Edris
59 posts

Edris
@Edris00864970
Anything that involves money-making , let me know even If it's https://t.co/UVKpGM8guf.
Katılım Haziran 2019
186 Takip Edilen12 Takipçiler

@millardayo Eti wang'oa 😅, hyo Nd sabbu ya azam kuondoa camera eneo la tukio chap. Tusipinde sana , mashabiki wa simba nd wametupa viti kwa warabu , eerh 😅
Indonesia

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limesema Shabiki mmoja wa Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia ameumia katika fujo zilizotokea Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es salaam huku jumla ya viti 256 ( 156 vya bluu 156 na Orange 100) viking’olewa na Mashabiki wa Club hiyo leo December 15, 2024 kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na CS SFAXIEN.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Muliro Jumanne amesema fujo hizo zimesababishwa na Mashabiki wa Timu ya CS SFAXIEN kutoridhika na maamuzi ya Refa wa mchezo huo kuchezesha mechi hiyo kwa zaidi ya dakika saba ambazo aliziongeza kama dakika za nyongeza jambo lililopelekea timu ya Simba kupata goli la pili na la ushindi.
“Wachezaji wa ndani ya uwanja na “benchi” la fundi la timu ya CS SFAXIEN walikasirika, wakamfuata Muamuzi wa mchezo na kuanza kufanya vitendo vya kumshambulia, katika fujo hizo shabiki mmoja wa CS SFAXIEN aliumia na kupatiwa huduma ya kwanza na kuruhusiwa huku viti vya rangi ya blue 156 na Orange 100 viling’olewa na Mashabiki hao, Polisi itashirikiana na Mamlala nyingine za kisheria na soka kuona hatua za kuchukua dhidi ya vitendo hivyo ambavyo havikubaliki” - Kamanda Muliro. #MillardAyoUPDATES

Indonesia

@RMariayam3578 Ouh , U better watch Urs cuz am about to explore yeew 😄
English

@Sativa255 Betting ni biashara kwa wawekezaji na waendeshaji, sio sisi wa odds ngumu. Bro acha ku mislead vijana 😂
Indonesia

SOMA NA UIJUE BETTING.
Hii ni biashara kama zilivyo bishara zingine,
Hii ni kazi kama zilivyo kazi zingine. Acha leo twende kwa mifano ili tuelewane.
“Betting ni biashara”. Ni kweli hii ni biashara, kama zilivyo biashara zingine unahitaji MTAJI, na vitendea kazi ili biashara yako ifanikiwe. Same same na betting utajitaji MTAJI na vifaa vya kisasa mfano simu janja ili uweze kufanya uchambuzi wako kirahisi na kwa haraka.
Kama zilivyo biashara zingine, sio kila siku unauza sana, siku zinapishana zipo siku ambazo huuzi unaishia kuingiza shoti kwa matumizi kuzidi mauzo. Basi hizo siku ndio siku mbaya kwenye betting ambapo Lost hutawala licha ya kufanya kila kitu kwa usahihi.
Bahati zipo kwenye betting lakini pia zipo kwenye biashara. Kwenye biashara kuna wale watu ukisikia story zao unabaki unashangaa na wamekuwa wafanyabiashara wakubwa ambao ni vioo kwa wafanyabiashara wengine.
Mfano : kuna jamaa alikuwa mpiga debe stand ya ubungo miaka hiyo, ila saizi anamiliki Bus zaidi ya 30 za mikoani, ana hotel tano mikoa mbali mbali. Anaekusimulia hiyo story alikuepo nae kipindi jamaa ni mpiga debe, na mpaka kapata utajiri wote huo yeye bado mpiga debe.
Ndio same story inatokea kwenye betting, kuna wale watu wanabet kila siku hawapati ila siku moja tuu anakuja kuwa bilionea kwa kushinda BILIONI. hawa sio wengi ni wachache sana (wenye bahati) ambao hata kwenye biashara wapo.
“Betting ni RISK” hili neno linaonekanaga linatisha sana ukilileta kwenye betting ila kiuhalisia ni RISK hata kwenye biashara pia.
Kwenye biashara mfano mama ntilie, anapika chakula kitamu sana, anaamini kabisa leo atamaliza chakula chote na faida lazima apate, ila chaajabu msosi unabaki na kinaharibika pia kesho hawezi kukiuza.
So RISK zipo kwote kwenye kila kitu tunachofanya Risk zipo, zinakuja kuonekana RISK za betting ni ngumu kwasababu betting ni biashara ya ndani ya siku moja unajua majibu yako tofauti na RISK za kwenye biashara ambazo zinaweza hata kuchukua mwaka kuweza kujua kama umewin au umelost.
“Betting ni MIFUMO” ndio ukiangalia hapo chini nimekuwekea mikeka yangu ya janaa usiku na leo alfajiri. Hizo ni akili za ziada nilizitumia kuingiza hizo pesa.
Game ya LEVERKUSEN jana nilibet mara mbili, ilipofika first half alikuwa amefungwa (0-1) mm nikamlinda kwamba hawezi kufungwa, nikampa Ashinde au asare (1X) nikatia LAKI MOJA faida ikasoma 50,000/=
Lakini mpaka dakika ya 87’ alikuwa amefungwa (1-2). Nikacheki odds nikakuta zipo 3+ nikamfuata tena kwa kuweka rehani 170,000/=. Kwahiyo mapaka hapo nilikuwa nimeweka rehani jumla ya 270,000/=.
Hii ni Risk ambayo niiliingia jana usiku, Mungu mwema ikatoa. Unaweza kujumlisha nililala na faida shingapi.
Alfajiri nikawahi game ya NBA na game moja ya ICE HOCKEY, hizi nilizicheza kwa mikeka miwili tofauti. Mmoja niliyokuwa naiamini sana ilikuwa pekeake, ambayo sikuwa na iamini sana nikachangnya, afu mm nikatia mpunga mrefu.
Unaweza kuangali nimeamka na faida gani hapo chini.
Sasa hizi ni stratergies ambazo zinatumika kwenye betting same na kwenye biashara, mtu anakuwa na mifumo yake ya kuendesha biashara yake.
Naweza kuandika mengi sana ila kwa leo niishie hapo hili ni somo ambalo nitakuja kuandika vitabu baadae na nitaviuza ila ww umelipata bure.
Usisahu kushare kwa wanao wajue betting ni kazi sio uhuni.
SATIVA17 was here.🫡✍🏾




Indonesia























