimoto
@Kazimotoinc
KazimotoINC | IT Technician | Husband & Dad | Baba Michelle | Perescope @Kazimotoinc | #ElimikaWikiendi |#Ajalisasabasi | #NeverMissaMoment
Dar es salaam Katılım Temmuz 2012
512 Takip Edilen19.1K Takipçiler
アボット Kazimoto retweetledi

Asante sana ndugu zetu wa @LindaMwananchi_ kwa kutambua na kukemea dhuluma, wizi wa uchaguzi na mauaji ya wananchi Tanzania.
Hili linaloitwa bunge la Tanzania, halikuchaguliwa Kwahiyo halina uhalali wowote kuwakilisha wananchi wa Tanzania..
Asante sana ndugu @edwinsifuna @HEBabuOwino @orengo_james Mungu awabariki.



Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi

KICHWA CHA MWENDA WAZIMU HAKIOTI NYWELE.
Mwambieni Ndugu Paul Makonda kwamba Tulikuwa na watu kama Mzee Jella Mtagwa au Mzee Peter Agustino ( Peter Tino) Ngulungu au Hata Sunday Manara aliyefungua mlango wa TZ kucheza ulaya na kwa kizazi kipya akina Mbwana Sammata nk ndani ya Taifa hili .
Tunge kuwa na utashi wa kweli tunge wa enzi hawa kwa mchango wao katika Taifa hili kulipeleka Afcom kwa mara ya kwanza tuna Wallace Karia ambaye ametufanya tuzoee sasa kushiriki Fainali za AFCON na akina Mohamed Dewji kwa kuondoa vilabu vya Tanzania katika Unyonge kiasi kwamba kila klabu ikipangwa na Yanga au Simba inapata hofu.
Lakini kwasababu sisi nikichwa cha Mwenda wazimu usishangae kuona akina Didier Drogba au David Beckam wakienziawa. Ndiyo ukichwa cha mwenda wazimu wenyewe.
ANY WAY CHA MUHIMU TUJUE WALIOTEKWA WAKO WAPI,OKTOBA 29 NANI ALIHUSIKA NA ALIHUSIKA VIPI KABLA,WAKATI NA BAADA.
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI VITALIPONYA TAIFA.
BAK Mwabukusi.
Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi

Hii ni Nkasi jana kikao cha ndani, tena Kirando huko! Najivunia sana kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, pia najivunia tuna mtu imara kabisa my sister Mh. Aidah mkoa wa Rukwa!
#StrongerTogether

Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi

Soma Biblia hakuna mtumishi ataaamua uende mbinguni au usiende. Hili kipo mikononi mwako na Mungu. Ni siri yako na Mungu. Mjue Mungu kibinafsi. Mchungaji hatakuwepo wakati ule, Nabii, Padre wala Mwinjilisti hatakuwepo utaulizwa kwanini ulipewa akili. Kwanini ulipewa Roho Mtakatifu na kwanini ulipewa Biblia. Na fursa pekee ya Agano jipya kwamba kila mtu anaweza kusogea kwa Mungu. Anaweza kuhusiana naye na kuongea naye kibinafsi bila kupitia kuhani/mtumishi yeyote.
Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi

Leo @JustFittz imeungana na watanzania wengine na wadau wa masumbwi kumpokea bingwa wa WBC International Silver Super Featherweight Champion, Ibrahim Class.
Justfit inajivunia kuendelea kuwa sehemu ya safari ya mafanikio ya bingwa huyu.




Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi
アボット Kazimoto retweetledi

Katika makala hii, nimejaribu kujenga hoja kadhaa juu ya kilichotokea wiki ya uchaguzi na kinachotukabili kama nchi;
1) Si cha kipekee kwa Tanzania tu.
2) Si kweli kwamba kimesababishwa na wapinzani na wanaharakati.
3) Si kweli kwamba vijana walilipwa kwenda kuandamana.
4) Vijana wana mahitaji ya dhati na ya msingi lakini hawaoni kwamba kuna mtu ana nią ya dhati ya kuyatatua.
5) Hichi ni kizazi cha tofauti; kinajua kinachotaka, na kina ujasiri wa kukidai kutoka kwa serikali/viongozi/watawala, ikibidi hata kwa njia zisizo za kawaida.
Indonesia
アボット Kazimoto retweetledi




















