JJ T
39.4K posts


@IWillLive_X @moodewji Naomba email yako nikutumie PROPOSAL Boss wangu,
"Siombi samaki bali Naomba NDOANO"
Indonesia

@moodewji @IWillLive_X Naomba email yako nikutumie PROPOSAL Boss wangu,
"Siombi samaki bali Naomba NDOANO"
Indonesia

@IWillLive_X tunafika mwisho kwenye transformation, inshallah tutashangaza Africa na kuwa ma miondo mbinu bora.
Indonesia

@kikomasta Huyu guroko anaeneza propaganda ya israel na Usa kibaya kuhusu wao anatengua sio kweli
Filipino

Grok ukimuuliza kitu alafu kuhusu maumivu kwa wanawa mungu aisee anavyokufokea utajuta kuuliza.
Ukute grok na yeye ni mwana wa mungu.
#BilaGanzi

Indonesia

Simanzi na majonzi vimetanda katika Mtaa wa Njia Panda, Kata ya Isakalilo, Manispaa ya Iringa baada ya Mtoto Naomi Jostan Kivamba kupatikana akiwa amefariki katika mazingira ya kikatili muda mfupi baada ya kutumwa dukani kununua kibiriti.
Taarifa kutoka kwa familia zinaeleza kuwa Naomi alitumwa Dukani na mama yake, majira ya saa 6 mchana lakini hakurejea nyumbani hali iliyowalazimu Ndugu na majirani kuanza juhudi za kumtafuta katika maeneo mbalimbali bila mafanikio.
Inadaiwa kuwa leo asubuhi mwili wa mtoto huyo umepatikana kando ya nyumba yao ukiwa tayari umefariki dunia, huku ukiwa na dalili za kufanyiwa ukatili mkubwa ikiwemo kuvunjwa mikono na kulawitiwa na watu ambao hadi sasa hawajafahamika.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Mtaa wa Njia Panda, tukio kama hilo ni la pili kutokea katika mtaa huo baada ya tukio kama hilo kuripotiwa mwaka jana, huku akitoa wito kwa jamii kuacha mara moja vitendo vya ukatili dhidi ya watoto.
Marehemu Naomi alikuwa mwanafunzi wa Shule ya Msingi Zizi na mwaka huu alikuwa anatarajiwa kumaliza darasa la saba.
AyoTv inaendela na juhudi za kumtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Allan Bukumbi, ili kutoa ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hilo.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@AllyAssed13070 Wachawi wanakufanyisha mapenzi ili wapate zile shahawa zako kwa ajiri ya kuendesha Ungo wakati wa Kupaa!!
Ongeza SALA
हिन्दी

@Zephania_Ndaki Mbona Sierra Leon inatumia Kingereza lakini ni Maskini wa kutupwa na hata connection hana!
Mbona Germany ipo juu sana kiuchumi na kikonekisheni japo haitumii kingereza
Filipino

Acheni Kukaza Fuvu Madili Yote Aseiv Bila Kingereza Utoboi Vipi Ambae Ajapita Shule Ataweza Toboa.
Imagine Kingereza Kingetumika Toka Msingi Mpk Sekondari Au Yangekua Ni Maisha Yetu Ya Kila Siku Tungekua Mbali Mno.
Kiswahili Tunatumia Sisi Kwa Sisi Tu, Ukiingia Ofisini Basii🙌
Big@Zephania_Ndaki
Kiswahili Hakina Msaada Wowote Kwenye Utafutaji Wetu Sijui Mwalimu Aliwaza Nini, Kila Sehemu Kingereza🙌
Indonesia

@MarekaMalili Eg walimu wahawezi pewa kwa sababu wahana impact yeyote ya kumlinda kimabavu mtawala kwa ajiri ya kufikia malengo yao ya upigaji!!
OCT 29 Rais wa chama cha walimu angeweza kumpuapisha kimabavu?🤣
Indonesia


@kasesco_tz Kazi ya bucha bila kupata nyama ya magendo na kuchezea mnzani sahau kupata Faida
Indonesia










