Nyoka wa Kijani

27.1K posts

Nyoka wa Kijani banner
Nyoka wa Kijani

Nyoka wa Kijani

@Densa___

LIVE & LEARN

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2020
205 Takip Edilen3.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
Nyie Endeleeni kusema Mapenzi Pesa Kumbe Mko serious sana😂😋❤❤
Indonesia
17
30
168
32.1K
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
Wananchi wa kitunda,Kivule tuonewe huruma sasa na sisi ni watu. Hizi barabara kama vile tumekuwa kambale😭😭😭
Indonesia
0
0
0
12
millardayo
millardayo@millardayo·
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, kilichotokea leo tarehe 25 Machi, 2026, majira ya saa moja asubuhi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa mshtuko wa Moyo. Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka. Marehemu Lukuvi alikuwa akihudumu kama Mbunge wa Isimani Mkoani Iringa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa shughuli za Serikali, pamoja na masuala ya watu wenye Ulemavu. Rais Samia ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Familia ya marehemu, Ndugu, Jamaa, Wananchi wa Jimbo la Isimani na Watanzania wote kwa ujumla. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
108
34
584
36.9K
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
@swahilitimes Sasa waseme kuwa ukifunga uweke tangazo sio kusema mpaka usajiliwe,huko ni kujitengenezea ulaji tu
Indonesia
0
0
0
312
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) imesema ni kosa kisheria kwa mtu au taasisi kutumia kamera za usalama (CCTV) pasipo kusajiliwa kisheria na tume hiyo. PDPC imefafanua kuwa watumiaji wanapaswa kuweka tangazo au taarifa kwamba eneo husika limefungwa kamera za CCTV ili watu wajue, na pia mmiliki kuepuka kushtakiwa kwa kuingilia faragha na kudhalilisha utu wa mtu.
Swahili Times tweet media
Indonesia
238
50
611
140.5K
millardayo
millardayo@millardayo·
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema Mamlaka Mkoani Mwanza zimewakamata Polisi Jamii wanaodaiwa kumshambuliwa Kijana mmoja hadi kusababisha kifo chake katika eneo la Bugando Mkoani humo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, ameunda pia Kamati ya kuchunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa na Polisi Jamii. Akiongea Jijini Mwanza leo March 22,2026, Msigwa amesema “Tunawapongeza Mkoa wa Mwanza kwa jitihada kubwa wanazozifanya, hata lile tukio la juzi ambalo limeenda viral tangu jana na juzi ambalo limetokea Bugando mission hapa Mwanza ambapo kuna madai ya Watu waliojitambulisha ni Polisi Jamii wamemshambulia Kijana hadi kusababisha kifo chake, tayari Uongozi wa Mkoa umechukua hatua hivi navyozungumza nanyi Watuhumiwa wamekamatwa” “Kwa kuwa Walalamikaji wameelezea athari za Polisi Jamii kunyanyasa Watu, Mkuu wa Mkoa amechukua hatua na hivi navyozungumza ameunda Kamati ya Watu watano kufanya uchunguzi kwa wanaojiita Polisi Jamii kumbe wananyanyasa Wananchi lakini pia kuangalia mfumo mzima wa kushirikisha Jamii katika Ulinzi wa Watu na mali zao” “Serikali haiwezi kuruhusu tukawa na Watu wanaojiita wababe Mitaani, kwamba kwasababu wao wana nguvu wanatumia jina la Serikali kunyanyasa Watanzania, maelekezo ya Rais yapo wazi hataki kuona Mtanzania yoyote popote alipo anadhulumiwa haki yake, ananyanyaswa, anapigwa au anafanywa kitu chochote kibaya” #MilardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
34
10
235
17.8K
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
Baadhi ya waislam sikuizi wameelimika,hawafuati matamko ya bwakwata kwenye swala la kufunga na kufungua Ramadhan. Nimepita maeneo mengi leo watu wameswali Eid!
Indonesia
0
0
0
12
Sarafina
Sarafina@Finah_Business·
Nikirepoti kutoka sokota💔
Sarafina tweet media
Indonesia
62
70
431
21.5K
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
Hii yanga ina Fitness coach kweli?
Filipino
0
0
0
31
Nyoka wa Kijani
Nyoka wa Kijani@Densa___·
@millardayo Kwahy hii nchi mtu Akidai haki yake Anapigwa? Kwann inaonekana kudai haki nikosa ktk hii nchi? Kama kuna Taratibu za kurudisha viingilio vyao kwann wasitangaziwe baada ya kuwapa taarifa za mechi ku Ahirishwa?
Indonesia
0
0
0
221
millardayo
millardayo@millardayo·
#VIDEO Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limetumia kupiga mabomu ya machozi kuwatawanya Mashabiki katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid walioonesha kukasirishwa na uamuzi wa kuahirisha mechi kati ya TRA United na Simba SC kutokana na mvua ambapo baadhi ya madai ya Mashabiki yao yalikuwa ni kutaka kurudishiwa viingilio vyao, AyoTV inaendelea kuzitafuta Mamlaka husika ili kupata ufafanuzi wa hoja hizo za Mashabiki. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
14
9
171
18.1K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko amesema Gharama za kufanya vipimo vya Vinasaba vya Binadamu “Human DNA” zimeongezeka kutoka Laki moja kwa sampuli moja hadi kufikia Laki mbili na kumi na mbili kwa sampuli moja kutokana na Gharama za mchakato wa vipimo hivyo “Gharama kwa Sampuli moja ni 212,000/= kwahiyo kwa Kesi ya Baba Mama na Mtoto unazidisha mara tatu , Gharama zinazosalia zinalipwa na Serikali ya Tanzania kwani ilipaswa kuwa Laki saba mpaka nane kwa sampuli moja” alisema Dkt. Mafumiko Dkt. Mafumiko ameyasema hayo hii leo Machi 11, 2026 katika Ukumbi wa Mikutano wa Idara ya Habari Maelezo uliyopo katika jengo la Wizara ya Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mtumba jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari #MillardAyoUPDATES.
millardayo tweet media
Indonesia
49
40
454
41.3K
Doctor Mishy🇷🇺
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20·
Kama upinzani wanaamini wanaweza kuongoza vizuri zaidi, ni mafanikio gani makubwa wamewahi kuonyesha pale walipopata nafasi ya kuongoza?
Indonesia
185
29
282
83K
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
Men will always be Men
English
152
752
8.3K
1.3M
GirlGazer
GirlGazer@Gazerr67·
No man can tell her no ☺️
GirlGazer tweet mediaGirlGazer tweet mediaGirlGazer tweet media
English
70
70
1.4K
63.7K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Rais Samia Suluhu Hassan amemzawadia gari mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, ikiwa ni ombi la mama huyo kwa Rais baada ya kueleza changamoto ya usafiri inayomkabili. Aidha, zawadi hiyo imetolewa kwa kuthamini mchango wa marehemu Kanumba katika kukuza tasnia ya filamu nchini.
Indonesia
80
22
503
78.4K
MTANZANIA 🇹🇿
MTANZANIA 🇹🇿@GilbertPaul095·
Kukiwa na Mvua na uko peke yako Ndani, unapendelea kufanya nini???😀
Indonesia
38
21
143
7.8K
Big Psycho
Big Psycho@Bigsyke20·
SATIVA anabet na anatumika na makampuni kushawishi watu wabet kupitia makampuni hayo huku yeye akilipwa commission. Kiufupi SATIVA anapiga kazi mbili kwenye betting. 1.Anabet kwa kuweka hela zake. 2. Anacheza kama winga wa makampuni ya kubet. Ukiona mtu yeyote anakuambia jiunge na kampuni fulani weka promo code fulani fahamu kwamba analipwa.
Big Psycho tweet media
Indonesia
116
41
894
81.7K